Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

Hahahahahahahhahahahahahahhahahaa

Mzee wa kujikopesha...

Kwani kukopa huwa dhambi. Dhambi nikutolipa. Kumbukumbu Sumaye aliwahi kukopa pesa za NSSF na boss wake akachukua za serikali kujiuzia Kiwira coal mine. Wazee wa CCM.
 
Zitto sio saizi yako yeriko. Wewe unadhani zitto siasa kavamia kama wahafidhina na mabosi wako. Siasa ni professional yake. Mlidhani mnamuathiri zitto!!! La hasha kibarua,zitto ataendelea kuwatesa mpaka dude liitwalo chadema litabaki ni chuma chakavu. Nadhani mmeanza kwa uchache kuona move. Kuna viongozi wengine hapo hapo makao makuu stay tuned very soon watajing'atua kwenye makucha ya wazandiki wa demokrasia. Hiyo bado ni trela.
Zitto kwa ufinyu wako usidhani eti hata huo uamuzi unamuathiri kwa ufupi mno jua kuwa zitto ni mwenyekiti wa PAC hicho cheo hakupewa na boss wako mbowe.

mwambie huyo mipango ya sabotage za TISS sio size yake,hadi 2015,CDM kama chuma chakavu
 
Kwani kukopa huwa dhambi. Dhambi nikutolipa. Kumbukumbu Sumaye aliwahi kukopa pesa za NSSF na boss wake akachukua za serikali kujiuzia Kiwira coal mine. Wazee wa CCM.

Makosa mawili hayahalalishi moja kua sahihi, au unataka kusema Chadema kikiingia madarakani kitafanya makosa yale yale yaliyofanywa na CCM.
 
Kwa hiyo anabalansisha: Huku anasimamia vizuri kule anapiga!

Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.

Maskini wana-CCM, mmepofushwa mpaka mnashindwa hata kusoma post iliyowekwa...
Anyway, soma vizuri hapo kwenye blue uone, au vipi tafuta mtu akusaidie kusoma..
Yaani kwa ufupi, Dr. Slaa amesimamia vizuri fedha kwenye taasisi anayoiongoza, yaani Chadema.
Upo hapo..??
Haya, kajifunze kusoma na kuandika kwanza ndio uje hapa ku-post...!!!!

Nilijua tu kuwa habari hii itawaudhi sana wana-CCM.

Poleni sana wana -CCM maana propaganda zenu zimekwaa kisiki...!!
Wapi Zitto..!! na waraka wenye uongo kuhusu usimamizi wa fedha za Chadema..???
Copy:
FaizaFoxy
Simiyu Yetu
Mamndenyi
 
Last edited by a moderator:
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.

Ngoja utaona mazuzu wa Mwigulu na Vuvuzela wakipiga kelele hapa
 
Maskini wana-CCM, mmepofushwa mpaka mnashindwa hata kusoma post iliyowekwa...
Anyway, soma vizuri hapo kwenye blue uone, au vipi tafuta mtu akusaidie kusoma..
Yaani kwa ufupi, Dr. Slaa amesimamia vizuri fedha kwenye taasisi anayoiongoza, yaani Chadema.
Upo hapo..??
Haya, kajifunze kusoma na kuandika kwanza ndio uje hapa ku-post...!!!!

Nilijua tu kuwa habari hii itawaudhi sana wana-CCM.

Poleni sana wana -CCM maana propaganda zenu zimekwaa kisiki...!!
Wapi Zitto..!! na waraka wenye uongo kuhusu usimamizi wa fedha za Chadema..???
Copy:
FaizaFoxy
Simiyu Yetu
Mamndenyi

Hayo maneno yatakuwa ya yuleyule hausiboi wa mchumba aliekwenda nae USA, umesahau alidanganya huko kuwa Slaa kapewa tuzo na NASA ambayo hajawahi kupewa mtu mwingine isipokuwa Rais wa USA tu. Kumbe kibeji!

Kwi kwi kwi teh teh teh!
 
Watapigana lakini hawatashinda now internationally sio Tanzania tuu. Upanga wa Mungu haukwepeki kwa wababaishaji. Great Dr.
 
Hayo maneno yatakuwa ya yuleyule hausiboi wa mchumba aliekwenda nae USA, umesahau alidanganya huko kuwa Slaa kapewa tuzo na NASA ambayo hajawahi kupewa mtu mwingine isipokuwa Rais wa USA tu. Kumbe kibeji!

Kwi kwi kwi teh teh teh!

ushabiiki na buku saba zitawamaliza
 
Huyo ndio Dr bwana,maccm oo bado anakadi yetu mtaishia kunawa kula twala CHADEMA ccm haina hadhi inanuka rushwa
 
hakuna kiongozi mwadilifu kama Dr Slaa, kiongozi anayeheshimu misimamo na mwenye kusoma alama za nyakati, we trust you Dr!

Na kweli muadilifu kwa kujikopesha ruzuku huku anakana lakini baadae anakubali.
 
Ni wa kuiga kabisa , hasa kwa kuiba wake za watu, kuzaa uzeeni, kutelekeza mke wa ndoa, kutelekeza watoto, kupinga ufisadi wakati ukijikopesha vyama, mi nasema aigwe tu.

ameshamgegeda mkeo? au kakugegeda wewe......
 
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.

Labda kwa kulitumikia kanisa kupitia CDM.
 
Back
Top Bottom