Mume wa mtu ananitesa

Mume wa mtu ananitesa

Tayari nimesha kutambua, na ID yako ya zamani nimeijua tayari kutokana na historia fupi ulivyo jieleza pamoja na aina yako ya uandishi haija badilika.
Naomba kuwasilisha....
tapatalk_1547552950903.jpeg
 
Fuata ushauri wa M,tulia na mumeo.
Hujiulizi why M anakushauri utulie kwa mumeo??Kwa sentensi hiyo huyo M wala hakupendi angekuwa anakupenda angekomaa uendelee nae.
Halafu inaonekana wewe ndii unampenda zaidi kuliko yeye anavyokupenda.
Na ukicheat tu ukafumwa jua na M atakuacha trust me mana hapo hakuna mapenzi bali mwenzio anataka mfariji na baada ya ndoa yake kukaa vizuri hataki tena mazoea.
Jiongeze shosti tengeneza kwako kuzidi kuwa imara tena mwombe sana Mungu na jiweke karibu nae mana kuna janga linakuita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Im vere shua huandikagi vifupi ni vile tu hutaki tukujue ni nani weye.

Eniwei msikilize huyo bwana wa Muheza anakushauri vizuri.
 
Habari za weekend wakuu
Nimekuja kwenu na I'd mpya maana naona mpaka aibu, kueleza na isitoshe nipo humu ndani Nina marafik najuana nao na mashemeji zangu pia wapo na tunajuana I'd.

Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja muheza tanga alikua kikazi namm nilikua nipo pale kikazi tulikua marafiki SNA, nikajikuta nampenda SNA ila yy alikua na mahusiano yke.

Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda SNA akasema hata yeye anahisia na mm ila anamchumbaake anamsomesha so hawez kumuacha. Basi niliumia lakin nilimuelewa tukabak kuwa marafik

Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr, ananipenda na wote tunahofu ya Mungu Hathaway kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.

Jamaa yangu yule wa muheza nayy mwaka juzi akaoa, lakin ndoa yao haina Aman wanagombana kila Siku mwaka Jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengena Basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana PC mpaka za uchi nikajikuta nampenda SNA kuliko hata mume wangu, na hapo hatujawah kusex hata Siku moja.

Mwaka Jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa, coz hata mm pia Nina mume so sio big inshu akanuambia unajua nn V, tulia kwenye ndoa yko Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa aman acha mm nipambane na hali yangu, nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakin mumeo akija kuona chat zetu atakuua.

Niliumia nikamwambia okey lakin umeniteka akili yangu naumia SNA juu yako, nataman tukutane hata Siku moja tupeane raha alafu tuachane akasema sawa, ila mawasiliano na mm kapunguza anaogopa mm make wa MTU na mm nimeshadata kwake nifanyaje jaman.

Cjawah kuchepuka hata Siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuaje ananiamini SNA.

Yule jamaaangu wa muheza nampenda SNA tena SNA nayy Ananipenda lakin naogopa kuchepuka.

Naombeni ushauri



Sent using Jamii Forums mobile app
Ushamkosea sana mme wako.. Hiyo hatia itakutesa miaka na miaka..
Umepata chema kwanini usiridhike shogaangu?
Ndoa za siku hizi zimekua za hovyohovyo kias jwamba sioni maana ya ndoa.. Ni bora nibaki huru na maisha yangu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Unahofu ya MUNGU na huku unampenda mume wa mtu na wewe unamume wako

Sent using Jamii Forums mobile app
Una hofu ya Mungu halafu unaogopa kuchepuka halafu unaomba ushauri, unataka ushauri gani sasa? Wakuambiwa chepuka ama, mimi sikushauri uchepuke kwanza mpotezee kabisa huyo jamaa unavyozidi kuchat nae ndiyo hali ya kutaka kuchepuka inakunyemelea, jiheshimu, heshimu ndoa yako, miheshimu mumeo.
Methali 14 : 1- 18
 
Ahahaha.Haya bana.Pole sana mjinga mmoja wewe mm sina cha kukushauri zaid ya kusema HUO UPUMBAVU achana nao
..
Binafsi nina miaka kadhaa kwenye ndoa na ninamshukukr Mungu sijawah kutana na hiz fujo za ndoani.
Lakin kila siku naposoma ujinga wa hawa kina dada huwa inanifanya nijiandae kisaikolojia tayar kwa vimbwanga maana duh!
Halaf angakia sababu zao sasa ndio utachoka.Ngoja niendlee kukaa mguu upande .Ahahahah
 
Tunza ndoa yako. You guys ni soulmates but in a wrong time.
Heshim ndoa yako.. huko kutamaniana mtakuja zini halaf shetani anapenya hapo hapo na kuvuruga ndoa.
Habari za weekend wakuu
Nimekuja kwenu na I'd mpya maana naona mpaka aibu, kueleza na isitoshe nipo humu ndani Nina marafik najuana nao na mashemeji zangu pia wapo na tunajuana I'd.

Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja muheza tanga alikua kikazi namm nilikua nipo pale kikazi tulikua marafiki SNA, nikajikuta nampenda SNA ila yy alikua na mahusiano yke.

Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda SNA akasema hata yeye anahisia na mm ila anamchumbaake anamsomesha so hawez kumuacha. Basi niliumia lakin nilimuelewa tukabak kuwa marafik

Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr, ananipenda na wote tunahofu ya Mungu Hathaway kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.

Jamaa yangu yule wa muheza nayy mwaka juzi akaoa, lakin ndoa yao haina Aman wanagombana kila Siku mwaka Jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengena Basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana PC mpaka za uchi nikajikuta nampenda SNA kuliko hata mume wangu, na hapo hatujawah kusex hata Siku moja.

Mwaka Jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa, coz hata mm pia Nina mume so sio big inshu akanuambia unajua nn V, tulia kwenye ndoa yko Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa aman acha mm nipambane na hali yangu, nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakin mumeo akija kuona chat zetu atakuua.

Niliumia nikamwambia okey lakin umeniteka akili yangu naumia SNA juu yako, nataman tukutane hata Siku moja tupeane raha alafu tuachane akasema sawa, ila mawasiliano na mm kapunguza anaogopa mm make wa MTU na mm nimeshadata kwake nifanyaje jaman.

Cjawah kuchepuka hata Siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuaje ananiamini SNA.

Yule jamaaangu wa muheza nampenda SNA tena SNA nayy Ananipenda lakin naogopa kuchepuka.

Naombeni ushauri



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hana akili dunia hii ya utandawazi anatuma Picha za uchi na amejuaje huyo mume wa MTU ana mpenda! Mwanamke mwenzangu kuwa na akili ngoja mkewe afume hzo Picha azisambaze grow up
Aisee,
(Kutumiana picha za uchi, mke wa mtu kutamani kupeana raha na mume wa mtu)
Hiyo hofu ya Mungu unayojinasibu kuwa nayo ni ya Mungu yupi?
Tafadhali tubu hiyo dhambi haraka na utulie na mumeo.

Nb:-
Hebu nitumie na mimi hizo picha nithibitishe kama ni za uchi kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada umeongea jambo zuri na lamsingi hapo chini,kama kweli unamuogopa MUNGU wako basi hili ni rahisi kulishinda.Kama kweli sote tungekuwa tunamuogopa Mungu haswa basi dhambi kama hizi za uzinzi n.k wala zisingekuwepo.Heshimu kiapo chako cha ndoa,ukichepuka tu nakuapia utaleta laana na machafuko ktk ndoa yako ambayo umekuwa ktk amani miaka hiyo yote.Mungu akutie nguvu,epuka tamaa yakutaka kutafunwa nje ya ndoa(kiapo)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom