Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,663
- 50,967
Bandu bandu humaliza gogoNa muonja asali haonji mara moja.
Bandu bandu humaliza gogoNa muonja asali haonji mara moja.
Wapo wanawake wazuri wenye tabia njema na wanaojitambua sio kama huyu mwanampotevuanother reason for me not to marry anytime soon!.....................
Habari za weekend wakuu
Nimekuja kwenu na I'd mpya maana naona mpaka aibu, kueleza na isitoshe nipo humu ndani Nina marafik najuana nao na mashemeji zangu pia wapo na tunajuana I'd.
Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja muheza tanga alikua kikazi namm nilikua nipo pale kikazi tulikua marafiki SNA, nikajikuta nampenda SNA ila yy alikua na mahusiano yke.
Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda SNA akasema hata yeye anahisia na mm ila anamchumbaake anamsomesha so hawez kumuacha. Basi niliumia lakin nilimuelewa tukabak kuwa marafik
Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr, ananipenda na wote tunahofu ya Mungu Hathaway kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.
Jamaa yangu yule wa muheza nayy mwaka juzi akaoa, lakin ndoa yao haina Aman wanagombana kila Siku mwaka Jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengena Basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana PC mpaka za uchi nikajikuta nampenda SNA kuliko hata mume wangu, na hapo hatujawah kusex hata Siku moja.
Mwaka Jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa, coz hata mm pia Nina mume so sio big inshu akanuambia unajua nn V, tulia kwenye ndoa yko Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa aman acha mm nipambane na hali yangu, nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakin mumeo akija kuona chat zetu atakuua.
Niliumia nikamwambia okey lakin umeniteka akili yangu naumia SNA juu yako, nataman tukutane hata Siku moja tupeane raha alafu tuachane akasema sawa, ila mawasiliano na mm kapunguza anaogopa mm make wa MTU na mm nimeshadata kwake nifanyaje jaman.
Cjawah kuchepuka hata Siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuaje ananiamini SNA.
Yule jamaaangu wa muheza nampenda SNA tena SNA nayy Ananipenda lakin naogopa kuchepuka.
Naombeni ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushamkosea sana mme wako.. Hiyo hatia itakutesa miaka na miaka..
Umepata chema kwanini usiridhike shogaangu?
Ndoa za siku hizi zimekua za hovyohovyo kias jwamba sioni maana ya ndoa.. Ni bora nibaki huru na maisha yangu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahofu ya MUNGU na huku unampenda mume wa mtu na wewe unamume wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Methali 14 : 1- 18Una hofu ya Mungu halafu unaogopa kuchepuka halafu unaomba ushauri, unataka ushauri gani sasa? Wakuambiwa chepuka ama, mimi sikushauri uchepuke kwanza mpotezee kabisa huyo jamaa unavyozidi kuchat nae ndiyo hali ya kutaka kuchepuka inakunyemelea, jiheshimu, heshimu ndoa yako, miheshimu mumeo.
Hii hofu ya Mungu wake inastaajabisha sana, inaruhusu mpaka kutumiana picha za nyuchi na kupeana raha.Unahofu ya MUNGU na huku unampenda mume wa mtu na wewe unamume wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za weekend wakuu
Nimekuja kwenu na I'd mpya maana naona mpaka aibu, kueleza na isitoshe nipo humu ndani Nina marafik najuana nao na mashemeji zangu pia wapo na tunajuana I'd.
Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja muheza tanga alikua kikazi namm nilikua nipo pale kikazi tulikua marafiki SNA, nikajikuta nampenda SNA ila yy alikua na mahusiano yke.
Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda SNA akasema hata yeye anahisia na mm ila anamchumbaake anamsomesha so hawez kumuacha. Basi niliumia lakin nilimuelewa tukabak kuwa marafik
Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr, ananipenda na wote tunahofu ya Mungu Hathaway kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.
Jamaa yangu yule wa muheza nayy mwaka juzi akaoa, lakin ndoa yao haina Aman wanagombana kila Siku mwaka Jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengena Basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana PC mpaka za uchi nikajikuta nampenda SNA kuliko hata mume wangu, na hapo hatujawah kusex hata Siku moja.
Mwaka Jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa, coz hata mm pia Nina mume so sio big inshu akanuambia unajua nn V, tulia kwenye ndoa yko Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa aman acha mm nipambane na hali yangu, nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakin mumeo akija kuona chat zetu atakuua.
Niliumia nikamwambia okey lakin umeniteka akili yangu naumia SNA juu yako, nataman tukutane hata Siku moja tupeane raha alafu tuachane akasema sawa, ila mawasiliano na mm kapunguza anaogopa mm make wa MTU na mm nimeshadata kwake nifanyaje jaman.
Cjawah kuchepuka hata Siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuaje ananiamini SNA.
Yule jamaaangu wa muheza nampenda SNA tena SNA nayy Ananipenda lakin naogopa kuchepuka.
Naombeni ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hofu ya Mungu wake inastaajabisha sana, inaruhusu mpaka kutumiana picha za nyuchi na kupeana raha.
Mbinguni kwa baba kuna raha kuliko hizi za dunia, endelea kumpotezaKula raha kufa kwaja
Aisee,
(Kutumiana picha za uchi, mke wa mtu kutamani kupeana raha na mume wa mtu)
Hiyo hofu ya Mungu unayojinasibu kuwa nayo ni ya Mungu yupi?
Tafadhali tubu hiyo dhambi haraka na utulie na mumeo.
Nb:-
Hebu nitumie na mimi hizo picha nithibitishe kama ni za uchi kweli?
Nafikiri mleta mada anatania.Hana akili dunia hii ya utandawazi anatuma Picha za uchi na amejuaje huyo mume wa MTU ana mpenda! Mwanamke mwenzangu kuwa na akili ngoja mkewe afume hzo Picha azisambaze grow up
Sent using Jamii Forums mobile app