Fanya maombi ya kutosha make michepko inaloga ile mbaya
Theni jitathimini vizur kama unafanya usafi wa kutosha wa kukuwezesha kumvutia ,usafi sio kusuka ,kujipiga pafume kali na kujipodoa .bali ni kuoga vizur ukahakikisha umetakata na fanya mazingira ya kumuonyesha wewe ni ke,unavaa kama...
Bora ya mchepuko wengine tunaenda kwa madada poa ,ukisha maliza shughuli unajiuliza ulichokipata hakuna zaidi ya maradhi yaani inasitikitisha .
Mchepko ndani ya mchepko ni hatariii.Kwa ushaur huo nafunga zip
Niyonzima ni mchezaji wa kawaida si aende ulaya kama akina samata kama anaweza?
Tunekuwa naye misim 6na tumefanya nin kimataifa? Wachezaji wapo wengi na pengo litazibika tu kama kawa .Jembe linalokosa uwanjani pengo likaonekana ni Msuva na Ngoma tu.
Ni sawa kabisa atakayepata mimba akanyonyeshe tu namuunga mkono raisi,isue hii inabidi ichukuliwe serious kabisa mwanafunzi na mimba wapi na wapi ? politics ndo inaua vijana wetu
Tunatetea kwamba atakaye pata mimba aendelee na shule manake unaruhusu ngono shuleni.why
Rais ndiye aliyetamuka wazi kuwa wamekubali kulipa deni lote ,Muheshiwa Kikwete alipelelea sana msemo cha kuambiwa nawe tia ya kwako ,Je ni kweli tunawadai?na kama wanasema mtaji wao ni dola billion 6 hela ya kulipa trion mia itatoka wapi?
Na kivipi mtu akwambie nakudai wewe utoe mfukoni umlipe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.