Silioni pengo la Niyonzima Yanga

Sungurakarukaruka, lakini hakufikia,
Matunda hakuyashika, mikononi hakutia,
Hakika alisumbuka, nguvuze zikapungua,
Nguvuze zikapungua Sungura nakuambia.
 
Pale yanga aliondoka frank domayo chumvi nikadhan hapo kwisha lakin wapi.... pili izi timu kubwa zina kamati tata sana tena kama ukiondoka kwa povu hasa yanga huwa hawadumu ilo nalo anatakiwa alijue waliotoka yanga kwa mbinde wengi waendako uwa vituko tu... so fundi niyonzima ajiandae kisaikolojia pia kwa ilo ukiwaacha wanaotoka simba kwenda yanga wengi ucheza poa kama akina yondan na chuji... pia kifupi vipaji vipo kibao nadhan wapo watacover
 
Huwezi kuliona kwa sasa unajifariji tuu!? Ngoja ligi ianze ukishatobolewa 7 -0 na Lunyasi then akili itakurudia na kuliona pengo lake
Wasokoni, kweli una walakini. Yanga imeanza kuwa bingwa kabla ya Niyonzima na itaendelea kuwa bingwa hata baada ya Niyonzima kustaafu (kuhamia wasikopanda ndege regularly)
 
upload_2017-6-23_11-36-45.png



Mzee wa kurekebisha, Lyn Vivac, Turnkey, Shombe la Kisomali,
nasmapesa, MduduWashawasha,
Twamo, dem boy, Sibonike,
emmyta,
Nanoli,
God Heals,
demigod,
Frank Wanjiru
Msukuma_De_Great,
mpendua,
Mwana Mtoka Pabaya
 
Naona watu wanakomaa na simba na yanga ila Singida united itafanya maajabu msimu huu
 
Niyonzima ni mchezaji wa kawaida si aende ulaya kama akina samata kama anaweza?
Tunekuwa naye misim 6na tumefanya nin kimataifa? Wachezaji wapo wengi na pengo litazibika tu kama kawa .Jembe linalokosa uwanjani pengo likaonekana ni Msuva na Ngoma tu.
 
Sio kwamba SIZITAKI MBICHI HIZI, kila ninvyoangalia sioni ni kwa
namna gani yanga itapata pengo kwa kumpoteza Haruna Niyonzima
Zifuatilie mechi za Yanga halafu katika hizo mechi akosekane Haruna
baada ya hapo zifuatilie mechi za yanga ambazo amekosekana Msuva
halafu urudi hapa utueleze.
Unaweza kuta na wewe umeshiriki kuchoma jezi yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom