Wasokoni, kweli una walakini. Yanga imeanza kuwa bingwa kabla ya Niyonzima na itaendelea kuwa bingwa hata baada ya Niyonzima kustaafu (kuhamia wasikopanda ndege regularly)Huwezi kuliona kwa sasa unajifariji tuu!? Ngoja ligi ianze ukishatobolewa 7 -0 na Lunyasi then akili itakurudia na kuliona pengo lake
Huna jipya........View attachment 529244
Mzee wa kurekebisha, Lyn Vivac, Turnkey, Shombe la Kisomali,
nasmapesa, MduduWashawasha,
Twamo, dem boy, Sibonike,
emmyta,
Nanoli,
God Heals,
demigod,
Frank Wanjiru
Msukuma_De_Great,
mpendua,
Mwana Mtoka Pabaya
https://www.jamiiforums.com/members/demigod.266869/
https://www.jamiiforums.com/members/emmyta.214203/
Na huwez kuliona kwa sasa subir lig ianzeHata nami silioni aisee
Hahaaa. Kama sijaliona saa hizi nadhani hata ligi ikianza sitaliona pia.Na huwez kuliona kwa sasa subir lig ianze
Naona watu wanakomaa na simba na yanga ila Singida united itafanya maajabu msimu huu
Weka akiba ya manenoHahaaa. Kama sijaliona saa hizi nadhani hata ligi ikianza sitaliona pia.
Hahaaa. Akiba ya maneno tena.Weka akiba ya maneno
Yap usubir lig ianzeHahaaa. Akiba ya maneno tena.
Unaweza kuta na wewe umeshiriki kuchoma jezi yake.Sio kwamba SIZITAKI MBICHI HIZI, kila ninvyoangalia sioni ni kwa
namna gani yanga itapata pengo kwa kumpoteza Haruna Niyonzima
Zifuatilie mechi za Yanga halafu katika hizo mechi akosekane Haruna
baada ya hapo zifuatilie mechi za yanga ambazo amekosekana Msuva
halafu urudi hapa utueleze.
LIBOLO FCU champion wako unasaidia nini zaidi ya kulitia aibu taifa?