Recent content by nmay7

  1. nmay7

    Dr. Mwakyembe: Marufuku TV na Radio kusoma habari za magazetini kwa ujumla wake

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] Ngoja tusubiri,utasikia kauli imetenguliwa
  2. nmay7

    Ushauri: Mke hataki kunipa tendo

    Pole sana Mkuu, Kiukweli hawa watu huwa wanachangamoto sana ila inapofikia hatua kama hiyo ni vyema kumshirikisha Mshenga wako ili aweze kufikisha ujumbe kwa wazazi wake.
  3. nmay7

    Nimekuta uchafu na usaliti kwenye simu yake

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] , Mtu mpaka anataka kutoa section B unahitaji ushauri gani?
  4. nmay7

    Dongo

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] hicho kioo ni nouma
  5. nmay7

    Msaada; Penzi linakaribia mwisho sababu nimegoma kuzama chumvini

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] ,unapenda kufanyiwa wewe tu ila kwa mwenzako hutaki. Kimsingi hapo lazima mpime afya zenu nyote maana magonjwa yamekuwa ni mengi ila Zaidi ya hapo kila mmoja wenu atatakiwa kumtendea haki mwenzie japo ni Risk kwa afya yako.
  6. nmay7

    Majiko ya kutumia solar na mawe kupikia.

    Hongera sana kwa ubunifu ila jitahidi sana kuboresha zaidi maana unaposema inadumu kwa muda wa miezi sita bado ni muda mdogo sana.
  7. nmay7

    Mwanamke niliyemchukua bar usiku kanifanya vibaya

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] ,pole sana kiongozi wenzako huwa wanakabizi hivyo vitu af ndo wanaendelea na hizo starehe. Mpaka hapo we hesabu ushapoteza tu, maana hata huyo aliyekupa connection yawezekana hamfaham huyo Changu.
  8. nmay7

    Infact hakuna mwanaume mwaminifu

    Mkuu inaonyesha katika mahusiano au mapenzi bado ni mchanga. Huwezi kusema kwa ujumla kuwa siyo waminifu kwa kutumia weakness zako kumbuka Siku zote Pesa inatafutwa ila uaminifu Mtu anazaliwa nao
  9. nmay7

    Ushauri: Kuna mapenzi ya kweli kwa huyu mwanamke?

    Dah,kwanza Mkuu pole sana kwa kuingia Choo cha kike. Pili hongera sana kwa kuonyesha kuwa ulikuwa na mapenzi ya dhati. Tatu.katika ulimwengu wa hivi sasa wanawake wapo wengi ambao wanatafta wanaume wenye mipango ya maisha kama ulivyoweza kumshauri lakini kwa bahati mbaya yupo kimatumizi zaidi...
  10. nmay7

    Hongera TISS kwa kazi nzuri ya kulinda na kudumisha amani ya Nchi yetu

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] utaendelea hivyo hivyo kutojua maana inaonyesha hata uliyoyaandika huyajui kwa mapana.
  11. nmay7

    Maisha yananichanganya msaada tafadhali

    Kwanza hongera sana kwa kuwa na mtazamo chanya, Kimsingi yote yanawezekana kama utakuwa na mikakati mizuri na si vyema ukawa na maamuzi ya haraka sana ukiwa unajua bado ni Tegemezi.
  12. nmay7

    Naombeni ushauri: Mpenzi wangu amebakwa

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Kijana Tatizo lako halikuwa na mantiki kulileta hapa maana Sheria inakubana kutembea na Mwanafunzi, Pili huyo kijana mwenzie sidhami kama ni mkweli kwa kile ambacho amekiwakilsha kwako kulingana na approach aliyoitumia kukwambia wewe badala kuwambia...
  13. nmay7

    Doctors Vs Engineers

    Mpaka hapo unaweza kuwa na jibu na si swala la kufikiria kuwa labda Sera za kimataifa zinatunabana. Zaidi ya hapo endelea kutafakari kwa kina hasa katika mfumo wa Nchi yetu ulivyo na kwanini hatufikii hayo malengo uliyoyasema awali.
  14. nmay7

    Doctors Vs Engineers

    Mkuu umekuja na hoja nzuri lakini kabla hujafikiria uko tuanze na mfano mdogo tu. Hawa waliokuja na ubunifu wa kutengeneza Gari,Helicopter nk,waliishia wapi? Ukishapata jibu, ndo tuje kumfahamu anayeitwa Mhandisi (Engineer).
  15. nmay7

    Doctors Vs Engineers

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] ,Mkuu inaonyesha katika professionals hizi mbili bado hujui kwa Mapana zaidi maana umetoa mifano ambayo ni very Minor.
Back
Top Bottom