Sana tu,tena kama mazingira yanaruhusu atafute kijana awe anamuuzia barafu kwa kuzunguka sehemu mbalimbali mjini kwa kuziweka kwenye deli kubwa akitumia baiskeli,mimi ninafanya hivyo pesa ya kula inapatikana hapo kwa asilimia 90
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.