The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Mzuqa wanaJamvi,
Nikiangalia footage za CCTV za mashambulizi za magaidi wa Alshabaab Nairobi nashikwa nauwoga mkubwa sana.
Binadamu kila kukicha tunakuwa makatili. Napiga picha je ningekuwa kweye lile eneo hata ningepona ila iyo trauma ingedumu.
Tusidhani hayajatukuta huwez juwa situeshen kama hii ya kuogofya inaweza kukuta popote tu kanisani msikitini sokoni stendi ya basi yani magaidi yana masterplan ya kushtukiza na kuwafanya muwe confused na kuua kikatili. Ogopa sana mtu ambaye haogopi kufa ana cha kupoteza.
Sasa hivi naishi kama nyoka kuna msemo wa kiingereza cautious like a snake nachukua tahadhari sana.
Napotembea napoingia kwenye bus, treni ama kwenye mkusanyiko wa watu na chunguza sana nyendo za watu na saikolojia. Nikiona mtu anabehave in afunny way ni kutimua mbio tu.
Pia kwenye begi langu nina kibaragashia na marker pen nyeusi tuseme wavamie treni ama basi faster nachomoa kibarashia halafu najichora alama nyeusi pajini nakuifuta niwe na sigdah ili wakianza kutusort out wataniona mimi mmoja wao.
Never take anything for granted concerning personal safety.
Tahadhari muhimu ila kikubwa kuliko yote ni kumuomba Mungu tu akuepushe kwenye matukio ya kigaidi..
Its really terrifying
Mungu awabariki wahanga na pia awabariki wakenya nawasomali huko Mogadishu ambao pia kila siku wanauawawa kwa makumi na haya magaidi
Nikiangalia footage za CCTV za mashambulizi za magaidi wa Alshabaab Nairobi nashikwa nauwoga mkubwa sana.
Binadamu kila kukicha tunakuwa makatili. Napiga picha je ningekuwa kweye lile eneo hata ningepona ila iyo trauma ingedumu.
Tusidhani hayajatukuta huwez juwa situeshen kama hii ya kuogofya inaweza kukuta popote tu kanisani msikitini sokoni stendi ya basi yani magaidi yana masterplan ya kushtukiza na kuwafanya muwe confused na kuua kikatili. Ogopa sana mtu ambaye haogopi kufa ana cha kupoteza.
Sasa hivi naishi kama nyoka kuna msemo wa kiingereza cautious like a snake nachukua tahadhari sana.
Napotembea napoingia kwenye bus, treni ama kwenye mkusanyiko wa watu na chunguza sana nyendo za watu na saikolojia. Nikiona mtu anabehave in afunny way ni kutimua mbio tu.
Pia kwenye begi langu nina kibaragashia na marker pen nyeusi tuseme wavamie treni ama basi faster nachomoa kibarashia halafu najichora alama nyeusi pajini nakuifuta niwe na sigdah ili wakianza kutusort out wataniona mimi mmoja wao.
Never take anything for granted concerning personal safety.
Tahadhari muhimu ila kikubwa kuliko yote ni kumuomba Mungu tu akuepushe kwenye matukio ya kigaidi..
Its really terrifying
Mungu awabariki wahanga na pia awabariki wakenya nawasomali huko Mogadishu ambao pia kila siku wanauawawa kwa makumi na haya magaidi