Majiko ya kutumia solar na mawe kupikia.

Majiko ya kutumia solar na mawe kupikia.

Hongera sana kwa ubunifu ila jitahidi sana kuboresha zaidi maana unaposema inadumu kwa muda wa miezi sita bado ni muda mdogo sana.
 
Its simple saana unaweka mawe yako yale ya kusugulia miguu manne yenye vitobo vitobo kwenye jiko yanauzwa mia tano kila moja na utatumia kwa miezi zaidi ya saba, mpaka kuisha kwake.

Ukitaka kuwasha kuna switch za kuwashia taa pale (Angalia kwenye picha utaona) ukiweka on ndio tayari moto unawaka unaanza kupika comfortable kabisa.

Bei yake nitamconsult mpwa wangu ndie mzalishaji mkuu. Ila ni affordable saana kulingana na kipato cha mtanzania.
Mkuu nimetembelea. hapa mwanza kwa shughuli zangu , hii biashara dogo anaifanyia sehemu gani nimtembelee.
 
Huyo Mpwa wako akupe maelezo ya kitechnical zaidi ....
1. Je linachukua muda gani kupata joto hadi uweze kulitumia?
2. Halitoi Moshi?
3. Mawe yanakaa miezi saba hata ukichemshia makande kila siku?
4. Unapolitumia unatakiwa uwe kwenye Jua au hata ukiwa chumbani linapika?
5. Hiyo hapo juu ni solar panel? na kama ndio basi linaweza kutumia umeme mbadala 12Volts?.
6. Je usiku muda hakuna jua litawaka? na baada ya kuwaka linahitaji bado nishati ya sola?
Tafadhali zingatia kujibu haya maswali ili info inayohusiana na bidhaa yako iwe kamilifu zaidi.
 
Mwanza sehemu gani ilipo workshop au show room tuje tushuhudie mubashara?
Kwa sasa tuko Buswelu njia ya kwenda nyamadoke. Karibu ujionee local innovative idea mkuu.

Tutafurahi kukuhost.
 
Huyo Mpwa wako akupe maelezo ya kitechnical zaidi ....
1. Je linachukua muda gani kupata joto hadi uweze kulitumia?
2. Halitoi Moshi?
3. Mawe yanakaa miezi saba hata ukichemshia makande kila siku?
4. Unapolitumia unatakiwa uwe kwenye Jua au hata ukiwa chumbani linapika?
5. Hiyo hapo juu ni solar panel? na kama ndio basi linaweza kutumia umeme mbadala 12Volts?.
6. Je usiku muda hakuna jua litawaka? na baada ya kuwaka linahitaji bado nishati ya sola?

Tafadhali zingatia kujibu haya maswali ili info inayohusiana na bidhaa yako iwe kamilifu zaidi.
Mapema Leo mchana naweka Documentary inayozungumzia majiko haya kwa kina ambayo kwa kiasi kikubwa itajibu maswali mengi bila kuacha mianya ya maswali yeyote yale.

Stay tuned!
 
Weka bei mkuu kwa yale mawe ya kusugulia miguu yatageuka deal sasa hivi ngoja leo nikanunue kiroba kizima yakae then nikipata bei niagize langu moja. Miezi saba au hata sita si haba nitakuwa nimeokoa pesa nyingi sana kama nikiendelea kutumia gesi na mkaa.
 
Weka bei mkuu kwa yale mawe ya kusugulia miguu yatageuka deal sasa hivi ngoja leo nikanunue kiroba kizima yakae then nikipata bei niagize langu moja. Miezi saba au hata sita si haba nitakuwa nimeokoa pesa nyingi sana kama nikiendelea kutumia gesi na mkaa.
Ni kweli kabisa! yana save pesa na nguvu sana tu mkuu, ukiwa na kiroba kizima cha mawe ya kusugulia magaga unasahu kabisa kama kuna gharama za gesi na mkaa hapa duniani.

Niko naendelea kutengeneza video fupi ya makala ya jiko moja Kali lenye Oven na matairi yake.

Usikae mbali napandisha mzigo punde tu.
 
mimi nimempigia simu, anasema lenye mlango Mmoja ni sh. laki 2 na lenye milango 2 ni sh. laki 2.5...akijibu maswali ya mollel nita take risk kuchukua walau kamoja nikatest...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi nimempigia simu, anasema lenye mlango Mmoja ni sh. laki 2 na lenye milango 2 ni sh. laki 2.5...akijibu maswali ya mollel nita take risk kuchukua walau kamoja nikatest...

Sent using Jamii Forums mobile app


hayo majiko angeyadisplay kwenye nanenane

yangepata Wateja na critics wa kutosha ambao wangesaidia kupromote biashara
 
Hongera sana kwa ubunifu ila jitahidi sana kuboresha zaidi maana unaposema inadumu kwa muda wa miezi sita bado ni muda mdogo sana.
Mawe manne kwa miezi sita?
Mbona ni muda mrefu sana au mi ndo nimekosea?

love thé love or hâte thé love.....
 
mm nipo tayali kushilikiana nae kwa kuwekeza PESA maana sina sina wasiwasi na ubunifu wake. Nahitaji mawasiliano yake
 
Huyu jamaa analalamika ubunifu haupokelewi kwa muamko,lakini jinsi nilivyoona hata yeye hayuko serious.

Toka mwezi wa nne hamna nyongeza ya maelezo,maana yake nini???
 
Back
Top Bottom