Wanaume, zingatieni usafi

Wanaume, zingatieni usafi

Kila la kheri ila kama una UZA jikaze tu.kila kazi ina changamoto zake.ha ha ha ha

Sijui umesema hvy ili kumfurahisha nani?
Ila kiukweli umekosea sana,
Huwezi kumwambia mwanamke mwenzako hvy,

Kwa hiyo sentensi yako ya mwisho inaonesha kbs ww ndio kazi yako.
 
Bila shaka utakuwa ama umepigwa kibuti au kuna mwanaume unamtafuta sio bure,Ukute ni nyege mshindo ndo zinakuzuzua.
 
Hahaha.... U think I know nothing about tz? Nlishinda undergraduate degree udsm, so you cannot lie anything. Afu my dad's house ingine iko Njiro arusha, hata weekend ikujayo ntakua arusha for two days. What you deserve ni pole for you to know not what you are writing.
mmmmh nimependa hii sasa hiyo siku utakayokuja arusha unishtue tuonane angalau nikulinganishe na haya mambo yako ya humu jf sawa we mdada.
btw nisiwe mbinafsi saana kama manyang'au wa huko kwenyu karibu arusha penyewe tunapaitaga chuga.
 
wanasema mtaka cha uvunguni sharti ainame... ukitaka uvumilie hayo manukato..., ukienda kwa sharo ndo hivo tena kazi haiwezi.... tuvumilie tu wanyamwezi.

Ndo hivo tena dhahabu imewekwa pagumu kuipata
 
hao ni machalii sio wanaume wote hebu rekebisha title yako
 
Natamani ubadirishe ID yako kutoka strong gal na kuwa Gal with Stregth.

There is a wide gap btn the two.
 
Sasa kama bwana wako/bwana zako WACHAFU halafu unakuja kusemea humu unatarajia nini?
 
Back
Top Bottom