MTWARA! Kimya kingi Kina mshindo..

MTWARA! Kimya kingi Kina mshindo..

Napita tu shughuli zangu mchana wa leo zilikuwa ngumu sana pale ofisini kwangu.
 
Serikali ina mabavu hadi upande wa Pili...laikini jiulize ni mradi gani uliowahi kuendelea "successfully" bila ridhaa ya wananchi??

Mkuu Sizinga,

With all of my due respect to you comrade,kwanza napenda kabs kuchukua nafasi hii kukuambia ya kwamba haupo peke yako katika hili,haupo pekeyako katika kila aina ya kejeli,dharau au matusi yanatolewa humu ndan na baadhi ya watu kwa kuangalia ukimya uliopo mtwara na muendelzo wa shughuli za mradi wa gesi ndan ya mkoa wetu huu,

Kwanza watu wanachopaswa kufaham ni kwamba harakati za mtwara hazikuwa na haziwez kuwa harakati za kipuuzi kama zinavyofanywa arusha na baadhi ya watu kwa masalhi ya huko pekeee bila kujali UTAIFA,harakati za MTWARA ni harakati za ukombozi wa taifa lote kwa UJUMLA,

SIZINGA,WAPO WAPUUZI wanadhani kwamba zile zilikuwa ni harakati za chama fulani,kias kwamba mtu ukionekana kukikokosoa chama hiko basi inaonekna umenunuliwa au umekubali matokeo,hilo sisi halitupi shida,SLOGAN YETU IPI WAZI KABISA,NAYO NI UTAIFA,GESI KWNZA SIASA BAADAE,GESI KWANZA VYAMA BAADAE,NA KATIKA HARAKATI ZILE
WAMESHIRIKI WATU WA AINA MBALI MBALI,NA MAKUNDI YA AINA MBALI MBALI,VIJANA.WAZEE,WANAWAKE,MADHEHEBU MBALI MBALI YA DINI NA KADHALIKA,LABDA KAMA HAO JAMAA WATAKUWA WAMESAHAU,SISI TUKO IMARA BADO.

MADAI YETU TUMESHAYAFIKISHA,TUNACHOFANYA KWA SASA NI KUKAA KIMYA KUANGALIA UTEKELEZAJI,KAMA WAKIPUUZA HII MIUNDOMBINU SI IPO??WATAWEZA KUILINDA YOTE KUNAZNIA MTWARA TO DSM MILELE??


SO,HAO WAPUUZ WAPUUZ WANAODHANI SISI TUPO KWENYE HARAKATI KAMA HIZI KINJAA NJAA NA KUTUMIWA KAMA WANAVYOTUMIWA WAO NI WA KUWADHARAU TUH,CCM WENYEWE WANAJUA SHUGHULI ILIYOPO MBELE YAO,SISI HATUNA TIME NA WANASIASA,SISI TUNASIMAMIA HAKI ZETU NA RASILIMALI YETU KWA MASLAHI YA TAIFA.
 
Sakata la Wanamtwara kupinga gesi kupelekwa Dar lilitulizwa kwa nguvu kubwa sana, halikumalizwa kabisa,
Tuliletewa wanajeshi na silaha za kivita + vifaru,

Viongozi wetu waliteswa sana wengine waliumizwa, dada zetu walibakwa, mali zikaibwa na nyingine kuharibiwa vibaya kwa vile tu tulidai usawa katika mgawanyo wa rasilimali.
Yote hayo hayajalipwa kwa lolote, hakuna mapya sana yaliyotekelezwa kutokana na madai yetu!

Ambayo ni pamoja na miundo mbinu mizuri, elimu na afya. Bado serikali haijaweka nia dhabiti yakukumbuka ukanda huu uliotengwa kwa kipindi kirefu. Watanzania huku Mtwara mabomba yakusafirisha gesi ndiyo yanachimbiwa ilhali hakuna la maana ambalo ni la moja kwa moja lililofanyika kwa wanajamii.

Naumia sana kuyaona haya mabomba yanavyowekwa huku, nakumbuka sana nguvu kubwa kupita kiasi iliyotumika kuwatuliza wananchi.

Nadhani ukimya wetu unaweza kuwa na kishindo kikubwa sana, kama serikali haitatekeleza yale tunayoyadai tokea mwanzo.

HAKI YETU haitapotea hivi hivi..

Haki haitapotea Bure Mkuu kiwatengu,

Na ukimya uliopo sio kwamba watu wameamua kuwa wanyonge na kupotea kwenye kusimamia haki zao,

MADAI AMBAYO WANAKUSINI WAMEKUWA NAYO YAMEZUNGUMZWA NA IKUMBUKWE ILIUNDWA HADI KAMATI YA BUNGE MAALUMKUJA KUSIKILIZA NA KUYAFANYIA KAZI MADAI YETU,SISI HATUWEZ KUWA WENDAWAZIMU TUINGIE BARABAAN NA KUFANYA MJI WETU USIKALIKE NA KUWA SEHEMU NJEMA YA KUISH ILI HALI TUNAJUA FIKA KWAMBA KILIO CHETU TAIFA ZIMA LIMESKIA NA LIPO NYUMA YETU,KINACHOFANYIKA KWA SASA PAMOJA NA UKIMYA HUU NI KUANGALIA OUTCOMES KATIKA YALE AMBAYO TUMEYAWASILISHA,SISI TUNAJITAMBUA,HATUWEZ KUTUMIKA KIPUMBAVU NA WANASIASA KAMA WANAVYOTUMIKA WATU WENGINE
 
mtwara wanajeshi wameenda kimya mpaka leo gesi inaenda dar hakuna pingamizi hata mkijengewe kiwanda elimu hamna majanga full..
 
thats way i real like you bid show umeongea ukweli kuwa yalitakiwa tuyazungumze tumeyazungumza na tunaenaendelea kuyafaya kwa pande zote mbili
 
Huko kusini mpompo tu, mlipopigwa mkwara tu jeshi, mkakaa porini hakuna wa kudhubutu ten! na hicho kiwanda cha dangote ni geresha tu!
 
Sakata la Wanamtwara kupinga gesi kupelekwa Dar lilitulizwa kwa nguvu kubwa sana, halikumalizwa kabisa,
Tuliletewa wanajeshi na silaha za kivita + vifaru,

Viongozi wetu waliteswa sana wengine waliumizwa, dada zetu walibakwa, mali zikaibwa na nyingine kuharibiwa vibaya kwa vile tu tulidai usawa katika mgawanyo wa rasilimali.
Yote hayo hayajalipwa kwa lolote, hakuna mapya sana yaliyotekelezwa kutokana na madai yetu!

Ambayo ni pamoja na miundo mbinu mizuri, elimu na afya. Bado serikali haijaweka nia dhabiti yakukumbuka ukanda huu uliotengwa kwa kipindi kirefu. Watanzania huku Mtwara mabomba yakusafirisha gesi ndiyo yanachimbiwa ilhali hakuna la maana ambalo ni la moja kwa moja lililofanyika kwa wanajamii.

Naumia sana kuyaona haya mabomba yanavyowekwa huku, nakumbuka sana nguvu kubwa kupita kiasi iliyotumika kuwatuliza wananchi.

Nadhani ukimya wetu unaweza kuwa na kishindo kikubwa sana, kama serikali haitatekeleza yale tunayoyadai tokea mwanzo.

HAKI YETU haitapotea hivi hivi..
Kama mmetuliza ball watz wote tunafurahia. Tutakua mashahidi kuhakikisha ahadi zinatekelezwa.
 
Haki haitapotea Bure Mkuu kiwatengu,

Na ukimya uliopo sio kwamba watu wameamua kuwa wanyonge na kupotea kwenye kusimamia haki zao,

MADAI AMBAYO WANAKUSINI WAMEKUWA NAYO YAMEZUNGUMZWA NA IKUMBUKWE ILIUNDWA HADI KAMATI YA BUNGE MAALUMKUJA KUSIKILIZA NA KUYAFANYIA KAZI MADAI YETU,SISI HATUWEZ KUWA WENDAWAZIMU TUINGIE BARABAAN NA KUFANYA MJI WETU USIKALIKE NA KUWA SEHEMU NJEMA YA KUISH ILI HALI TUNAJUA FIKA KWAMBA KILIO CHETU TAIFA ZIMA LIMESKIA NA LIPO NYUMA YETU,KINACHOFANYIKA KWA SASA PAMOJA NA UKIMYA HUU NI KUANGALIA OUTCOMES KATIKA YALE AMBAYO TUMEYAWASILISHA,SISI TUNAJITAMBUA,HATUWEZ KUTUMIKA KIPUMBAVU NA WANASIASA KAMA WANAVYOTUMIKA WATU WENGINE

Ni kweli mkuu.
Na hii kauli yako, waielewe wale wote wanaodhani umenunuliwa.
 
Ingekuwa Serikali inaundwa na chama kingine, gesi isingetafutwa na kuchimbwa? Fataan.

Tumia Akili,
Wengine wangewasikiliza na kuwatendea haki wana Mtwara kuliko kuwapiga na kuwabaka.

Haki haipotei ila inacheleweshwa.

Hakika ipo siku mtajutia kuwapuuza wale wote wenye malalamiko zidi yenu.
 
Mkuu Sizinga,


Kwanza watu wanachopaswa kufaham ni kwamba harakati za mtwara hazikuwa na haziwez kuwa harakati za kipuuzi kama zinavyofanywa arusha na baadhi ya watu kwa masalhi ya huko pekeee bila kujali UTAIFA,harakati za MTWARA ni harakati za ukombozi wa taifa lote kwa UJUMLA,

SIZINGA,WAPO WAPUUZI wanadhani kwamba zile zilikuwa ni harakati za chama fulani,kias kwamba mtu ukionekana kukikokosoa chama hiko basi inaonekna umenunuliwa au umekubali matokeo,hilo sisi halitupi shida,SLOGAN YETU IPI WAZI KABISA,NAYO NI UTAIFA,GESI KWNZA SIASA BAADAE,GESI KWANZA VYAMA BAADAE,NA KATIKA HARAKATI ZILE
WAMESHIRIKI WATU WA AINA MBALI MBALI,NA MAKUNDI YA AINA MBALI MBALI,VIJANA.WAZEE,WANAWAKE,MADHEHEBU MBALI MBALI YA DINI NA KADHALIKA,LABDA KAMA HAO JAMAA WATAKUWA WAMESAHAU,SISI TUKO IMARA BADO.

MADAI YETU TUMESHAYAFIKISHA,TUNACHOFANYA KWA SASA NI KUKAA KIMYA KUANGALIA UTEKELEZAJI,KAMA WAKIPUUZA HII MIUNDOMBINU SI IPO??WATAWEZA KUILINDA YOTE KUNAZNIA MTWARA TO DSM MILELE??


SO,HAO WAPUUZ WAPUUZ WANAODHANI SISI TUPO KWENYE HARAKATI KAMA HIZI KINJAA NJAA NA KUTUMIWA KAMA WANAVYOTUMIWA WAO NI WA KUWADHARAU TUH,CCM WENYEWE WANAJUA SHUGHULI ILIYOPO MBELE YAO,SISI HATUNA TIME NA WANASIASA,SISI TUNASIMAMIA HAKI ZETU NA RASILIMALI YETU KWA MASLAHI YA TAIFA.

Haki haitapotea Bure Mkuu kiwatengu,

Na ukimya uliopo sio kwamba watu wameamua kuwa wanyonge na kupotea kwenye kusimamia haki zao,

MADAI AMBAYO WANAKUSINI WAMEKUWA NAYO YAMEZUNGUMZWA NA IKUMBUKWE ILIUNDWA HADI KAMATI YA BUNGE MAALUMKUJA KUSIKILIZA NA KUYAFANYIA KAZI MADAI YETU,SISI HATUWEZ KUWA WENDAWAZIMU TUINGIE BARABAAN NA KUFANYA MJI WETU USIKALIKE NA KUWA SEHEMU NJEMA YA KUISH ILI HALI TUNAJUA FIKA KWAMBA KILIO CHETU TAIFA ZIMA LIMESKIA NA LIPO NYUMA YETU,KINACHOFANYIKA KWA SASA PAMOJA NA UKIMYA HUU NI KUANGALIA OUTCOMES KATIKA YALE AMBAYO TUMEYAWASILISHA,SISI TUNAJITAMBUA,HATUWEZ KUTUMIKA KIPUMBAVU NA WANASIASA KAMA WANAVYOTUMIKA WATU WENGINE

THE BIG SHOW

Hakika umesahahu au umeshalevya na kitu, Mimi nakushahuri tulia ndugu na kaa kimyaa kwa sasa unayoyandika humu hayaendani na wewe na ulichowahi kuandika humu,.

1. Hivi si wewe ndiye ulikuwa unashangilia humu uhabiri na kupigw akwa serekali na polisi huko Mtwara wakati ule? leo umesahau?
2. Hivi mmetulia baada ya KUJITAMBUA au baada ya Kipigo na Kutulizwa ?

3. Huku ukijitamba hamuwezi fanya uharibu, hapohapo unajisahau na kujitapa kuwa hawawezi kulinda hili bomba la gesi kana kwamba MTALIHUJUMU? sasa ukishalihujumu bomba si utakuwa ushaenda kinyume na mamenno yako? au unafikiri ukihujumu bomba uharibibu utakuwa ni ULAYA? au kwa TAIFA hili hili?
Au huo MKOPO huko CHINA wewe unafikiri na kujidangaya HAKUHUSU?

Narudia tena tafadhali kaa kimya ndugu kajipange tena na kwa sasa inaonekana KIPIGO alichopata ZITTO kimekuchanganya SANA SANA kiasi umejisahahu na ujitambui tena.

Mimi wewe nakukumbusha tu kuwa kwa haya ulio andika hapa wewe ni MNAFKI na hata DINI YETU imesema hivyo na hata DINI YAO imesema hivyo Nitakuwekea SIFA KUU ZA MNAFIKI ujikumbushe.
 
Last edited by a moderator:
THE BIG SHOW

SIFA KUU ZA MNAFKI:
1.DINI YETU

{1} Akiongea husema Uongo

{2} Akiaminiwa Haaminiki

{3}Akitoa Ahadi Hatekelezi

Izo ndizo sifa 3 kubwa za Mnafki!!


2. DINI YAO:

... Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako na hapo ndipo utaona waziwazi kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichoko jichoni mwa ndugu yako.
(Matthew 7.5)


"Thou hypocrite, first cast out the beam out of thine own eye; and then shalt thou see clearly to cast out the mote out of thy brother's eye."
(Matthew 7.5)


Au, unawezaje kumwambia mwenzako, Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi katika jicho lako, na huku huioni boriti iliyoko katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Toa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako, na hivyo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilicho katika jicho la ndugu yako.
(Luke 6:42)


ZIJUE TABIA ZA MNAFIKI!


Bwana Yesu alitoa hotuba moja kali sana pale alipokuwa amekusanya makutano wengi nae akapanda katika mlima na kuanza kuwafundisha watu.

Katika mafundisho yale Bwana Yesu aliwagusa watu aliowaita WANAFIKI, kwa kiingereza wanaitwa HYPOCTRITES.


Mnafiki kwa lugha rahisi ni mtu anaejifanya kuwa na tabia fulani nzuri lakini kiuhalisia tabia hyo hana.


Mathayo 6, Bwana Yesu amejaribu kusema baadhi ya wanafiki katika makutano yale.


1. Watu wajifanyao wema
Bwana Yesu anasema "Angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu, kusudi mtazamwe na wao; kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni"


Kuna watu kwenye jamii zetu ni wanafiki sana kwa kujifanya wao ni wema sana katika jamii ili waonekano wao ni wema na bora kuliko wengine. Tena kwa makusudi wanajifanyisha wema huo ili watu wawasifu na kuwapigia makofi.


Kuna watu wako tayari hata kwenye makanisa wafanye mambo ili tu waumini wamuone kuwa yeye ni bora na ni mwema kuliko wengine. Kuna watu hawako tayari kuwasaidia masikini/wenye uhitaji lakini wako tayari kuchangia kwenye hafla za watu ili wajulikane wao ni wema mbele ya jamii.


Kuna watu nakwambia wako tayari kufanya kazi ya Mungu makanisani ili tu wasifiwe na watu na wasiposifiwa hiyo kazi hawaihitaji, nakwambia wewe ni mnafiki. Na hakuna neno linauma kama kuambiwa wewe ni mnafiki. Lakini ukweli ndiyo huo kama unataka kufanya mambo ili uonekane machoni pa watu wewe ni mnafiki na huna thawabu mbele za Mungu. Saidia maskini na wajane na wahitaji pasipo kutaka uonekane machoni pa watu maana yeye aonaye siri anakuona na atakupa thawabu.


2. Kwenye kutoa sadaka
Ndugu yangu kuna watu hadi kwenye kutoa sadaka wanataka watu wengine wajue kwamba jamaa katoa sadaka kiasi gani leo! Yesu akasema mstari wa 2, "Basi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani, ili watukuzwe na watu"


Kumbe kuna mijitu inatoa sadaka ili watu wawatukuze kuwa jamaa katoa fedha nyingi. Kuna watu nakuambia hata kwenye sadaka za changizo fulani fulani wanataka watoe sadaka zao zisikiwe na kila mtu ili tu jamaa atukuzwe.


Nakwambia wewe ni mnafiki, na huna thawabu mbele za Mungu.
Kwenye sura hiyo ya sita yameelezwa mengi kuhusu wanafiki. Ndugu yangu jiepushe kuwa mnafiki. Kuna mambo mengi ya kiungu waweza kuyafanya kimya kimya na ukapata thawabu.


Usifanye ili watu wakuone. Usimnunulie mchungaji au Padri wako kitu fulani na utake watu wajue ili wakusifu kwamba nawe ni mtoaji! Wewe ni mnafiki tu. Fanya kimya kimya na ninakuhakikishia Mungu wa mbinguni atakupa thawabu.
Katika jamii zetu wanasiasa ni kati ya watu wanafiki sana siku za hivi karibuni. Wanazungumza kuhusu amani lakini wanachokimaanisha sicho hata kidogo.


Wanasiasa kwenye majukwaa wana hubiri amani wakishuka wanaenda kupanga mikakati ya kuwagawa watu kwa sababu ya makabila, dini na maeneo watokako. Wana siasa mnaofanya hivyo ninyi ni wanafiki tu, hamna lolote. Na Mungu aliye hai atawalipa na udhalimu wenu. Na ninawaambia fungu lenu halimo katika watanzania wanaotaka amani ya Taifa hili na mbingu ziwakemee.

Mungu akubariki sana.

CC: Shukrani kwa kbm na @Howty Lady bila kumsahahu mwanzilishi wa hii thread ya UNAFKI ndugu vamda ya Tarehe 28/11/2013.

Thread: https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/561019-mtu-mnafiki-utamtambuaje.html
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli mkuu.
Na hii kauli yako, waielewe wale wote wanaodhani umenunuliwa.

Ni kweli unakubaliana naye kuwa hawafanyi UHARIBIFU?
Hivi walio choma MAGARI HALMASHAHURI, HOPSPITALI, MAJENGO, MAHAKAMA NA UHARIBU MWINGINE MWINGI WKATI ULE MPAKA WANAJESHI WALIPOKUJA KUWATULIZA HAWAKUWA HAWA?

Hivi huyu THE BIG SHOW si ndio alikuwa mstari wa mbele na kushangilai humu?
tafadhali kiwatengu tuwe w akweli wansfisi mwenyezi Mungu hapendi hii hali ya KUWA MNAFKI na hakika wamengamia wote wenye kushiriki na kuushabikia UNAFKI.
 
Last edited by a moderator:
Sakata la Wanamtwara kupinga gesi kupelekwa Dar lilitulizwa kwa nguvu kubwa sana, halikumalizwa kabisa,
Tuliletewa wanajeshi na silaha za kivita + vifaru,

Viongozi wetu waliteswa sana wengine waliumizwa, dada zetu walibakwa, mali zikaibwa na nyingine kuharibiwa vibaya kwa vile tu tulidai usawa katika mgawanyo wa rasilimali.
Yote hayo hayajalipwa kwa lolote, hakuna mapya sana yaliyotekelezwa kutokana na madai yetu!

Ambayo ni pamoja na miundo mbinu mizuri, elimu na afya. Bado serikali haijaweka nia dhabiti yakukumbuka ukanda huu uliotengwa kwa kipindi kirefu. Watanzania huku Mtwara mabomba yakusafirisha gesi ndiyo yanachimbiwa ilhali hakuna la maana ambalo ni la moja kwa moja lililofanyika kwa wanajamii.

Naumia sana kuyaona haya mabomba yanavyowekwa huku, nakumbuka sana nguvu kubwa kupita kiasi iliyotumika kuwatuliza wananchi.

Nadhani ukimya wetu unaweza kuwa na kishindo kikubwa sana, kama serikali haitatekeleza yale tunayoyadai tokea mwanzo.

HAKI YETU haitapotea hivi hivi..

Akili zako zinafaa uwe mkulima wa uyoga.
 
Tumia Akili,
Wengine wangewasikiliza na kuwatendea haki wana Mtwara kuliko kuwapiga na kuwabaka.

Haki haipotei ila inacheleweshwa.

Hakika ipo siku mtajutia kuwapuuza wale wote wenye malalamiko zidi yenu.

Mbakane wenyewe muisingizie Serikali?

Hivi ni nini kilichopelekea wakapigwa? kama si kushawishiwa na vyama vya siasa visivyoitakia mema hii nchi na kuwashawishi kuingia mitaani?

Mkiingia tena mitaani kujaribu kufanya fujo, mtapigwa tu.

Mbona mimi natokea sehemu yenye utajiri wa gesi katika Tanzania lakini sijaingia mitaani nimeziona fursa na nimeanza kuzichangamkia, tartiibu bila fujo, nikianzisha fujo hizo fursa ntazitumia kweli?

Kwanza bomba tu la gas limepita kwenye shamba letu, tumekula millioni 60 za fidia, tumepewa sehemu mpya ya kulima na bulldozer la bure kuja kutung'olea visiki,siku mbili tu eka 60 kweupeee, tractor la bure la kutulimia, tukingoja tractor letu tulilokopa kufika kwani shamba letu lilikuwa limesha limwa. Uuu yake tumepewa hati ya kimila within 1 week, juu yake tumeweza kukopa tractor kwa hiyo hati ya kimila, sasa tena tumeshapanda na tumeweza kuchimba kisima kirefu, tunaunganisha mabomba ya "drip irrigation" burdaaan wa sharaba isingekuwa hilo bomba kupita la gas kupita tungeyapata yote hayo?

Wananchi wakae chini wazione fursa zilizopo, kila mmoja atafaidika ikiwa tu watakaa na kutazama fursa zilizopo na si kusikiliza vyama vya uchonganishi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom