Hiyo mimi iliwahi nitokea enzi za ujana wangu.Huyo binti tulikuwa tukifanya naye kazi ofisi moja ila sikuwa na mpango naye wowote zaidi ya mahusiano tu ya kawaida ofisini.Lakini wakati huo nilipata shida kdg na mwandani wangu na yeye kwa kuwa tulikuwa ofisi moja alijua kuwa nipo single kwa...
Baada ya kusoma kuhusu kilimo hiki humu ndani nimeamua kujaribu
Nimekodi shamba sehemu za Kilombero Morogoro pembeni ya mto Ruaha.Mto ambao unatoa umeme wa kidatu. nimeshalima na andaa kuchimba kisima au naangalia uwezekano wa kutumia maji ya mto.
Tatizo ni mbegu.Kariakoo zinauzwa 15,000/ kwa...
Kwa wale wabunge wa Ccm ambao wao ni kama rubber stamp watalipitisha hili bila hata ya kulijadili vzr.Lkn kwanza mtu unatakiwa kujiuliza.Itaunganishwa kwa formula ipi?
Kila mfuko una mtaji na asset tofauti.kila mfuko una makato tofauti na calculation ya mafao tofauti.haeaoni hii italeta...
Yule trafiki wa Mwenge mnoko sana.Akikuona tu na gari basi anapanga ni kosa gani akubambike.Wagongwe tu kwa kweli maana si waelewa hata kidogo.Wao wanafikiri mtu kuwa na gari ni kwamba una kisima cha hela mahali unachota tu na kuzigawa ovyo barabarani.
Mimi sikubaliani na wote wanaompongeza rais kwa sababu tangu aingie madarakani umaskini ndo umeingia.Wafanyakazi na watu waishio mijini hawana hela,watu wa vijijini nao vilevile hali ni mbaya zaidi.Watu wa mikoa ya kusini ambao mahindi ndo tegemeo yamezuiliwa kuuzwa nje.Wananchi wamebaki na...
Hii sasa ni mara ya pili Ccm kukiri hadharani kushinda kwa kutumia rushwa.Tumesikia madai ya rushwa kwenye chaguzi za vijana.Wanatuhumiana na leo m/k mkoa anakiri hadharani.Uhalali wao upo wapi? Walikuwa wapi kumsuta miaka yote hii? Kwa kweli mfa maji haachi kutapatapa.
Tafadhali mwenye taarifa za kilimo cha soya,mchanganuo wa gharama kwa ekari na masoko.Changamoto zake n.k.Nimepenyezewa habari kuwa Songea mwaka huu wengi wametajirika na kilimo hicho.Karibu jamani tusinyimane hiyo fursa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.