Recent content by Nusumkate

  1. N

    Hii ni kwa wapenda amani na maendeleo tu. Bavicha hawahusiki.

    Dada yangu we tulia tu hawa jamaa tuachie sisi ndio tunawaweza. Ngoja nipate kitu moja moto moja baridi aafu ntarudi.
  2. N

    SWALI; Vijana wengi wa Tanzania wako Chama gani, CCM au CHADEMA?

    Hivi Lema na Msigwa nao wana akili timamu?
  3. N

    Jerry Muro Kumng'oa Mdee Mapema Sana 2015.

    Mh ndugu yangu utauwawa na hao jamaa!Ngoja nielekee Jf photo.
  4. N

    MTWARA! Kimya kingi Kina mshindo..

    Napita tu shughuli zangu mchana wa leo zilikuwa ngumu sana pale ofisini kwangu.
  5. N

    live mkutano wa chadema arusha viwanja vya soko kuu

    Huyo adui yake yoyote ni MTU MUISLAMU. Na mapambano yake popote alipo ni kuhakikisha uislamu unapotea katika taswira ya hapa Nchini kwetu. Kasahau kwamba Mwl. Nyerere mwenyewe baada ya nchi hii kumshinda aliona ni busara kumuachia MUISLAMU aongoze japokuwa walikuwepo wakristo wengi ktk ambao...
  6. N

    kura ya maoni; Zitto vs Mbowe

    Zitto nomaaa Mboye mtoto mdogo sana katika mvuto wa kisiasa.
  7. N

    Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

    Labda Rais wa KANISA KATOLIKI.
  8. N

    Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

    Labda kwa kulitumikia kanisa kupitia CDM.
  9. N

    Kulinda heshima yake, Mbowe asigombee uchaguzi wa ndani ya chama

    Baada ya CCM hakuna chama kingine kitafuata chenye manufaa kwa watanzania wote ila vitakavyofuata vitadai maslahi ya watu wachache mf;Dini, kabila au Rangi. Kiongozi anaweza kutoka sehemu yoyote lakini kiongozi bora lazima atoke katika mikono ya chama cha mapinduzi. Hayo ni maneno ya...
  10. N

    Mwenye taarifa huko serikalini jamani mshahara wa mwezi nov kimya!

    Mwalimu shule ya sekondari igunga, samahani kwa kutoweka mambo sawa.
  11. N

    Mwenye taarifa huko serikalini jamani mshahara wa mwezi nov kimya!

    Wadau naomba mnisaidie Kuna halmashauri gani ambayo mshahara umetoka maana huku kwetu hadi sasa bado haujatoka.
Back
Top Bottom