The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
fuatilia global economy ww acha chuki.uchumi wa dunia umedorora na umeyumba,we upo dunia gani?tanzania isnt isolated frm the world
Kudorora kwa uchumi wa Magharibi hakujaadhiri uchumi wa sub-Sahara countries so far. Hata RSA ambao trading partiners wao wakubwa ni EU hawajaadhirika kaasi hicho. Sasa wewe unayesema haya sijui kuadhirika kwetu kunatokana na ukosefu wa misaada tuliyozoea kupata ambayo sasa imekuwa migumu ama??
By the way, hivi ile stimulus package ya JK iliishiwa wapi vile???