Kwanini Watangazaji wa ITV/Radio One hawagombewi na Clouds FM pamoja na E FM?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,516
108,791
Rejea tu kichwa cha Habari kama unavyokiona hapo juu na karibu katika ' kutiririka '. Swali ni kuntu kabisa na liko direct.
 
Maulidi kitenge, Omar Katanga-walitoka Radio 1,wako Efm hawa sio wako tuu efm wamefanya mapinduzi ya utangazaji habari za michezo
Millard Ayo-alitoka ITV/Radio One, yupo Clouds media, huyu maye amefanya mapinduzi kwenye utangazaji wa habar za burudani ni zaid ya mtangazaji
Regina mwalekwa alienda clouds ila hakukaa sana akaenda BBC nadhani.

*watangazaji walioko Itv/radio one wengi wana jua na wakitoka pale huwa wana piga kazi safi sana popote watakapo enda, pia maudhui ya clouds ni burudani tofaut na maudhui ya radio 1, ndio maana clouds huiba sana wale watu wa redio pacha ya radio 1, yaani EA radio
 
clouds wanapenda watangazaji wanaohoji mashoga na mashangingi ya mjini,na misheni town kama lemtu
kuna mke wa bosi kilaus ef em yeye ni kipenzi cha mashoga na mashangingi kama gida mane
kimsingi wanataka nchi hii iharibike
 
Hivi mkuu Tv inakuwa na mtangazaji(presenter) kama kivuyo,unafiri utafika wapi mkuu..!!! Mahadithi,ma-misemo,mahistoria biased kibaaooo ya nini sasa kwny modern industry ya television markert..!?

Simpendi Yule jamaa utangazaji wake wa kipuuzi
 
Mkuu radio ona na clouds wana maudhui tofauti sana

Itv ni kituo kipo so traditional na habari zaidi
Clouds wao wapo kiburudani zaidi

Itv ni ile ile haibadiliki style yake ya utangazaji ina miiko mingi ambayo ni lazima uifuate
Wakati clouds ipo free sana, watamgazaji wana uhuru mkubwa sana kuongea watakacho

Wakina Ruge ni wabunifu zaidi na kama unaroho nyepesi unaweza kuboreka kusikiza clouds sababu ya matangazo, mengi hadi yanaboa

Clouds mwenzake ni Efm
 
Maulidi kitenge, Omar Katanga-walitoka Radio 1,wako Efm hawa sio wako tuu efm wamefanya mapinduzi ya utangazaji habari za michezo
Millard Ayo-alitoka ITV/Radio One, yupo Clouds media, huyu maye amefanya mapinduzi kwenye utangazaji wa habar za burudani ni zaid ya mtangazaji
Regina mwalekwa alienda clouds ila hakukaa sana akaenda BBC nadhani.

*watangazaji walioko Itv/radio one wengi wana jua na wakitoka pale huwa wana piga kazi safi sana popote watakapo enda, pia maudhui ya clouds ni burudani tofaut na maudhui ya radio 1, ndio maana clouds huiba sana wale watu wa redio pacha ya radio 1, yaani EA radio
Wanaiba mambumbu wasiojielewa wakamchukue sammisago au Sulla kama wanaweza, hiyo ni brand inajengwa na watu wakujielewa na wenye mtazamo wa Kwa jamii
 
Back
Top Bottom