Msaada wa chuo cha maswala ya afya

Msaada wa chuo cha maswala ya afya

Njema kabisa

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
699
Reaction score
238
Husika na kichwa cha habar juu, kuna mwanafunz kapata D2 za biology na chemistry anatafuta chuo chochote cha maswala ya afya mfano. Nursing,Laboratory n.k anaweza kupata chuo? Kwa hapa dar?
 
Kwa pass hizo akasome community health
atembelee tovuti ya wizara nadhani deadline Ni April
 
Back
Top Bottom