Hivi ile blog ya Millard ayo hawaruhusiwi kuripot habari za burudan zinazoandaliwa na media nyingine tofaut na clauds? Jana ilikua ndo siku ya Tuzo za EATV nimeangalia hawajaripot chochote kuhus hizo tuzo badala yake wameripot tu Skul bash hii ikoje wadau
Hivi hamna namna ya kuajiri kizazi kipya? Mbona wenye taaluma kama hizo wako mtaan wengi tu? Inashangaza sana Efm kuwania watangazaj na Clauds wakat vijana kibao wenye taaluma wako mtaan badala yake wanaajiri watu maarufu wasiokuwa na taaluma alaf wanategemea kuongeza wasikilizaji kuna watangazi...
Coz wana ueledi katika kazi na wanafahamu miiko ya utangazaji/uandishi. kingine wana taaluma ya hiyo kazi hawaja ajiriwa kwa umaarufu wao bali kwa taaluma yao, huku kwingine ukiwa maarufu tu unapata ajira hata Kama hujaenda shule.
Hivi hamna namna ya kuajiri kizazi kipya? Mbona wenye taaluma kama hizo wako mtaan wengi tu? Inashangaza sana Efm kuwania watangazaj na Clauds wakat vijana kibao wenye taaluma wako mtaan badala yake wanaajiri watu maarufu wasiokuwa na taaluma alaf wanategemea kuongeza wasikilizaji kuna watangazi...
Husika na kichwa cha habar juu, kuna mwanafunz kapata D2 za biology na chemistry anatafuta chuo chochote cha maswala ya afya mfano. Nursing,Laboratory n.k anaweza kupata chuo? Kwa hapa dar?
Dah mkuu unaupendo wa Agape nataman ungekuwa hapa dar mkuu aseee nataman hata kusafir nije dah na Abarikiwe alie kuzaa mkuu, na Mungu akubarik sana watu ka nyie ni wachache sana mbal na uchache wenu kupitia nyie Mungu hupunguza hasira za kuingamiza dunia!! Japo mkuu avatar yako haijaenda na Moyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.