Naombeni ushauri: Mpenzi wangu amebakwa

Naombeni ushauri: Mpenzi wangu amebakwa

Nina mpenzi wangu wote tunasoma a level ana miaka 19, tuna date sasa mwaka wa 3 tulikubaliana tusisex had tutakapokuwa tayari, tunapendana na tuna mipango mingi future. Jana wakati tuna chat alinambia kuwa mwezi wa 12 alipokuwa likizo alibakwa na mpangaji anayekaa nyumba moja na Dada yake na kumsababishia apoteze usichana wake.

Mwanzoni nilipaniki nikidhan labda alinicheat ila baada ya kunambia vizuri ninamuonea huruma sana kwa sababu Nina muamini yeye ni mcha mungu sana na alikuwa anatunza usichana wake sababu ana hofu ya mungu na hakupenda kumpa zawad ya usichana wake MTU ambaye amembaka.

Bahati mbaya hakureport hilo tukio kokote Jana ndio akaamua aniambie mm ukweli. Nimejaribu kumbembeleza asahau yote nimeshindwa na ninaumia kwa kuwa ni MTU ninayempenda sana na mwezi wa 5 anatakiwa afanye mtihan wa form six.

Please naombeni ushauri nimsaidie VP kwa kuwa hata familia yake haijui chochote ameamua kuniambia Mimi ili angalau moyo Wake utulie.
Inawezekana alibakwa kweli au kaamua kukuambia mapema ujue kua hana bikra ila ww ndio unamjua vizur kitabia chamsing somen mfaulu mitihani unadai alibakwa mwez Wa 12 now anapata uzuni mbona miez ming imepita afu hiv huyo Dada yake anawezaje kushea mlango wakat wamepanga afu jinsia tofaut hapo hakuna ukweli mana haiwezekani jinsia tofaut kushea mlango mmoja afu inategemea na ukaribu wao ulikuweje hawez mtu hamjazoeana akubake, pia mwanaume mmoja anaweza kubaka kweli labda uridhie technique nying za kumkimbia mbona xipo, Fanya uchunguz ye anaujua ukweli, mfariji mmalize mtihani, kama unampenda usimwache mana mwanamke c bikra tuu, ni akili, kujitambua nakujiheshimu
 
Mkuu kama washamfyatua niachie mie nshawazoea hao ambso hawana ww tafuta mwingine akutunzie uoe
 
Huyo MTU alimbaka alipanga nyumba moja na Dada ake ambae alikuwa ameolewa na anaishi na familia yake hapo Siku ya tukio Dada ake mume wake walisafiri so alikuwa peke yake na huyo jamaa na sababu wanashea mlango mmoja wa nyumba ndo mana hilo tukio likafanyika, ameshindwa kureport sababu ya aibu hapendi familia yake na watu wengine wajue baada ya Dada ake kurudi huyo jamaa nae alihama. Na hilo tukio halijarudia tena baada ya hapo, ninamfahamu vizuri kitabia na ninajua asingeweza kunidanganya na hadi anaamua kuniambia Mimi sikuwa nimemuomba tufanye ngono yeye ndo aliniomba aniambie. Kitu kizuri hajapata ujauzito ila bado hajapima HIV pia alinambia hakupata magonjwa yoyote ya ngono.
Usiusemee moyo
 
Dogo uko combination gani mana likizo ya pasaka unaweza kumaliza hata topic moja tution!!!
 
Kama unampenda kweli,mpende na mapungufu yake
Bikira sio roho ya mtu useme ikitoka itahitaji kilio na matanga
Kinachodumisha ndoa/Mahusiano ni "ukweli na uwazi wa mwenza wako,upendo wa dhati alionao pamoja na uvumilivu" kama sifa hizo anazo huna haja ya kujiumiza kufikiria zaidi
 
Huyo hajabakwa. Alianza vibaya kwa kukudanganya ana bikra kumbe huo mchezo alikwisha uanza zamani...


Labda katika maongezi yenu kila mara ulikuwa unamsisitizia aitunze bikra yake mpaka ndoa...

Kuona isiwe tabu ndiyo kaja na hiyo story ya kubakwa... Huyo ni jamaa aliyeamua kufanya nae ngono...

Embu jaribu ku sex nae uone hiyo miuno utakayopewa... Usishangae akakuambia mbakaji ndiyo kamfundisha mpaka miuno...


Pole sana... Yanatokea lakini...



Cc: mahondaw
 
Dogo uko combination gani mana likizo ya pasaka unaweza kumaliza hata topic moja tution!!!
Tatizo dogo anamtetea kwa kila hali... Yupo tayari hata kugombana na wanaomshauri! Sikiliza dogo mwanamke hata umjue vipi they're very tricky! Huyo alipitiwa na ibilisi.. Kwa vile anakuona you are a real good boy.. Amekuja na hii kitu! Ni mwongo.. Wewe Piga kitabu Safari ya hizo Mambo bado Sana utakutana na sarakasi kali zaidi mbeleni huko. Na wala usijipe hope kuwa my be utamwoa no! Hizo ni ndanganyana time za school tu... The real deal bado Sana!
 
Huyo MTU alimbaka alipanga nyumba moja na Dada ake ambae alikuwa ameolewa na anaishi na familia yake hapo Siku ya tukio Dada ake mume wake walisafiri so alikuwa peke yake na huyo jamaa na sababu wanashea mlango mmoja wa nyumba ndo mana hilo tukio likafanyika, ameshindwa kureport sababu ya aibu hapendi familia yake na watu wengine wajue baada ya Dada ake kurudi huyo jamaa nae alihama. Na hilo tukio halijarudia tena baada ya hapo, ninamfahamu vizuri kitabia na ninajua asingeweza kunidanganya na hadi anaamua kuniambia Mimi sikuwa nimemuomba tufanye ngono yeye ndo aliniomba aniambie. Kitu kizuri hajapata ujauzito ila bado hajapima HIV pia alinambia hakupata magonjwa yoyote ya ngono.

Mshauri aende kupima kama ameambukizwa ugonjwa wowote, Ili ajue yupo salama.

Ila unataka ushauri gani zaidi na umemuelewa na unampenda bado!?
 
Huyo anakuzingua kabakwa afu aka akwambie baada ya Siku kibao duuh huyo ni mazoea yake kupigwa nao..tuu wew kausha tuu bikra sio ishu cha msingi angalia kama wew unampenda na yeye kama ni hivyo basi endelea na maisha njia ya muongo ni fupi...bt kwa sasa sikiliza moyo undundia wapi mpende tuu..
 
Mwambie asipende sana chips ndicho kilichomponza ila kosa la ubakaji lina sehemu pake pa kulipeleka na pia hiyo totoz achana nayo muachie mpangaji aendeleze libeneke hatokupenda Kama huyo mpangaji na pia ndio nadra Sana kudumu penzini mkiwa mnalingana kiumri..
 
Pole bro! Cha kujifunza hapo ni kwamba usirudie kosa la kupendana bila kula tunda. Kipindi nipo form six nilikutana na binti mmoja mtu wa dini sana nikamtokea akaniambia tayar ana mtu wake (mlokole mwenzie) nikampotezea ila baada ya miezi kadhaa akakubali ombi langu akanipa mzigo (nilimkuta bikra) tuliendelea kula penzi mpaka tulipochokana kila mtu akachukua time zake ila sijui huyo mtu wake alimwambia bikra ilienda wapi??? Make walikuwa wanaendeleza penzi lao la maneno matupu huku mimi nanyonya penzi Chini kwa Chini
 
Nina mpenzi wangu wote tunasoma a level ana miaka 19, tuna date sasa mwaka wa 3 tulikubaliana tusisex had tutakapokuwa tayari, tunapendana na tuna mipango mingi future. Jana wakati tuna chat alinambia kuwa mwezi wa 12 alipokuwa likizo alibakwa na mpangaji anayekaa nyumba moja na Dada yake na kumsababishia apoteze usichana wake.

Mwanzoni nilipaniki nikidhan labda alinicheat ila baada ya kunambia vizuri ninamuonea huruma sana kwa sababu Nina muamini yeye ni mcha mungu sana na alikuwa anatunza usichana wake sababu ana hofu ya mungu na hakupenda kumpa zawad ya usichana wake MTU ambaye amembaka.

Bahati mbaya hakureport hilo tukio kokote Jana ndio akaamua aniambie mm ukweli. Nimejaribu kumbembeleza asahau yote nimeshindwa na ninaumia kwa kuwa ni MTU ninayempenda sana na mwezi wa 5 anatakiwa afanye mtihan wa form six.

Please naombeni ushauri nimsaidie VP kwa kuwa hata familia yake haijui chochote ameamua kuniambia Mimi ili angalau moyo Wake utulie.

Kijana Tatizo lako halikuwa na mantiki kulileta hapa maana Sheria inakubana kutembea na Mwanafunzi,

Pili huyo kijana mwenzie sidhami kama ni mkweli kwa kile ambacho amekiwakilsha kwako kulingana na approach aliyoitumia kukwambia wewe badala kuwambia wazazi wake ili wachukuwe hatua haraka.
 
Wanawake wanaongoza kwa uongo wa kuaminika, trust me....itakuwa kapenda...divided love hii..anapenda zote
 
Pole sana dogo but kwa maono yangu huyo hajabakwa ,kwanin nasema ivo
1. Km angkua kabakwa kwel angeshakwambia toka zaman coz tangu mwez wa 12 mpk leo ni muda mrefu sana na wasichan navowaelewa si watu wa kukaa na kitu km icho kwa muda mrefu ivo,, km ingkua kafanyiw icho kitndo bas lazm miez ya nyuma kabl ya leo ungjua tu kuwa hayuko sawa ata kweny chatings zenu

2. Msichana wa form6 abakw?? hapana wasichan wanapokua shulen wanafundishanag ujinga mwing mixer ujuaji sas hapo napata shida isije kua alidanganyw na wenzie huko akaamua kujarib so kuon ashakwambia yy n bikra ikabd akudangany ili usimuon muhuni!!!

Bt kikubwa usimchukie just take it normal baada ya mtian nd muanz kuionglea upya hiyo mada ,,,naamin utapat majibu mazuri

Pia nakutakia maandaliz mema ya mtian kumbuk tu msichana si mwenzako so usije kuchukulia kubakwa kwake km vile ww ,,usiwaze san coz ata mwenzio shule akifel bdo ana kingin kinachombeba kweny maisha so be careful my brother
 
Back
Top Bottom