Miss Parliament
Senior Member
- Jun 27, 2011
- 107
- 48
Mkuu kama nawaona vile yaani pale pembeni kakaa1.Nassari2.Eche3.Kilewo4.Gwakisa5.Nanyaro6.Ben wa saanane7.Dady igogo8.ChagulaniHawa ni sura mpya za cdm ndani ya mjengoni 2015 ambazo ninaamini zitaingia kwa gharama yoyote ile kutokana na uthubutu wao
Magamba wana kazi manake hizo spidi za akina joshua nassari,Ben Saanane,john heche na chagulani hazizuiliki.kuna edward kinabo na yule kijana mwingine wa washa taa mchana.Saanane amejenga mtandao mkubwa sana kwa vyombo vya habari na mitaa mingi ya dar,bavicha ilimpatia nguvu,ana mvuto mzuri wa kisiasa inavyoonekana.inabidi aendelee kujiimarisha na kujifua kikamilifu.steven owawa asisahaulike.joshua nassari anaweza kuingia hata kabla ya 2015 mbunge wake yuko mahtuti siombeei lakini tunaweza kutinga kwenye chaguzi ndogo soon