Mchaga azidiwa ujanja

geometry

JF-Expert Member
Oct 30, 2014
466
356
kuna docta alitangaza anatibu magonjwa yote kwa tsh laki moja,na kama akishindwa kukutibu anakurudishia lak yako na anakuongozea laki nyengine

Mchaga akaona hii fursa yakujipatia hela akaenda kutibiwa

Docta:Unaumwa nin
Mchaga:Ulimi wangu hauwezi ku taste kabisa
Docta:Nesi mpe kopo namb 27 anywe
Mchaga :uh puh uu si mkojo huu
Docta:Umepona umeweza ku taste karibu tena

kesho yake mchaga akarudi tena hakuamini hela yake imeenda bure

Mchaga:Nina tatizo la kumbukumbu nasahau sana
Docta:Nesi mpe kopo namb 27 anywe
Mchaga:Aisee chalii yangu hilo sindo lile lile kopo la jana
Docta:Umepona kumbukumbu unayo
 
kuna docta alitangaza anatibu magonjwa yote kwa tsh laki moja,na kama akishindwa kukutibu anakurudishia lak yako na anakuongozea laki nyengine

Mchaga akaona hii fursa yakujipatia hela akaenda kutibiwa

Docta:Unaumwa nin
Mchaga:Ulimi wangu hauwezi ku taste kabisa
Docta:Nesi mpe kopo namb 27 anywe
Mchaga :uh puh uu si mkojo huu
Docta:Umepona umeweza ku taste karibu tena

kesho yake mchaga akarudi tena hakuamini hela yake imeenda bure

Mchaga:Nina tatizo la kumbukumbu nasahau sana
Docta:Nesi mpe kopo namb 27 anywe
Mchaga:Aisee chalii yangu hilo sindo lile lile kopo la jana
Docta:Umepona kumbukumbu unayo
Nacheka peke yangu hapa:D:D
 
Wachagga tunaonewa jaman yaan haipit cku bila thread juu yetu kuanzishwa..all in all tunatisha sanaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom