C.C.M hakitakubali kufukuzwa kwa Kafulila

C.C.M hakitakubali kufukuzwa kwa Kafulila

Royals

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,476
Reaction score
389
Wana jamii forum, sioni kama mkubwa wa bwana James Mbatia ataafiki kufukuzwa kwa mbunge huyu kwa sababu zifuatazo;

1. C.C.M. wanajua fika kuwa jimbo la Kigoma kusini si lao ni la Upinzani.
2. C.C.M. wanajua kuwa jimbo hilo si la NCCR bali ni la Kafulilia, wapiga kura walimpenda Mgombea na wala si chama.
3. C.C.M. wanajua kuwa kama Kafulila atagombea kwa tiketi ya Chadema ni hakika kuwa mshindani wao mkubwa ataongeza kifaa kingine ambacho ikitokea hivi ni mbaya kwao na hivo ni heri kufanya juu chini ili Kafulila abaki Nccr kuliko kwenda CDM.
4. Jimbo la Igunga lilikula sana mtaji wa nchi kiasi ambacho hakuna anayeomba jambo hili litokee tena. Kwa hali ilivo kwa sasa hata mbunge akishikwa na Maralia tu atakimbizwa India ili asije akafa na kusababisha kurudiwa kwa uchaguzi. Uchaguzi kama wa Igunga ukitokea mara mbili tu basa msishangae kuja kwa kodi ya kichwa.
 
Kwa kuwa wanakusudia kupinga kufukuzwa kwao mahakamani, mahakama inaweza kuwarejeshea uanachama wao kwani kuna element za uhuni kwenye kikao kilichowafukuza japo zimebarikiwa na bw Tendwa.
 
Wana jamii forum, sioni kama mkubwa wa bwana James Mbatia ataafiki kufukuzwa kwa mbunge huyu kwa sababu zifuatazo;

1. C.C.M. wanajua fika kuwa jimbo la Kigoma kusini si lao ni la Upinzani.
2. C.C.M. wanajua kuwa jimbo hilo si la NCCR hada bali ni la Kafulilia, wapiga kura walimpenda Mgombea na wala si chama.
3. C.C.M. wanajua kuwa kama Kafulila atagombea kwa tiketi ya Chadema badi ni hakika kuwa mshindani wao mkubwa ataongeza kifaa kingine ambacho ikitokea hivi ni mbaya kwao na hivo ni heri kufanya juu chini ili Kafulila abaki Nccr kuliko kwenda CDM.
4. Jimbo la Igunga lilikula sana mtaji wa nchi kiasi ambacho hakuna anayeomba jambo hili litokee tena. Kwa hali ilivo kwa sasa hata mbunge akishikwa na Maralia tu atakimbizwa India ili asije akafa na kusababisha kurudiwa kwa uchaguzi. Uchaguzi kama wa Igunga ukitokea mara mbili tu basa msishangae kuja kwa kodi ya kichwa.

1. Inaweza isikubali kufukuzwa kwa Kafulila kama watakuwa wamethibitisha kuwa hawana ubavu wa kulikomboa jimbo la Kasulu Kusini.
2. Hawatakubali Kafulila kufukuzwa endapo itathibitika kuwa CCM wana interest zao kwa Kafulila kuwepo ndani ya NCCR
 
Wana jamii forum, sioni kama mkubwa wa bwana James Mbatia ataafiki kufukuzwa kwa mbunge huyu kwa sababu zifuatazo;

1. C.C.M. wanajua fika kuwa jimbo la Kigoma kusini si lao ni la Upinzani.
2. C.C.M. wanajua kuwa jimbo hilo si la NCCR bali ni la Kafulilia, wapiga kura walimpenda Mgombea na wala si chama.
3. C.C.M. wanajua kuwa kama Kafulila atagombea kwa tiketi ya Chadema ni hakika kuwa mshindani wao mkubwa ataongeza kifaa kingine ambacho ikitokea hivi ni mbaya kwao na hivo ni heri kufanya juu chini ili Kafulila abaki Nccr kuliko kwenda CDM.
4. Jimbo la Igunga lilikula sana mtaji wa nchi kiasi ambacho hakuna anayeomba jambo hili litokee tena. Kwa hali ilivo kwa sasa hata mbunge akishikwa na Maralia tu atakimbizwa India ili asije akafa na kusababisha kurudiwa kwa uchaguzi. Uchaguzi kama wa Igunga ukitokea mara mbili tu basa msishangae kuja kwa kodi ya kichwa.

acha ku2mia masabur jimbo ni la ccm kwan ni taasis kubwa
 
Kweli we mwehu. Jarbu kutumia akili kuwaza.
 
Wasikubali kwani wao ni nani mkuu?wao ndio majaji au?hebu tumia busara sio kila kitu ccm pambav
 
1. Inaweza isikubali kufukuzwa kwa Kafulila kama watakuwa wamethibitisha kuwa hawana ubavu wa kulikomboa jimbo la Kasulu Kusini.
2. Hawatakubali Kafulila kufukuzwa endapo itathibitika kuwa CCM wana interest zao kwa Kafulila kuwepo ndani ya NCCR
Hivi kuna CCM ngapi???
Wote tumekubaliana humu kwamba Mbatia ni kibaraka wa CCM na maneno hayo yalitolewa na Mbowe baadaye kafulila akaunga Mkono!!!
sasa iweje CCm wawe na interest na Kafulila ???
Ninacho Kiona mimi ni Kwamba kama kuna mazungumuzo ya dhati Kwa CDM kumuchukua kafulila ni lazima CCM wakaogopa maana Jimbo hilo ni lazima liende CDM???

Lakini kama CDM watashindwa Kumuchukua kafulila basi CCM hawana wasisi na jimbo hilo kwani watakuwa wamegawa Upinzani!!!. Kumbuka pale Vyama vinavyoweza kuwa na nguvu ni CDM na NCCR/CCM na common agent ni Kafulila!!!
 
Napita tu. Mambo ya Ngoswe.......................
 
Hujui huandikalo!!
CCM wanahofia chaguzi ndogo kwa majimbo yaliyokua yao tu,
Wanaogopa kuyapoteza.
But kwa majimbo ya upinzani hata ukifanyika uchaguzi kwa majimbo YOTE kwao CCM ni poa tu kwa kua hawana cha kupoteza, hela za kampeni watachota serikalini!!
tafakari!!
 
Wakumbuke hizo siasa zao uchwara mwisho wa cku anaeumia ni mwananchi. Huo ni ubaya na mwisho ubaya ni aibu. Wamkumbuke Kafulila na wengine wanafiki wanavyoumbuka kila leo.
 
Siasa za TANZANIA kwa ukweli, mimi nashidwa kuzielewa.
 
NCCR kimekuwa kama Condom, wanasiasa wanakitumia na kukiacha hamu zao zikiisha! Wakumbukeni akina Lyatonga & Marando!
 
hata suala Rashid na CUF yake bado natilia shaka kuwa huenda likaleta shida kwa serikali yetu kama huyu naye atafukuzwa kama alivyo Kafulila. Uchaguzi wa kurudia rudia ni ugonjwa wa mbaya kwa uchumi wa nchi. Mimi binafsi siufurahii.
 
Chonde chonde huyu kijana asije cdm, yaani huyu ni pasua kichwa.
 
Hivi kuna CCM ngapi???
Wote tumekubaliana humu kwamba Mbatia ni kibaraka wa CCM na maneno hayo yalitolewa na Mbowe baadaye kafulila akaunga Mkono!!!
sasa iweje CCm wawe na interest na Kafulila ???
Ninacho Kiona mimi ni Kwamba kama kuna mazungumuzo ya dhati Kwa CDM kumuchukua kafulila ni lazima CCM wakaogopa maana Jimbo hilo ni lazima liende CDM???

Lakini kama CDM watashindwa Kumuchukua kafulila basi CCM hawana wasisi na jimbo hilo kwani watakuwa wamegawa Upinzani!!!. Kumbuka pale Vyama vinavyoweza kuwa na nguvu ni CDM na NCCR/CCM na common agent ni Kafulila!!!


Wewe acha ujinga:
1. "wote tumekubaliana...." hivi unavosema hivo umetuuliza wengine...??
2. "...ni kibaraka wa ccm....., yalitolewa na mbowe, .....kafulila akaunga mkono" nani alikuambia kuwa mbatia ni kibaraka wa CCM??? huu ni uwongo na majungu kwa mtu mzima kama wewe kuongea vitu ambavyo hujavifanyia utafiti (research), hivi wewe kila linalotolewa na mbowe wewe kazi yako ni kulidakia tu, je huna akili ya kuchuja mambo..? na kitu kikiungwa mkono na kafulila wewe kwako tayari unaona ni sawa tu, usiwe mvivu wa kufikiri mtu mzima..!
3. "...ni LAZIMA CCM wataogopa....!!!" huu ujinga wa kuisemea CCM umeuanza lini, hivi wewe umekuwa msemaji wa CCM siku hizi..!! huoni hata aibu kusema eti ...ni lazima CCM..! haya endelea na mawazo yako mgando, ninyi ndo munawotuharibia jamii forum yetu kwa kuwa na mawazo ya kulazimisha kila jambo...!
 
Yah katika vitu ambavyo katiba ya tanzania haiwatendei haki watanzania ni pamoja na suala la mgombea wa kiti cha ubunge, kama ilivyotokea sasa kwa nccr, ni dhahiri kuwa wananchi hawatambuliki na katiba, wananyang'anywa uhuru wao, mimi sikuona sababu ya wananchi kumchagua mtu alafu akifukuzwa uanachama anaukosa na ubunge, ndio pamoja na sera za chama hicho pengine ndivyo vilichangia kumpa kafulila jimbo lkn wapo wale waliompenda kafulila na sio chama. Pamoja na uwepo wao kwenye ulingo wa siasa kwa karibu muongo pengine na zaidi lkn hawajawa na ushawishi mkubwa kiasi kikubwa kwa kipindi cha hapa karibuni na hiyo inawezekana kabisa kafulila alichukua jimbo kwa jina lake kwa wananchi na sio kwa jina la chama. Hii ingetosha kabisa yeye kukosa uanachama lkn akabaki na wananchi wake. Wananchi hatutendewi haki na katiba kwa kipengele hiki, lkn pia inawezekana kwa kiasi kikubwa walioko madarakani au wale wenye nafasi kubwa ya kusema kitu na kikatekelezeka kwenye serikali ndio wakawa na interest binafsi na suala la namna hii.
 
Uchaguzi mdogo unayumbisha mapato ya chama,kwan ccm nao si chama kama vingine labda ungeniambia Tendwa apinge,ccm na nccr vyote vina haki sawa vinaongozwa na sheria moja hakuna chama kipo juu ya mwingine
 
1. Inaweza isikubali kufukuzwa kwa Kafulila kama watakuwa wamethibitisha kuwa hawana ubavu wa kulikomboa jimbo la Kasulu Kusini.
2. Hawatakubali Kafulila kufukuzwa endapo itathibitika kuwa CCM wana interest zao kwa Kafulila kuwepo ndani ya NCCR

CCM ndio wanaomlipa Mbatia na ndiye aliyepiga kampeni ya fedha na kufanikiwa kumfukuza Kafulila sasa iweje tena wasiafiki aliyoyafanya kibaraka wao? Kuhusu jimbo Kafulila kashika mpini kule Kigoma kwani hata akigombea na JK au akajiunga na chama mufilisi kama TADEA bado atashinda kwa kishindo na si lazima atokee CDM
 
Tamaa ya jimbo moja inaweza kugharimu chama kizima, Kafulila hafai kwa ustawi wa chama, anaweza kuwa ni electible but not long term investment ya chama, Kama CDM ilijipanga kwa miaka 18 huku kina mrema, Lamwai, Mabere, Ringo Tenga, Mbatia nk wakionyesha umahiri wa siasa kumbe walikuwa wanafiki kwa nini leo kumshadidia Kafulila ambaye ana element zote za mizozo na uvujishaji siri. Kosa alilokimbizwa nalo uongozi CDM ni kuvujisha siri na utovu wa nidhamu leo kapatwa na makosa hayo hayo.

Sio vyote ving'aavyo ni dhahabu. Demokrasia inagharama zake, ni pamoja na kutambua watu wa ukweli.
 
Back
Top Bottom