MkuuMtarajiwa
Member
- Sep 7, 2010
- 57
- 10
Ni ishara ya "Kasi Zaidi, Nguvu Zaidi, Ari Zaidi"
Nadhani tunarudi kinyumunyume sasa!!!!
Nadhani tunarudi kinyumunyume sasa!!!!
Jamani wana JF,
Naombeni mnisaidie labda mimi ndio sijaelewa kauli ya waziri wa utumishi mhe.Hawa Ghasia alipokuwa kikao cha kamati ya kudumu ya bunge ya katiba na sheria alipokuwa akijibu maswali/maoni ya baadhi ya wabunge;eti serikali inajiaandaa kuanza utaratibu wa kuwalipa wafanyakazi wa serikali mishahara kupitia dirishani
Wanataka majambazi yaanze shughuli zao kwa kuvamia cashiers wanapotoka benki kuchukua hiyo mishahara na kwenye ofisi za kulipia. Amesahau kipindi kile walipochukua mamilioni ya mishahara ya Polisi pale Kituo cha Polisi Msimbazi?
Tatizo la Tanzania kila kiongozi anapoingia madarakani anakuja na wazo lake!!!!
Tanzania ndio ina-collapse hivyo .....! Mnashangaa nini!
Kweli huyo waziri kichaa anataka kuturudisha henzi ya zamani pumbavu zake
......hata sisi wafanyakazi feki tutaenda kuwachukulia mishahara wahasibu kwa kutumia vitambulisho feki......