Kesi ya kupinga matokeo ya Godless Lema

Kesi ya kupinga matokeo ya Godless Lema

hukumu ya pingamizi la lema itasomwa tarehe 26-09-11..
 
hukumu ya pingamizi la lema itasomwa tarehe 26-09-11..
Ulivyokuwa huna kazi lazima utakuwepo tu, naomba siku hiyo Malaria ikushike mpaka ushindwe kwenda mahakamani ukome
 
Ulivyokuwa huna kazi lazima utakuwepo tu, naomba siku hiyo Malaria ikushike mpaka ushindwe kwenda mahakamani ukome
<br />
<br />
THE UTAMU KURUDI UPYA MOVIE KAL(3 SUT + USD 1M,JAIRO,RA,GAMBA HALIVUK ETC)
 
Ulivyokuwa huna kazi lazima utakuwepo tu, naomba siku hiyo Malaria ikushike mpaka ushindwe kwenda mahakamani ukome
wewe ukiniombea mambaya kunawao niombea mazuri..harafu hakuna raha kama kutetea ukweli...kesho nitakuletea mwendelezo wa kasi ya wale madiwani mlio wanunua zidi ya cdm..
 
Tutawakalusha hao ccm pamoja na polisi wao,wanaujua huu mziki Kama wanataka kupindisha kitu tutajua hiyo wakati
 
Natamani hakimu angepitiwa Lema anyang'anywe ubunge halafu uchaguzi urudiwe,am sure kwa jinsi Arusha palivyopatamu kwa sasa,magamba wataambulia chini ya 10% ya kura zote,the rest CDM...sema 2 uchaguz ni gharama.
 
nimechelewa kufika lakini kinachobishaniwa sasa ni juu ya maneno aliyoyatumia lema kwenye kampeni kuwa yalikuwa yana mkashifu mgombea wa ccm..wanaulizwa yaliwaathiri vipi waliofungua kesi


Samahani naomba niwajibie kwenye red hapo.....
1.Ustadhat Barti aliwaahidi Pilau la nyama ya kunguru kama akishinda,wakalikosa kwa maneno hayo ya kashfa ya Kamanda Lema
2.Chama Ze-Magambazi kiliwaahidi ujumbe walau kwa kuanzia wa nyumba kumi wakaukosa kwa kushindwa mama
3.Mabilioni ya Waiti Hea ambaye ndiye mwezeshaji mkuu wa mama waliyakosa

Hasara zitikanazo:
1.Watoto wao hawali ubwabwa kabisa maana posho hakuna
2.Hali kimaisha ngumu sana kwa kushindwa mama barti

KWA HALI HII LAZIMA WAONEKANE WANAFANYA KITU FULANI JUU YA KUSHINDWA KWA MAMA,Ndio kazi pekee walionayo sasa,Tuwaombee Njaa yao iishe labda watatulia na wake zao,maana Mwenyewe Maza alishakubali mziki wa Lema kwamba haupimiki akaufyata,sijui hawa viluilui kama wanajipya mpaka hapo!!!
 
Tusubiri kupindishwa kwa sheria ili ionekane kamanda Lema kashindwa na hii tunailewa sababu,ikumbukwe kwamba Mh Lema ndo aliweka historia ndani ya Nchi kwa wabunge kutamka hadharani kuwa Waziri mkuu kasema uongo,mnadhani nani alifurahi kutoka chama cha magamba na serikali kwa ujumla?
Angalizo hata kama watapindisha sheria na akashindwa,kosa lao ni pale watakapoitisha uchaguzi bado mbunge atabaki kuwa Lema
 
Lema ni dawa kamili kwa huu ugonjwa Ccm ulioikumba Tanzania kwa takribani miaka 50.
 
Mkuu Crashwise.

Asante kwa taarifa lakini chonde chonde weka ushabiki pembeni tujuze kinachoendelea hata kama kamanda wako kaminywa sema tu hii ndiyo starehe ya JF.Habari za Lema kashinda kwa kura nyingi hazina msingi kwasababu kinachopingwa si kukosewa kwa hesaba tu.

Mkuu Crashwise nilikuonya tangu siku ya kwanza ulipoanzisha hii mada kwamba toa taarifa bila ushabiki kwa faida ya wanajamvi.
 
Mura Mwita Maranya.

Bila shaka utakuliana na mimi Crashwise alipotosha jamvi ili kudumisha utaratibu wa kusifia na kutetea hata jambo lisilostahili.Verified information ni kwamba Lema ana kesi ya kujibu !.


Ha ha haa, Ngongo bana heshima kwako mkuu.

Haya mkuu nasubiri kusoma verified information toka kwa watu wako.
 
kesi imehailishwa mpaka tarehe 17 mwezi ujao baada ya wakili wa upande washitaki kukosa nakala za kesi ya awali kwa kisingizio hakuwa na umeme...
 
Crashwise alijitahidi kutuletea hoja za upande mmoja tu.Hoja zilizombana Lema ulizichinjia baharini bwaha hahaaaaa.


jaji anamwambia anachotakiwa ni kumshawishi ili aone kuwa waliofungua kesi wana haki hiyo si vinginevyo..

anasema kesi hii siyo binafsi kwa kuwa serikali imetumia bil 100 na zaidi na kuna pesa pia za mashahidi ikiwemo kesi ya lema hivyo inaonyesha jinsi ngani kesi hii siyo binafsi..jaji ana mwambia kama ndiyo huoni kama ndiyo maana imezuia kufungua kesi hovyo..

jana waliuzwa waliofungua kesi waliathirika vipi...anasema wadai hawawajibiki kueleza waliathirika namna gani...

kifungu na 11 cha sheria za uchaguzi inamapaungufu..
 
Crashwise alijitahidi kutuletea hoja za upande mmoja tu.Hoja zilizombana Lema ulizichinjia baharini bwaha hahaaaaa.
waletee wana jamvi hoja zilizo mbana Lema...siyo kuendeleza unafiki wako hapa
 
Crashwise unaishi dunia ipi tatizo la umeme lipo hakuna mtanzania asiyelijua unaposema kwa kisingizio hakuna umeme hakika ndiyo ule ushabiki niliokukataza mwanzoniiiiiiiii.

kesi imehailishwa mpaka tarehe 17 mwezi ujao baada ya wakili wa upande washitaki kukosa nakala za kesi ya awali kwa kisingizio hakuwa na umeme...
 
Mura Mwita Maranya.

Bila shaka utakuliana na mimi Crashwise alipotosha jamvi ili kudumisha utaratibu wa kusifia na kutetea hata jambo lisilostahili.Verified information ni kwamba Lema ana kesi ya kujibu !.
Nilipotosha wapi na ukweli ukoje....
 
Back
Top Bottom