bendaki
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 952
- 346
Hahahahahahahhahahahahahahhahahaa
Mzee wa kujikopesha...
Kwani kukopa huwa dhambi. Dhambi nikutolipa. Kumbukumbu Sumaye aliwahi kukopa pesa za NSSF na boss wake akachukua za serikali kujiuzia Kiwira coal mine. Wazee wa CCM.