Nina mimba ya Miezi 9 natakiwa kusafiri kwenda ukweni

Mdau, nakushauri uzungumze na mwenzi wako kuwa hiyo safari itakuwa ni hatari kwako pamoja na kiumbe mtarajiwa. Hakikisha analielewa hili na si vinginevyo
 
Mimi sio msichana but hiko kitu sikiafiki kama dada yangu..

Duniani hakuna usafiri wa luxury kama ndege but pamoja na luxury yote iliyopo humo mimba ikiwa kubwa tu almost 7 month hawakubali hata ulipe bei gani?...

Sembuse magari mara pancha, mara mmetekwa njiani, mara injini imebuma na bara bara zetu za tanzania zina mawimbi gari haituliii mbona utakoma..

Mimi mwenyewe mkata kiu mtoto wa kiswahili lakini unipeleke mpaka kanda ya ziwa kwa basi au gari sikubali kirahisi hadi kuwe na strong reasons.. Sembuse wewe mjamzito tena wa miezi kibao,,

Dada pumzika ujiandae kutuletea the most famous son in africa after george weah ( nakuombea aje wa kiume),, as niliona interview supersport her mother ali confirm wakati anatoka hospitali kiutani kama ame deliver the most famous son in africa na kweli mwanae akaja kuitingisha africa na dunia nzima... Japo mama alisema kwa kutania.. Sasa na wewe utamleta mwingine naomba usisafiri sister
 
jamaa wengine bwana wanatia aibu
badala ya kukaa na mkewe hadi ajifungue anangangania ukweni so what?
risk za njiani zitakupata wewe na sio yeye muda wa kunyenyekea mama wakati ni maisha yako umeshapitwa na wakati
maamuzi yako yawe final,dont go and he shouldnt force you
ni bora kujifungulia eneo lenye hospital bora na huduma bora kuliko huko kwa wakwe
nakushauri tena dont go,na akikulazimisha zaidi mwambie hakupendi
dunia ya sasa sio ya kunyenyekea wakwe au waume ni dunia ya kuelewana kwa manufaa yenu na maisha yenu
huyu mumeo kaniudhi sana.
wanawake amkeni jamani msiwe watumwa katika ndoa zenu wala kupelekeshwa na sisi vidume.
 
Mimba ya kwanza uache hospital mjini ukazalie kwenye zahanati upande ambulance ya bajaj....HAPANA jamani
Na huyo mama mkwe wako nae hakuhurumii?
Hizo mila nyingine za kutojali afya ya mtu sio kabisa
 
Mimi sio msichana but hiko kitu sikiafiki kama dada yangu..

Duniani hakuna usafiri wa luxury kama ndege but pamoja na luxury yote iliyopo humo mimba ikiwa kubwa tu almost 7 month hawakubali hata ulipe bei gani?...

Sembuse magari mara pancha, mara mmetekwa njiani, mara injini imebuma na bara bara zetu za tanzania zina mawimbi gari haituliii mbona utakoma..

Mimi mwenyewe mkata kiu mtoto wa kiswahili lakini unipeleke mpaka kanda ya ziwa kwa basi au gari sikubali kirahisi hadi kuwe na strong reasons.. Sembuse wewe mjamzito tena wa miezi kibao,,

Dada pumzika ujiandae kutuletea the most famous son in africa after george weah ( nakuombea aje wa kiume),, as niliona interview supersport her mother ali confirm wakati anatoka hospitali kiutani kama ame deliver the most famous son in africa na kweli mwanae akaja kuitingisha africa na dunia nzima... Japo mama alisema kwa kutania.. Sasa na wewe utamleta mwingine naomba usisafiri sister

Asante kaka kwa utabiri wako nikijifungua ntakutaarifu Kama umepata au la,
 
sikuogopeshi ila upo kwenye risk ya kufa. Siku hizi wazazi 40 kati ya elfu moja wanakufa. Usikubali kwenda kijijini
 
Dada,usikubali,maisha yako na mtoto ni mhm sana,watu wengi sana wamekuzwakatika mazingira ya kutooneshwa upendo na kutojaliwa,sasa wanaona hiyo ndiyo njia ya maisha na imeshakuwa ni mazoea ndani yao,hawasikii kitu.Kataa,kmuna ajira yako,muite mtu wako au ndg yako aje akuhudumie,usikubali kitu km hicho,km mama mzazi wa mumeo yu hai,basi angekuja yeye kukuhudumia.Jisimamie,hakuna dhambi wala ubaya hapo!
 
Dada,usikubali,maisha yako na mtoto ni mhm sana,watu wengi sana wamekuzwakatika mazingira ya kutooneshwa upendo na kutojaliwa,sasa wanaona hiyo ndiyo njia ya maisha na imeshakuwa ni mazoea ndani yao,hawasikii kitu.Kataa,kmuna ajira yako,muite mtu wako au ndg yako aje akuhudumie,usikubali kitu km hicho,km mama mzazi wa mumeo yu hai,basi angekuja yeye kukuhudumia.Jisimamie,hakuna dhambi wala ubaya hapo!

Tatizo ninavyozidi kumwambia ndo naye anaweka msimamo he think sitaki kwenda kwao,
 
mimba za siku hizi zinazidisha miezi 9. hiyo yako kama ulivyosema bado sana. hamna risk wala nini. wewe nenda acha woga. hata gari ikipata pancha kwani wewe ndo utatengeneza? hujui hata wewe watakiwa kufanya mazoezi?. hamna noumer we mkubalie mmeo bana. mia
 
Mimi nisingekubali. Usikute wanataka mtoto akaingizwe mikataba na kuzimu. Mila nyingine zinachangia sana kuharibu maisha ya watoto. Jamani kutakucha lini ili tuachane na mila zinazosapoti ulimwengu wa giza? Aaaaghrrrr!
 
Tatizo ninavyozidi kumwambia ndo naye anaweka msimamo he think sitaki kwenda kwao,

sorry to ask this, are u a dr, nurse, pharmacist,lab tech or? Kwa sababu i cant imagine EDD ni 28 aafu unakubaliana na argument za kusafiri kupitia tabora, nzega, singida nk kwenda kwa mama mkwe? Pumbaf huyo mwanaume, kwenu wapi? Umemuelimisha kwamba kuzaa ni plus or minus 2? If i were u japokuwa haiwezekani, nakomaa hapo hapo, liwalo na liwe! Kuvunja ndoa kwa upuuzi huu sitakulaumu. Hata akikufukuza hamia gesti/hotelini usubiri mwanao azaliwe. Nna jamaa yangu mke alipokaribia kujifungua ndugu zake wakawa wanataka amrudishe kwao, jamaa akawaambia mke ni wangu au wa kwenu? Ntamuhudumia mwenyewe kwanza hata kwangu msije kama mnataka upuuzi huo. Mpaka leo ndugu wanamchukia yule mwanamke kwamba amemlambisha limbwata kaka yao, loh! Huwa naona wivu na kufurahia ninapoona mke na mume wanakuja clinic aafu jamaa anashika shika tumbo la mkewe na mkoba kaweka begani.
 
mimba za siku hizi zinazidisha miezi 9. hiyo yako kama ulivyosema bado sana. hamna risk wala nini. wewe nenda acha woga. hata gari ikipata pancha kwani wewe ndo utatengeneza? hujui hata wewe watakiwa kufanya mazoezi?. hamna noumer we mkubalie mmeo bana. mia

umeoa wewe? Una watoto? Hiyo research ya mimba kupitiliza iko wapi? Tuwe na huruma kwa dada zetu jamani hata kwa muda mfupi tu. Kubeba mimba tu ni ugonjwa tosha, bado akatekwe humo njiani na barabara zetu hizi loh! Aafu madaktari wapo dar nyie mnataka akazalie dispensary-? Nke wangu hata akiwa na kiburi vipi akiwa mjamzito ntamuheshimu aisee! Mungu bariki wamama wote katika kipindi cha uzazi..
 
Jamani sio vizuri kusafiri ukiwa na mimba kubwa hivyo ni hatari sana. Mie nimewahi kusafiri nikiwa na mimba ya miezi saba lakini nilimuuliza daktari kwanza kabla sijaanzaa safari, na aliniambia natakiwa kuishia morogoro tu na si zaidi ya hapo. Sembuse hilo la kwako la dakika yoyote. Hata kama ni mila jaribu kuongea na mumeo muone mnaweza kufanya nini kwa sasa.
 
Wanaume ndio chachu ya mabadiliko...huyo mumeo sijuhi vipi????

Watu wanawaza kuzalia majuu kuepuka vifo vya mama na mtoto yeye anawazia kukutoa dar ambako kuna unafuu kukupeleka mashambani.

Pole mwaya hila ndio ujue movie ndio kwanza imeanza...huna wakwe...na wanasema the more closer ukiwa na wakwe zako the more problems your marriage will have...pole chekecha kutokana na kiasi cha power ulonayo over your hubby maana ndoa zinatofautiana na wanawake wana position tofauti kwa waume zao.
 
Habari Wana JF

Mimi Nina mimba ya Miezi 9 nimebakisha week mbili nijifungue ila mume wangu analazimishia niende nikajifungulie huko kwao kanda ya ziwa, I thought of flying ila flights haziruhusu mtu wa type yangu kupanda ndege,so anasema tutaenda na gari taratibu hadi tufike even if it take us 3 days, Hospital nimeambiwa nisisafiri coz niko karibia kujifungua,he doesnt want to understand he think I'm jus making it coz I'm a medical personel 2, Hataki hata twende kwa specialist wote,wala hajawahi kwenda na mimi clinic,its our first born ,
Nifanyeje?nisafiri tu. kuwaridhisha ila its risk...anataka tusafiri 20th my due date ni 28th

mbona anamambo ya ajabu muda wote hadi hii time ya mwisho anajitia uwende kwao watch out young girl utajutia hii hali..
 
Umeona eeeh mtu anatoka Dar kwenda zalia migombani...mbona huyo angekuwa mume wangu wala nisinge discuss nae chochote na hata ningesikia uchungu angesikia tu mkeo alishaga jifungua hosp fulani...wakati mwingine mtu inabidi uwe na msimamo hasa kipindi hiki ndoa ikiwa changa...I can't imagine nilivyokuwa kisirani nikiwa mja mzito kama hubby hata ange dare kuniambia neno kama hilo.

umeoa wewe? Una watoto? Hiyo research ya mimba kupitiliza iko wapi? Tuwe na huruma kwa dada zetu jamani hata kwa muda mfupi tu. Kubeba mimba tu ni ugonjwa tosha, bado akatekwe humo njiani na barabara zetu hizi loh! Aafu madaktari wapo dar nyie mnataka akazalie dispensary-? Nke wangu hata akiwa na kiburi vipi akiwa mjamzito ntamuheshimu aisee! Mungu bariki wamama wote katika kipindi cha uzazi..
 
Pole mamii kwa changamoto hiyo, wewe kubali kusafiri but nakushauri muingie gharama msafiri na nesi in case of anything
 
Back
Top Bottom