Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

Status
Not open for further replies.
Hivi ndugu waislam nani katulaani ? Yaani tuna acha kusimamia mambo ya maana tunataka shari.Sisi waislam Dunia nzima tumekuwa kituko .Tuna madai lukuki ambayo hata kwenye uislam kwenyewe hakuna .Hebu tuacheni ujinga ni muda sasa wa kuendelea .Wenzetu wakristo tunawapigia kelele wao wanafanya ya kuonekana .Siye madai ya kijinga na fitina .Hivi Uislam ni laana ?Kama ni laana basi mie najitoa kabisa maana ni aibu hii hata kuitwa muislam kwa ujinga huu .

Ni kweli ndugu zetu wakristo wanafanya ya maana kama haya

vicar_1700537c.jpg








The pair are due to marry on Oct 9 at the register office in Devizes before holding a service at St John the Baptist Church
 
wakristo hawajawai hata cku moja kusema kipengele cha dini kiwepo ama kisiwepo...ktk sensa.....
huyo anayesema ivo ni mpotoshaji.....
natamani sana nione wakisusia kwenda kwenye shule na mahospitali yanayomilikiwa na mashirika ya dini yasiyo yao....
ndo kweli ntawasifu..kama wanaweza......
 
Shule na hospital zinahudumia wananchi wote bila kujali dini zao nyie endeleeni kujenga madrasa mtengemee serikali iwaunge mkono.
Madrasa zenyewe ziko wapi watoto wanajifunzia kwenye tuvyumba tudogo kama choo!
 
wanabodi wenzangu.

Kwanini serekali na makanisa yanapinga Kipengele cha dini ktk sensa ?
Hivi kweli linaweza likaigawa Taifa?

nasikia kila mwaka serekali inatoa fedha kwa ajili ya dini ya kikiristo kuendesha miradi yao kama Hospitali, shule na Hoduma za maji kwa ajili ya waumini wakiristo waliopo tz.

Mfano hai wa hili ni ule mkataba wa mwaka 1992 ujulikanao kama; “Memorandum of Understanding between Christian Council of Tanzania and Tanzania Episcopal Conference and the United Republic of Tanzania (MoU)”.

“Sisi tuliotia saini katika MKATABA HUU WA MARIDHIANO; ambao ni Makanisa chini ya Baraza la Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) (ambao hapa watajulikana kama “Makanisa”) kwa upande mmoja na Serikali ya Muungano wa Tanzania (ambayo katika mkataba huu itajulikana kama “Serikali”)… kwa ajili ya Serikali na Makanisa katika kuendeleza sekta ya huduma za jamii, kwa lengo la kupata fedha, kuratibu, kuwezesha, kuboresha, kupanua na kukarabati huduma hizi kwa ajili ya manufaa ya wananchi wa Tanzania”.
Jee hii nayo sio ubaguzi na kuligawa taifa?Kweli kanisa litakubali kutumia pesa kwa ajili ya maendeleo ya waislam?
Endapo waislam watasema hii inatosha na inatosha na serekali istishe fedha za umma kugaiwa dini moja. jee amani itakuwepo?
Au umoja na mshikamano huwa kwa dini moja kumzidi dini nyegine kwa matumizi ya fedha za serekali yetu?
sasa kama serekali itoa pesa kwa ajili ya kanisa kwenye mashule yao. hizi peesa za bajeti ya Wizara ya Elimu na wizra ya afya inafanyiwa nini? Hivi kweli kanisa litakuwa na moyo kutoa pesa wanazopewa na serekali kutoa hoduma za kwa jamii ya kiislam? Mifano midogo tu hapa tunaiona linapokuja swala la msingi makanisa yanapinga. yatakubali kutoa fedha kwa ajili ya maendeleo. AU TUNAPIGWA CHANGA LA MACHO?




Nakusikitikia na nawasikitikia wenzako walio kama wewe ambao kucha kutwa mmekalia suala la udini. Hebu ndugu zangu waislamu kuweni na busara kwani inavyoelekea busara zinaelekea kuwaisha na kuanza kuleta mambo yasiyo na msingi ambayo mwisho wake utapelekea kwenye machafuko. Mnataka kuturejesha enzi za mtume wenu kwenye vita za jihad, hebu jaribuni kwenda shule kupanua akili ili muweze kufikiria mambo ya maendeleo kuliko kukalia majungu na malumbano. Acheni upumbavu na upuuzi. Humu jamvini tunahitaji watu wastaarabu, na sio wapika majungu.
 
unaelewa maana ya nyota na mwezi? Usiwe unapenda kukurupuka soma vizuri ukikosa maana niambie nitajuza. Yesu ni njia ya kweli.

We mpumbavu kweli, yaani inaonesha ni jinsi gani upayuka tu bila kufanya utafiti ya uyasemayo. Hivi huyo mnayemwita Mtume na nabii sijui ndio issa, sijui saidi, sijui maulidi hata hana jina maalum, Historia yake ya kweli unaijua, unafahamu alivyoishi? kwa kifupi tu nikumegee na nenda katafute ukweli ktk internet kuhusu maisha ya huyo aliyekwisha potoka na kuwapotosha ninyi pia. ki ukweli, historia yake inasema kuwa alikuwa na wake zaidi ya tano. ktk hao mmoja alikuwa ni binti wa miaka sita eti kwa madai kuwa allah amemwonesha ktk ndoto kuwa awe mkewe-Mungu wa kweli na aliye hai hayuko hivyo(mbakaji na mkiuka haki za binadamu), pili alimlazimisha mtoto wake wa kufikia wa kiume ampe talaka mke wake ili yeye amwoe na ndivyo ilivyokuwa (Mzinifu na mwenye tamaa za kupitiliza) Pili alikuwa anatokwa na mapovu mdomoni na kupoteza fahamu (alikuwa akikumbwa na pepo mchafu ila alikuwa
akidai eti alikuwa anapata maagizo toka kwa ala, wapi umewahi sikia Mungu anatoa ujumbe wa namna hiyo?

Pia alikuwa akipata mali za kujenga na kuendeleza ngome yake kwa kushambulia misafara ya kibiashara kwa wakati ule na kuwauwa hao wafanyabiashara na mateka walilazimishwa kujiunga na uislamu, na kama walikiuka waliuwa kwa kuchinjwa(Mungu aliye hai na wa kweli hatafuti wafuasi kwa upanga na kamwe hatofanya hivyo, vile vile Mungu aliye hai hatufundishi kupata mali kwa kunyanganya, kuiba na kudhulumu....Naomba fuatilia historia ya mtume wako ambaye waislamu mnamuamini kuwa katumwa na allah, kwa hakika huyu ni allah wala sio Mungu wa mababu wa imani Ibrahimu, Isaac na Yakob-alifanya mambo machafu na bado mnayaendeleza aliyoyafanya, he cant be a prophet for sure, you believe in nothing. Get to read the history, All of you go to school and you will know the truth rather than craming the so calle quran, you have to understand things rather than craming and you will be free you lost men.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom