Ushauri: Mke hataki kunipa tendo

Ushauri: Mke hataki kunipa tendo

You won’t become all you were created to be without trouble. You don’t grow in the good times; you grow in the tough times
 
The Issue Is..

Ulimtoa Bikra lakini hujui kushughulikia hivyo akaonja nje kidogo..kaona anapoteza muda tu kwako..
 
heshima kwenu wakuu wa jukwaa hili. ..

ni kama miezi mitatu imepita tangu nimefunga ndoa na mke wangu.

tatizo nililonalo, mke wangu huwa kama vile hataki tufanye. nilitegemea kwa upya wa ndoa hii walau kila baada ya siku mbili nipate kukudhi haja ya mwili kwa tendo lile takatifu. lakini inafikia inapita hata siku sita. ukimuuliza anasema amechoka na kazi zake za mchana. ukimuomba asubui ni chenga chenga tu.. haijawahi kutokea hata siku moja yeye awe muanzilishi wa tendo. kila wakati ni mimi tuu. hii nayo inanipa wasiwasi..

wakuu naombeni ushauri. maana sasa naanza kufikiria kuchepuka kitu ambacho sijwahi kupanga maishani mwangu.
Pole utukufu Hiyo ni baadhi ya changamoto iliyopo ktk ndoa! Sema na mwenza wako jaribu kutafuta suluhu mueleze matamanio yako!
 
heshima kwenu wakuu wa jukwaa hili. ..

ni kama miezi mitatu imepita tangu nimefunga ndoa na mke wangu.

tatizo nililonalo, mke wangu huwa kama vile hataki tufanye. nilitegemea kwa upya wa ndoa hii walau kila baada ya siku mbili nipate kukudhi haja ya mwili kwa tendo lile takatifu. lakini inafikia inapita hata siku sita. ukimuuliza anasema amechoka na kazi zake za mchana. ukimuomba asubui ni chenga chenga tu.. haijawahi kutokea hata siku moja yeye awe muanzilishi wa tendo. kila wakati ni mimi tuu. hii nayo inanipa wasiwasi..

wakuu naombeni ushauri. maana sasa naanza kufikiria kuchepuka kitu ambacho sijwahi kupanga maishani mwangu.
Pole sana Mkuu,
Kiukweli hawa watu huwa wanachangamoto sana ila inapofikia hatua kama hiyo ni vyema kumshirikisha Mshenga wako ili aweze kufikisha ujumbe kwa wazazi wake.
 
Lazima kuna sababu upande wako au wake kaa tafakali we mwanaume
 
Yani wew unalala na mwanamke unashindwa kula mzigo sidhani ata kama unaweza kunyanyua kilo 2 za sukari

Kanunue kamba ile ya kufungia ndama ficha uvunguni, omba kwa upole na utukufu kama lilivo jina lako akikataa sasa tumia ii njia ya pili inaitwa 'all offensive' kamata mguu wa kulia funga dirishani wa kushoto funga mlangoni, then sidhani kama utahitaji ruhusa yake tena
 
Mkewako atakua mjamzito, ao pia uchovu wakazi inaweza kua sababu. kikubwa endelea kumvumilia anaweza akabadilika
 
heshima kwenu wakuu wa jukwaa hili. ..

ni kama miezi mitatu imepita tangu nimefunga ndoa na mke wangu.

tatizo nililonalo, mke wangu huwa kama vile hataki tufanye. nilitegemea kwa upya wa ndoa hii walau kila baada ya siku mbili nipate kukudhi haja ya mwili kwa tendo lile takatifu. lakini inafikia inapita hata siku sita. ukimuuliza anasema amechoka na kazi zake za mchana. ukimuomba asubui ni chenga chenga tu.. haijawahi kutokea hata siku moja yeye awe muanzilishi wa tendo. kila wakati ni mimi tuu. hii nayo inanipa wasiwasi..

wakuu naombeni ushauri. maana sasa naanza kufikiria kuchepuka kitu ambacho sijwahi kupanga maishani mwangu.
Kaa nae muulize, .. "Unataka Nikatafute KORONI???" Vinginevyo aache ujinga wake huo, ni kabila gan uyo mkeo? Binafs pia nimekereka yan tho cjawowa bdo...
 
Back
Top Bottom