Sir John Deere
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 14,191
- 27,351
we ni mwanafunzi?Aaaa mie ilimradi nimejiunga na kifurushi changu cha chuo mwezi basi
we ni mwanafunzi?Aaaa mie ilimradi nimejiunga na kifurushi changu cha chuo mwezi basi
Line yako itakuwa ni zile za mwanzoni kabisa na hujabadili. Mi yangu ilikuwa hivyo hivyo ila baada ya kupotea nika renew sahivi naipata ya freshi.Inabidi uangalie vizuri maaana mimi ni kila mwezi najiunga na huwa nabakiza mb 1000 kufika tarehe niliyojiunga na data sizimi u tube kama ibada
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi kavurugwa bi mkubwa huyo
Nakuunga mkono mkuu!!Habarini?
Hawa jamaa wa halotel wanachofanya si kizuri.
Leo mchana nilijiunga kifurushi cha mitandao yote cha 499 na cha MB 110 jumla ni sh 1000.
Sasa kwa bahati mbaya nilijiunga kifurushi cha halo tel kwenda halotel nilipo mpigia mtu wa tigo salio lilikata.
Nikapanic na kuangalia salio cha ajabu nikakuta kuna dakika 20 za halo tel kwenda halotel.
Lakini MB ZIPO 105.NI KASHANGAA.
imekuwaje MB ziwe 105 wakati nilijiunga kifurushi cha MB 110 na isitoshe nilijiunga kifurushi cha mitandao yote ( kwa bahati mbaya)na wakanipa MB 5.jumla zikawa MB 115.hizo MB 10 zimekwenda wapiii?wakati sikutumia internet ?nikagundua kwamba hawa jamaa wanatupiga juu kwa juu.unaweza ukajiunga kifurushi labda cha MB 300.wakakufanyia ujanja wakakupa 250.na vile watu tukisha jiunga bando tuna kimbilia moja kwq moja kuwasha data.ndo imetoka hyo.IMEKULA KWETU.
Sent using Jamii Forums mobile app
nina mpango wa kuhamia halotel airtel wameshanichoshaInabidi uangalie vizuri maaana mimi ni kila mwezi najiunga na huwa nabakiza mb 1000 kufika tarehe niliyojiunga na data sizimi u tube kama ibada
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tetesi nimesikia hii kampuni ni ya yule ulyekua unamtetea kipindi kile akiwa madarakani!!Mnalalamika nini?
Si muanzishe kampuni yenu?
Kwani we mwanachuo?Aaaa mie ilimradi nimejiunga na kifurushi changu cha chuo mwezi basi
Mnalalamika nini?
Si muanzishe kampuni yenu?
Sijui TCRA wanafanya kazi gani!Hivi vijamaa ni vijizi haijwahi kutokea,
Nimenunua MB 1500 za 2000.nimeshangaa shangaa kama saa zima naambiwa,umebakiwa na MB 500.