Unakaribishwa Miaka 50 ya Peace Corps Washington DC: Mgeni Rasmi Kikwete

Wanaharakati wote wanaoitakia Tanzania mema, Ratiba ya maandamano yetu bado yapo pale pale. tumebaini pia kwamba, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete Atakuwepo Washington DC katika maadhimisho ya miaka 50 ya Piece Corps. Tunafanya taratibu za kumfuata huko nako. Kaeni mkao wa kula, tutawataarifuni namna ya kukabiliana naye, hata tukiwa na wawakilishi 10, ni bora, kwani uwezo wao kufikisha ujumbe wetu utakuwa mkubwa sana. Tayari makamanda 12 wanajitolea kuandamana...Tupo kwenye hatua ya hawali na hapo kesho tutawapeni mpango kamili.....ila DICOTA bado pale pale Ratiba yake ni tarehe 13/9/2011

Huo ndio ukombozi wa kweli wakati walalahoi wakijikongoja Bongo kuikomboa nchi na nyie Mlio Nje tuungeni Mkono hata ikibidi muweke Kambi nje ya Hotel atakayopangiwa na Mwarabu wake anayemuhonga suti Fanyeni hivyo. Na kama ikiwezekana mrudisheni huku Bongo maana anatutia aibu kwa kuombaomba kwake, hana hata aibu. hata mkiwa watu 3 mmeandamana lakini ujembe lazima ufike sehemu yake. Saaaafi sana Mwingereza. I wish was there
 
Mhh..sasa wataongea nin na bush, wakati ye sio rais tena?? Au kuna kitu alisahau kwenye ile ziara yake ya siku 4.!

Anaenda kumpa Bush taarifa ya VYANDARUA vya kujikinga na malaria. Bush naye ana interest zake kwa JK na wala si suala la Peace Corps.
 
WAPI NJOZI YA MWANAKIJIJI? Samahanini wanajamvi kwa kuingilia mada,kuna ishu inanitatiza na asubuhi nilianzisha thread ili nipate msaada ila sijaiona ikibandikwa,sijui haikukizi vigezo au la.Ni hivi wakuu,siku za nyuma kidogo kwenye mwezi wa saba kulikuwa na chapisho la Mzee Mwanakijiji lililoitwa njozi ya Mwanakijiji.Nilibahatika kuifuatilia mpaka sehemu ya tatu kama si ya nne,ila kutokana na sababu kadhaa nilishindwa kuendelea kufuatilia,kama kuna mdau yeyote anaweza nijuza juu ya habari hiyo au kama mwenyewe Mwanakijiji atakuwa anapita humu naomba msaada.
 
Craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap
we bwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaabwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!
 
<span style="font-family: comic sans ms"><font size="4"><font color="#dda0dd"><b>Kwako wewe lamaana ni kuhongwa suti na mwanamme mwenzako</b></font></font></span>
<br />
<br />
teh teh teh, tena mwarabu, yallaaaaah!
 
Huo ndio ukombozi wa kweli wakati walalahoi wakijikongoja Bongo kuikomboa nchi na nyie Mlio Nje tuungeni Mkono hata ikibidi muweke Kambi nje ya Hotel atakayopangiwa na Mwarabu wake anayemuhonga suti Fanyeni hivyo. Na kama ikiwezekana mrudisheni huku Bongo maana anatutia aibu kwa kuombaomba kwake, hana hata aibu. hata mkiwa watu 3 mmeandamana lakini ujembe lazima ufike sehemu yake. Saaaafi sana Mwingereza. I wish was there

sasa wewe ulitaka upewe hizo suti? JK alipewa hizo suti kirafiki hacheni majungu. JK ndo rais wa kwanza kuwapeni uhuru wa kuchangi mawazo, hapa mlipo mnabwabwaja tu kama vile walevi... mnakera sana wana magwanda
 

My Take:-
Ni heshima kubwa kwa Taifa letu changa na Rais wetu kuheshimiwa na kupewa fursa hii.

Kupewa mwaliko wowote ni heshima lakini si lazima uende. Rais ni mtu mkubwa sana kuacha shughuli zake kwenda kuhudhuria sherehe za Peace Co hata kama ni mgeni rasmi. Peace Co si ndio mwaka huu mwanzoni kama sijakosea viongozi wake walipata kashfa wakaitwa kujieleza Capitol Hill. Naitafuta hiyo habari nikipata nitapost hapa. Pamoja na kwamba Peace Co ni shirika kubwa linalojulikana duniani; bado ingekuwa ni Marekani kama wangemwalika Obama ni wazi angetuma mwakilishi. However; wangeweza kumualika Bush au raisi mwingine mstaafu. Inawezekana pia wao wanavyom-rate raisi wetu ni tofauti sana na jinsi wanavyo-rate marais wa West.

Kama walivyosema wengine wengi wanaamini raisi ni institution na sio individual that means; mwaliko wa raisi does not mean you have to go; unapima na uzito wa jambo, time, cost, priorities ulizonazo etc. Ndio maana mialiko mingine unaona mtu anatumwa ku-present speech ya raisi. Naamini hata haya mashirika yanajua raisi ni mtu busy sana most likely hawatampata yeye lakini atatuma mwakilishi atakayewakilisha speech yake. Lakini huyu wa kwetu safari zote za nje yeye is available; halafu maswala ya ndani ya nchi ndio yakuhairishwa (hayapewi vipaumbele). Definately priorities zake ziko tofauti sana na maraisi wengine. Haya ngoja tuone.
 
Kama kawaida hii itasaidia kukuza mahusiano ya kidiplomasia ili tuendeleze kale kabiashara kichaa kakubadilishana dhahabu+uranium na vyandarua. Well done!!!!!!!
 
Ivi zile hotuba zake za kila mwisho wa mwezi zimeishia wapi???

Majukumu Mengi mama, na si kwamba amepeleka suti dry cleaner tuu sema alipewa bila viatu na unajua havipatikani hapa bongo. . Ndo amepitia ili

akishazipiga aende kwenye kikao cha UN, si unajua soon kuna kura zitapigwa kule?
 
September 8, 2011

I cordially invite you to join us for a very special Peace Corps 50th anniversary event to be held in Shriver Hall at Peace Corps headquarters in Washington, D.C., on Tuesday, September 13, at 10:30 a.m. Please arrive by 10:15 a.m. to ensure a quick security screening.

We are honored to have His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania, as our guest speaker. As part of the agency’s Loret Miller Ruppe Speaker Series, President Kikwete will be addressing the subject of the strong relationship that exists between our two countries and, in particular, the 50-year relationship between the Tanzanian people and the Peace Corps.

RSVP to Ms. Claudia Calderon, my special assistant, at (202) 692-2109 or ccalderon@peacecorps.gov, and to Kelly Daly, Desk Officer for Tanzania, at 202-692-2366 or kdaly@peacecorps.gov.

I certainly hope that you will be able to join us for this special event.

Sincerely,

Aaron S. Williams
Director

Utamsikia kwenye speech anawashauri wamarekani jinsi ya kuboresha jeshi lao. Kama kipindi fulani alivyozishauri baadhi ya nchi za Africa kwamba wasiposhughulikia ajira kwa vijana basi wanajitengenezea time bomb.....halafu alishawahi kuwaambia hata wasauzi kwamba lazima "atarevenge" kujenga bonge la world trade centre ndani ya bongo....tehe tehe tehe.
 
Majukumu Mengi mama, na si kwamba amepeleka suti dry cleaner tuu sema alipewa bila viatu na unajua havipatikani hapa bongo. . Ndo amepitia ili

akishazipiga aende kwenye kikao cha UN, si unajua soon kuna kura zitapigwa kule?

hapo kwenye red: Kumbuka ni travolta kutoka kwa madesigner wa kitaliano, au clark ama sketcher.
 
Kupewa mwaliko wowote ni heshima lakini si lazima uende. Rais ni mtu mkubwa sana kuacha shughuli zake kwenda kuhudhuria sherehe za Peace Co hata kama ni mgeni rasmi. Peace Co si ndio mwaka huu mwanzoni kama sijakosea viongozi wake walipata kashfa wakaitwa kujieleza Capitol Hill. Naitafuta hiyo habari nikipata nitapost hapa. Pamoja na kwamba Peace Co ni shirika kubwa linalojulikana duniani; bado ingekuwa ni Marekani kama wangemwalika Obama ni wazi angetuma mwakilishi. However; wangeweza kumualika Bush au raisi mwingine mstaafu. Inawezekana pia wao wanavyom-rate raisi wetu ni tofauti sana na jinsi wanavyo-rate marais wa West.

Kama walivyosema wengine wengi wanaamini raisi ni institution na sio individual that means; mwaliko wa raisi does not mean you have to go; unapima na uzito wa jambo, time, cost, priorities ulizonazo etc. Ndio maana mialiko mingine unaona mtu anatumwa ku-present speech ya raisi. Naamini hata haya mashirika yanajua raisi ni mtu busy sana most likely hawatampata yeye lakini atatuma mwakilishi atakayewakilisha speech yake. Lakini huyu wa kwetu safari zote za nje yeye is available; halafu maswala ya ndani ya nchi ndio yakuhairishwa (hayapewi vipaumbele). Definately priorities zake ziko tofauti sana na maraisi wengine. Haya ngoja tuone.

Mfano mzuri ni David Camron. Uliona alivyorespond wakati wa kashfa ya gazeti la times alikuwa south lakini aliahirisha ziara na kurudi kushulikia tatizo. Hata wakati wa machafuko ya wale vijana pia aliahirisha mapumziko yake.....wa kwetu mbona hayuko hivyo?
 
Sasa kama Vasco atakuwa Washington D.C. hapo tarehe 13/9 kuzungumza na hao peace cprps na halafu tarehe 23/9 anatarajiwa kufungua mkutano wa DICOTA; kwa muda wa siku 10 atakuwa anafanya nini marekani wakati nchi inakumbwa na matatizo lukuki?Unless baada ya huo mkutano wa peace corps jamaa aamue kurudi bongo na baadae amtume mtu mwingine kwenda kufungua mkutano wa DICOTA hivyo atakuwa amewala chenga wale waliompangia maandamano.
 
Hapo kwenye RED; huyo 'I' ndio naaaaani anayekaribisha hewa??????????? Ni Mzee Mwanakijiji au huyo William hapo chini???

Mnuso ndio huo hapo baba kwa wenye uwezo wa kusafiria ungo na wenye suti nadhifu.


September 8, 2011

I cordially invite you to join us for a very special Peace Corps 50th anniversary event to be held in Shriver Hall at Peace Corps headquarters in Washington, D.C., on Tuesday, September 13, at 10:30 a.m. Please arrive by 10:15 a.m. to ensure a quick security screening.

We are honored to have His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania, as our guest speaker. As part of the agency’s Loret Miller Ruppe Speaker Series, President Kikwete will be addressing the subject of the strong relationship that exists between our two countries and, in particular, the 50-year relationship between the Tanzanian people and the Peace Corps.

RSVP to Ms. Claudia Calderon, my special assistant, at (202) 692-2109 or ccalderon@peacecorps.gov, and to Kelly Daly, Desk Officer for Tanzania, at 202-692-2366 or kdaly@peacecorps.gov.

I certainly hope that you will be able to join us for this special event.

Sincerely,

Aaron S. Williams
Director
 
Mh. Raisi hawezi kuhudhuria sharehe hizo hasa ikizingatiwa kuwa Taifa lipo kwenye msiba wa ndugu zetu waliopoteza maisha kwenye ajali ya meli.
Chama
Gongo la Mboto DSM
 
hahahahahahahaaaa vyandarua vyenyewe sasa!!!!!!!!
futi 3 unusu sijui vitanda vyetu vingi 5 feet sijui wanategemea nini
jamani tukivulia samaki wanalalamika
 
<br />
<br />
you are not I.D.I.O.T are sir but u talk like one.

You don't seem S.T.U.PID but you are one. Kazi ya balozi na wasaidizi wake ni ipi kama si kuhudhuria visherehe kama hivyo huko abroad. Ni aibu kwa taifa rais wa nchi yetu kujihudhurisha kila wakati kwenye visherehe ambavyo hakuna marais wengine. I am proud of him ninapomwona amehudhuria summits zenye marais kama yeye.
 
Back
Top Bottom