Recent content by Nsengimana

  1. N

    Lissu anamwaga cheche Kibaha

    Asante kwa taarifa mkuu.Bravo kamanda Lisu.
  2. N

    MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

    Hayo ya jumla yanatoka saa ngapi wandngu?
  3. N

    Kesi ya kupinga matokeo ya Godless Lema

    Natamani hakimu angepitiwa Lema anyang'anywe ubunge halafu uchaguzi urudiwe,am sure kwa jinsi Arusha palivyopatamu kwa sasa,magamba wataambulia chini ya 10% ya kura zote,the rest CDM...sema 2 uchaguz ni gharama.
  4. N

    Vijana 15 wenye nguvu na ushawishi ktk CHADEMA

    Hauwezi kutaja majembe vijana ndani y CDM ukamuacha Godbles Lema MB Arusha mjini,pia hauwez kwepa kumtaja Joseph Mbilinyi a.k.a. Sugu hawa watu wanaushawishi mkubwa.
  5. N

    Prof. Safari awajibu wanazuoni wa kiislamu kuhusu DC

    Wenye masikio ya kusikia wamesikia.
  6. N

    Mtatiro aishambulia Chadema Igunga

    <br /> <br /> Well said mkuu,ila sina hakika na hiyo idadi ya wabunge 16.Je,hiyo ni idadi ya wachaga waliopewa viti maalum au ni idadi ya wawakilishi wa mkoa wa kilimanjaro.Kuna uwezekano mbunge akawa toka KLM lakini si muwakilishi wa KLM.Kama kuna mwenye kuwajua wabunge hao 16 hembu atupatie...
  7. N

    Mtatiro aishambulia Chadema Igunga

    <br /> <br /> Hata kama wabunge wote wakiwa wachaga,maadam wamechaguliwa na wananchi sioni tatizo.Je ni kweli wabunge wote CDM ni wachaga?Ukwel unaujua mwenyewe.
  8. N

    Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

    <br /> <br /> Nashukuru kwa taarifa,sikupata kuuangalia mkutano wa ufunguzi,pia sina acces sana na tv,mara nyingi news nazipata humu na kusoma magazet.Je RA alizungumza siku hiyo?Ama kweli magamba hamnazo.
  9. N

    Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

    Hivi wadau mnauhakika na mnayochangia?Mpaka sasa RA hajashiriki kampen directly,hajapanda jukwaani hata mara moja,ushiriki wake bado ni tetesi tu eti ameombwa na Jk.Sipingi hili,na ni unafiki mkubwa kwa RA na magamba kama kweli wataamua kumtumia RA Igunga,ila ninachotaka kusema ni kutaka wanajf...
  10. N

    Unakaribishwa Miaka 50 ya Peace Corps Washington DC: Mgeni Rasmi Kikwete

    WAPI NJOZI YA MWANAKIJIJI? Samahanini wanajamvi kwa kuingilia mada,kuna ishu inanitatiza na asubuhi nilianzisha thread ili nipate msaada ila sijaiona ikibandikwa,sijui haikukizi vigezo au la.Ni hivi wakuu,siku za nyuma kidogo kwenye mwezi wa saba kulikuwa na chapisho la Mzee Mwanakijiji...
  11. N

    Njozi ya Mwanakijiji: Tanzania kama Nigeria

    Wadau kuna makala fulani ilikuwa ikichapishwa kwenye gazeti la Tanzania kila Juma tano kama nakumbuka vizuri,iliyokuwa imebeba kichwa 'Njozi ya Mwanakijiji.Nilipata kuifuatilia kwa majuma matatu mfululizo,baada ya hapo kutokana na sababu fulani sikuwa na acces ya magazeti hivyo sikujua...
  12. N

    Marando na watuhumiwa wa ufisadi

    Sijui ni kwa nn wanajf tumekuwa wagumu kumuelewa mtoa hoja,na zaidi amejitahidi kuelewesha vizuri.Ni ukweli uliowazi kwamba tuliowengi humu ni ama mashabiki,wafuasi ama wapenzi wa CDM,hilo si tatizo hata kidogo.Shida niionayo ni pale fikra zetu,mawazo yetu na utashi wetu unapofungwa na mapenzi...
  13. N

    Mkatae mkubali heshima ya gazeti Tanzania Daima inazidi kupungua

    Toeni fact kitu hadharani tujue nin tofauti
  14. N

    Msaada: software ya kuview&kuplay video kwenye simu

    Mi natumia nokia 2700,sometime ina upload sometime inagoma,mwenye msaada wa mawazo pls!
  15. N

    Mawaziri na wabunge waliofanya vibaya katika bunge la bajeti...

    <br /> <br /> Acha upupu,kama kuna majembe niliyoyaona pale mjengoni Lema na Wenje ni kati ya majembe ya ukwel,mbona makinda+ccm walikoma!
Back
Top Bottom