Najua wewe ni Mong’o unapenda league sana lakini ukweli ndio huo Millya jana kazomewa tena mbele ya mke wake.
Alipopewa mic 🎤 aliomba waombolezaji tuimbe wimbo namba 309 kitabu cha Mwinbieni Bwana fungu la kwanza tu “Karibu na Wewe,Mungu baada ya kumaliza akaanza kuingiza uCCM ndipo watu wakaanza kumzomea akabadili gear ya kuingiza jina la Sokoine tayari alishakosea hakuwa na namna tena alishajionyesha alivyomjinga.
Mwenzake Nyalandu aliongea vizuri hasa akimwelezea marehemu jinsi alivyokuwa mchangamfu na mwenye upendo.