Magaidi kweli wanaleta hofu yani uwoga umeniingia hadi sasa hivi naishi kama nyokao

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Jul 5, 2018
6,191
13,614
Mzuqa wanaJamvi,

Nikiangalia footage za CCTV za mashambulizi za magaidi wa Alshabaab Nairobi nashikwa nauwoga mkubwa sana.

Binadamu kila kukicha tunakuwa makatili. Napiga picha je ningekuwa kweye lile eneo hata ningepona ila iyo trauma ingedumu.

Tusidhani hayajatukuta huwez juwa situeshen kama hii ya kuogofya inaweza kukuta popote tu kanisani msikitini sokoni stendi ya basi yani magaidi yana masterplan ya kushtukiza na kuwafanya muwe confused na kuua kikatili. Ogopa sana mtu ambaye haogopi kufa ana cha kupoteza.

Sasa hivi naishi kama nyoka kuna msemo wa kiingereza cautious like a snake nachukua tahadhari sana.

Napotembea napoingia kwenye bus, treni ama kwenye mkusanyiko wa watu na chunguza sana nyendo za watu na saikolojia. Nikiona mtu anabehave in afunny way ni kutimua mbio tu.

Pia kwenye begi langu nina kibaragashia na marker pen nyeusi tuseme wavamie treni ama basi faster nachomoa kibarashia halafu najichora alama nyeusi pajini nakuifuta niwe na sigdah ili wakianza kutusort out wataniona mimi mmoja wao.

Never take anything for granted concerning personal safety.

Tahadhari muhimu ila kikubwa kuliko yote ni kumuomba Mungu tu akuepushe kwenye matukio ya kigaidi..

Its really terrifying

Mungu awabariki wahanga na pia awabariki wakenya nawasomali huko Mogadishu ambao pia kila siku wanauawawa kwa makumi na haya magaidi
 
Inaitwa situational awareness,keep your head on swiveal and your eyes peeled,anything can happen anywhere be ready for any situation anytime anywhere
Aisee GT Elungata umegundua kitu. Zamani magaidi na wanaojitoa mhanga walikuwa waarabu tu na tamil tigers. Msomali walikuwa makatili ndio lakini hawakuwa wanajitoa mhanga kabisa zamani.

Sasa cha kuogopesha zaidi mbantu na mmatumbi sasa kwa kasi wanajitoa sana mhanga.
 
Magaidi wanatambuana, hvyo kuchora sijui kitu gani, hawajui wao, can u imagine walikuwa very small in number wakat wa attack, wana plan ya hali ya juu na inachukua muda meefu sometimes kwa ajili ya kujipanga na rehersal, wanaingia eneo linalotarajiwa kupigwa wanafanya plan ya hali ya juu, lkn security organs zetu wanashindwa kufaham michezo hyo....Mungu tu ndo msaada kwetu, hao wana mungu wao na wanaamin wakifa ktk namna hyo bhas wanaenda peponi, imani yao hyo.
 
Magaidi wanatambuana, hvyo kuchora sijui kitu gani, hawajui wao, can u imagine walikuwa very small in number wakat wa attack, wana plan ya hali ya juu na inachukua muda meefu sometimes kwa ajili ya kujipanga na rehersal, wanaingia eneo linalotarajiwa kupigwa wanafanya plan ya hali ya juu, lkn security organs zetu wanashindwa kufaham michezo hyo....Mungu tu ndo msaada kwetu, hao wana mungu wao na wanaamin wakifa ktk namna hyo bhas wanaenda peponi, imani yao hyo.
Huko sahihi kabisa GT Mungu ndiye msaada wetu. Natuzidi kumuomba ili alainishe mioyo ya magaidi yasifanye shambulizi sehem kama Chekea. Kwasababu hayajali kabisa thamani ya uhai.

Wasomali hapo mbeleni walikuwa wanashabikia sana haya mashambuliz ya Alshabab Nairobi. Lakini wamekuja kuwa wahanga wakubwa sana wa Alshabab na lile tukio kubwa liloua watu karibu 1000 mogadishu liliwashtua sana hata Alshabaab wenyewe waliogopa kusema walihusika
 
Mzuqa wanaJamvi,

Nikiangalia footage za CCTV za mashambulizi za magaidi wa Alshabaab Nairobi nashikwa nauwoga mkubwa sana.

Binadamu kila kukicha tunakuwa makatili. Napiga picha je ningekuwa kweye lile eneo hata ningepona ila iyo trauma ingedumu.

Tusidhani hayajatukuta huwez juwa situeshen kama hii ya kuogofya inaweza kukuta popote tu kanisani msikitini sokoni stendi ya basi yani magaidi yana masterplan ya kushtukiza na kuwafanya muwe confused na kuua kikatili. Ogopa sana mtu ambaye haogopi kufa ana cha kupoteza.

Sasa hivi naishi kama nyoka kuna msemo wa kiingereza cautious like a snake nachukua tahadhari sana.

Napotembea napoingia kwenye bus, treni ama kwenye mkusanyiko wa watu na chunguza sana nyendo za watu na saikolojia. Nikiona mtu anabehave in afunny way ni kutimua mbio tu.

Pia kwenye begi langu nina kibaragashia na marker pen nyeusi tuseme wavamie treni ama basi faster nachomoa kibarashia halafu najichora alama nyeusi pajini nakuifuta niwe na sigdah ili wakianza kutusort out wataniona mimi mmoja wao.

Never take anything for granted concerning personal safety.

Tahadhari muhimu ila kikubwa kuliko yote ni kumuomba Mungu tu akuepushe kwenye matukio ya kigaidi..

Its really terrifying

Mungu awabariki wahanga na pia awabariki wakenya nawasomali huko Mogadishu ambao pia kila siku wanauawawa kwa makumi na haya magaidi
Wakifanya shambulizi eneo ambalo upo unadhani utaikumbuka hiyo barghashia au hiyo makerpen?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakifanya shambulizi eneo ambalo upo unadhani utaikumbuka hiyo barghashia au hiyo makerpen?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa Alshabaab mbeleni walikuwa wanawasort out kama umevaa kiislam na hata kuwauliza jina la mama yake mtume ikishindwa wanakulisha shaba. Ila tukio la juzi hapo nairobi hawakuuliza hayo maswali wenyewe nikuufyatua risasi ti
 
Haha ndio solution pakee iliyobaki sasa unadhani unatakiwa ufanyaje ... ukijfnya lele mama wale jamaa hawakawii kukutolea mfano kwa wengine ....halafu kesho wanapost clip yako ukiwa una chinjwa kwenye mitandao .....
Nilimsikia siku moja mkuu wa polisi Denmark akiwapa ushauri watu panatokea tukio la kigaidi alishauri wewe kimbia tu chana mbuga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimsikia siku moja mkuu wa polisi Denmark akiwapa ushauri watu panatokea tukio la kigaidi alishauri wewe kimbia tu chana mbuga
Mkuu,magaidi wote Duniani wako highly trained... kama ulitazama clip/CCTV footage za westgate utagundua kuwa magaidi wanazombinu nyingi kuliko vikosi vya majeshi ya nchi

Kwanza kabla ya kushambulia walifanya mazoezi ya kushambulia pamoja na kununua vifaa mwezi mmoja kabla

Pili,siku ya shambulio wali-target sana sehemu ambazo watu wangetokea baada ya kusikia milio ya risasi

Tatu,walizigeuza camera za CCTV baada ya mauaji na kujichanganya na watu wanaopaswa kuokolewa so,wanajeshi walipoanza kuwaokoa raia wakawaokoa na magaidi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzuqa wanaJamvi,

Nikiangalia footage za CCTV za mashambulizi za magaidi wa Alshabaab Nairobi nashikwa nauwoga mkubwa sana.

Binadamu kila kukicha tunakuwa makatili. Napiga picha je ningekuwa kweye lile eneo hata ningepona ila iyo trauma ingedumu.

Tusidhani hayajatukuta huwez juwa situeshen kama hii ya kuogofya inaweza kukuta popote tu kanisani msikitini sokoni stendi ya basi yani magaidi yana masterplan ya kushtukiza na kuwafanya muwe confused na kuua kikatili. Ogopa sana mtu ambaye haogopi kufa ana cha kupoteza.

Sasa hivi naishi kama nyoka kuna msemo wa kiingereza cautious like a snake nachukua tahadhari sana.

Napotembea napoingia kwenye bus, treni ama kwenye mkusanyiko wa watu na chunguza sana nyendo za watu na saikolojia. Nikiona mtu anabehave in afunny way ni kutimua mbio tu.

Pia kwenye begi langu nina kibaragashia na marker pen nyeusi tuseme wavamie treni ama basi faster nachomoa kibarashia halafu najichora alama nyeusi pajini nakuifuta niwe na sigdah ili wakianza kutusort out wataniona mimi mmoja wao.

Never take anything for granted concerning personal safety.

Tahadhari muhimu ila kikubwa kuliko yote ni kumuomba Mungu tu akuepushe kwenye matukio ya kigaidi..

Its really terrifying

Mungu awabariki wahanga na pia awabariki wakenya nawasomali huko Mogadishu ambao pia kila siku wanauawawa kwa makumi na haya magaidi
Bwana asipoilinda nyumba yeye alindae akesha bure

Sent by Diaspora
 
Kwanini Magaidi hawashambulii Japan wala Korea Kusini?

Ugaidi ni unyama lakin Sie 'tusio magaid' ndio tunachochea Magaidi kwa kuchochea ghasia Kwenye Nchi zao Na kuua Ndugu, Jamaa Na Kuharibu Miundombinu ya Nchi zao!

Ukiwapotezea Magaidi hawana time Na Wewe ila ukianza kuwazingua nao wana zinguakwenye Taifa lako japo wanakosea kuua wasio husika Na uamuzi wa Kiserikal
 
Back
Top Bottom