MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,231
- Thread starter
- #41
Sema haki ya Mungu.!Itakuwa Ulienda Ng'wanza ya madaso...
Sema haki ya Mungu.!Itakuwa Ulienda Ng'wanza ya madaso...
Bora umesema ukweliMacamera katafute kwa bashite huku samaki tu
Ni kweli kabisa bro, hujakosea, yani walivyo kaa law, lafudhi yao, mavazi yao duuu, basi tu. Hawa watani zangu sijui tu, yani hawataki kubadilika kabisaMwanza watu wake washamba washamba flan
Kabisa broChuga lebo nyingne
Acha kuiweka Moshi na vitongojiArusha bado sana labda muunganishe na moshi dodoma na tanga pamoja na hiyo arusha yenu ndo mlifikie jiji la Mwanza
Kuna bora kanipoteza, eti mwanza mtaa wa Rwagasore eti Equipment hzo zipo kibao, shida yangu haikua Camera tu, hapana kuna vitu kibao nilitakaUmetoka Arusha kufuata hivyo vitu Mwanza!
Karibu Dar, kila kitu unapata! Hadi sangara na cha arusha unapata huku huku!Kuna bora kanipoteza, eti mwanza mtaa wa Rwagasore eti Equipment hzo zipo kibao, shida yangu haikua Camera tu, hapana kuna vitu kibao nilitaka
Wazushi wanadai eti Mwanza wanachukulia vitu Uganda lakini pia eti wanauza bei nafuu, kumbe hakuna lolote
Wanaume wa Dar nakuja huko pia
Nsha umiaUsitegemee vitu vya electronics kuvipata Mwanza utaumia tu
R chuga maana yake nini? Najua mnamaanisha arusha ila chanzo chake nini na maana yake nini mpaka mkaita arusha R chuga??Alaf ebu acha kulinganisha
Jj la R chuga na wilaya ya hawa waskuma washamba
Wa mwisho
Mwanza nimeona Mabondo tuBora umesema ukweli
Moshi si kamtaa tu!Acha kuiweka Moshi na vitongoji
Isingekuwa Ban ningekutukana.. Ila..Arusha bado sana labda muunganishe na moshi dodoma na tanga pamoja na hiyo arusha yenu ndo mlifikie jiji la Mwanza
Macamera katafute kwa bashite huku samaki tu
Kumbe watani.Wadau habari za jioni,
Tangu jana niko kwenye mji ambao wengi wanauita Rock City, ama kweli ni jiji la miamba tu halina lolote.
Lengo lengo langu hasa hapa nilikuja kutafuta vitendea kazi ikiwa ni pamoja na kutafuta Video Camera na vifaa vingine, cha ajabu maduka Mwanza hakuna hata Duka la vifaa hivyo vidogo ktk maisha.
Nyie wasukuma watani zangu msirudie hata kulinganisha Mwanza na Arusha please.
Nadhani ameelewa hiyo point yako aisee, watu wengine huwa hawajui kufikiri nini cha kuandika!!Mbona mim nilitafuta laptop i7 17" mpya brand yoyote nikakosa Dar nikaagiza nje ..pia nilitafuta arduino microcontroller dar 2015 nikakods nikaagiza ebay..nami niseme vp? Wafanyabiashara wanaleta mzigo kulingana na mahitaj ya wateja wao..usifikie conclusion bila kufikiria zaidi