Recent content by NURFUS

  1. N

    JamiiForums Tanzania Pinda alishamuahidi Dr. Ulimboka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

    Mkirindi hebu tumia ubongo wako vizuri, ni hasara kuutumia kipuuzi ubongo wenye uwezo mkubwa kipumbavu kiasi hichi.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Pinda alishamuahidi Dr. Ulimboka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

    wewe Mkirindi nafikiri unatatizo na chadema, kwann wawe chadema ndio wenye siasa mbovu?? kwanini isiwe ssm chama au chama kingine. utakua unatatizo binafsi.
  3. N

    JamiiForums Tanzania SIMBACHAWENE: Sikufumaniwa

    Mimi naogopa kusema kuwa siasa maana yake ni kuropoka hata usichokuwa na uhakika. namsikitikia mheshimiwa Simbachawene, kweli wamemsingizia, ila najiuliz KAratu kuna umbali gani kiasi cha kumlazimu kulala Hotelini singida, hiyo hoteli aliyolala Mheshimiwa inaitwa Aqua, sababu za msingi za kulala...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

    yah, ni kweli me sioni kama kiongozi ni dhaifu ila mfumo mzima ndio dhaifu maana hawezi kuongoza na kutoa matunda watanzania tunayotarajia kama mfumo huu hautabadilika. Kiukweli mfumo ndio uliomuweka pale, na lazima autumikie, na kwa mantik hii tusitegemee jipya maana mfumo uko pale kulinda...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Bungeni: Mwigulu Nchemba achafua hali ya hewa!

    Am ashamed of the gvmnt, maana me siku zote najiuliza hivi ni kweli wana ssm hawaoni serikali inavyokwenda kuwanyima kura 2015, maana maisha ya watanzania kwa bajeti hii yanazidi kuwa mabaya, kama wafanyakazi wa serikali ndio wanumia zaidi, sitaki kuamini kwamba kweli wabunge wa ssm hawalioni...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

    ha ha ha ujinga gharama kubwa sana ndugu zangu
  7. N

    JamiiForums Tanzania BAKWATA yatangaza rasmi waislam kugomea sensa!

    shekhe kundecha hajawahi kuwa msemaji wa bakwata nafikiri anatupotosha,ngoja tumsikie shekhe mkuu ndio tutajua hili ni la kweli au la
  8. N

    JamiiForums Tanzania BAKWATA yatangaza rasmi waislam kugomea sensa!

    Mwenyewe nafikiri bakwata wangetuelezea umma kuwa baada ya kujua tupo wangapi pengine umuhimu ni nn hasa kwa taifa hili la watanzania wote isiwe kwa waislamu tu maana ukiwa na maslahi binafsi serikali haitakubali hata angekuwa nani asingekubali, tusaidieni hata kama tunagoma kuhesabiwa tujue...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Lusinde: Mimi mbunge nina laini moja, 'Mama Ntilie' ana laini nne za nini?

    Lusinde, me nafikiri huyu si mtu wa kujadili maana sijui kama anajua alichokisema, kuwa na line moja anafikiri ndio kuishi kulingana na hali, wakati wao wanashabikia kupanda kwa gharama za kuzungumza, na ninashindwa kuelewa wale tunaofikiri ni kioo cha jamii kumbe wanakuwa uchafu kwa jamii kwa...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Serikali na watumishi wake

    Serikali yoyote ile ni kama baba kwa watumishi wake, ila pale serikali inapokuwa au inapofanya kitu ambacho pengine kila mtu anakuwa na maswali, hii inampa mtu maswali kwamba hivi ni kweli kwamba serikali inaweza kuwa kama baba kwa watumishi wake. Mfano hivi sasa serikali inaendelea na mchakato...
  11. N

    JamiiForums Tanzania JK Rais wa kwanza mchumi aliyeboronga uchumi wetu...

    Ndioooo
  12. N

    JamiiForums Tanzania Kutoka CHADEMA: Updates juu ya msiba wa Mheshimiwa Regia Estelatus Mtema

    Tumepoteza mpiganaji na kikubwa zaidi aliyewakilisha nawazo mengi ya wanawake na jamii iliyomzunguka. Mungu amuweke alipomuandalia. Amen
  13. N

    JamiiForums Tanzania Mishahara serikalini kulipwa dirishani

    Yah mimi binafsi naona kuwa hili linaweza kuwa jambo la msingi sana kwani litapunguza kulipa watu hewa lkn kama kawaida ya watanzania wengine wao wanawaza namna ya kuila hiyo hela itakayobaki, kwa hivyo watakachokifanya hapa ni kwamba wahasibu ndio watakaokula hiyo hela, wao wanajua watailaje...
  14. N

    JamiiForums Tanzania C.C.M hakitakubali kufukuzwa kwa Kafulila

    Yah katika vitu ambavyo katiba ya tanzania haiwatendei haki watanzania ni pamoja na suala la mgombea wa kiti cha ubunge, kama ilivyotokea sasa kwa nccr, ni dhahiri kuwa wananchi hawatambuliki na katiba, wananyang'anywa uhuru wao, mimi sikuona sababu ya wananchi kumchagua mtu alafu akifukuzwa...
  15. N

    JamiiForums Tanzania '''''maajabu saba ya dunia''''''

    Yah kiukweli hakuna haja ya kuwa na maajabu yenye kupigiwa kura maana maajabu ni maajabu tu yani kuna watu wana mtazamo finyu sana kitu ni cha kushangaza ni cha kushangaza tu hakuna additional fictions hapo
Back
Top Bottom