Recent content by Nimkimbilie nani

  1. Nimkimbilie nani

    Kuletwa Porojo za kuibiwa Nyeti kumelenga kupumbaza wananchi wasijadili ripoti ya CAG na Kupanda kwa bei ya Mafuta, SHITUKENI

    Kama kweli ni mbinu, ingetumika kipindi cha uchaguzi wa 29 Oct machafuko yasingekuwa makubwa kiasi kile.
  2. Nimkimbilie nani

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Mi nahisi kuna vitu hii nchi vikiwekwa wazi kuna watu watahama nchi
  3. Nimkimbilie nani

    Jamaa Kila akifunga shop anaweka PESA bank na kuxitoa KWENYE ATM siku hiyo hiyo

    Milion 5 hio hapo ni pembeni ya barabara mkuu
  4. Nimkimbilie nani

    Wataalam wa hacking msaada

    Hakuna app inayoweza, labda uwe na access ya simu au laptop iliounganishwa hio wifi
  5. Nimkimbilie nani

    Namba yako ya simu unayotumia sasa ulianza kuitumia mwaka gani?

    Kipindi hicho kuwa na line tu unajisikia furaha.
  6. Nimkimbilie nani

    Ninachoamini ni kwamba itachukua miaka mingi sana kwa Tanzania kuja tena kutawaliwa na Mwanamke

    Nchi hii inatakiwa rais mwenye hofu ya Mungu, mana katiba imempa madaraka makubwa sana.
  7. Nimkimbilie nani

    Marine traffic data post

    Mafuta mengi yanatoka wapi?
  8. Nimkimbilie nani

    Mke wangu anakaa siku 5 hapati choo kikubwa

    Vyote ulioshauriwa kuvifanya hapo juu usiwe na shauku ya kupata matokeo kwa haraka, tatizo huwa linaanza taratibu na pia kutoka kwake huchukua muda, kwa hio awe na subira kila kitu kiende kwa kiasi. Cha kuongezea kila akimaliza kula asilale papohapo, atumie muda kama nusu saa hivi kutembea...
  9. Nimkimbilie nani

    Tuwasimange mpaka waone aibu

    Money is the source of all evils.
  10. Nimkimbilie nani

    Angalieni hii ramani ya nyumba alafu mnishauri kitu

    Hata kujenga fensi sidhani
Back
Top Bottom