Mimi ninawashangaa sana wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Wao pamoja na Mwenyekiti wa Freeman Mbowe wamekua wakilalamika sana kua Serikali inaongozwa kama kichwa cha mwenda wazimu kwa sababu Wakurugenzi wa mashirika mbalimbali wametimuliwa na kuyaacha mashirika hayo...
Nadhani kuna kosa moja watu wanaweza kujikuta wanalifanya bila kujijua – kuingilia ugomvi na kesi zisizowahusu au kuzishobokea kwakuwa anayesemwa wanamchukia na wao pia. Ukifatilia historia ya Mange kumsakama January haikuanza jana wala juzi. Ni mtu ambaye watu wengi aliowahi kuwa na urafiki nao...
Wabongo tumezidi kuishi kwa matukio na umbea umbea,haya sasa umbea wote sasa kwisha, tuchunge yale tunayo yaongea kabla ya kupalia makaa jambo ambalo huna ushahidi nalo.
Haki haitafutwi kwa mange kama yeye ana ushahidi wa hayo yote anapaswa kwenda kwenye vyombo husika ili kudai haki yake, mange ndio hakimu?? wabongo tuache ushabiki
hahahahahaha umtumbue mtu jipu kwa ushahidi wa mange kimambi, mropokaji namba moja. mwisho wa ubaya aibu!!!!!! naomba kuuliza hivi mange anashida gani na january maana amekua kama kupe kutaka kumzushia zushia uwongo kila wakati,
hahahahahaha mange bado hajaacha tu kufuata fuata waume za watu, lol nimekuvulia kofia, umeshindwa kufanikiwa kumchafua january kwenye mengi, sasa umeamua katika hili. wewe na huyo tapeli wako mzungu na story yenu ya kusadikika msyuuuuuuu.
kuota usiku sio tatizo,ila kuota mchana ni tatizo. piga kura rudi nyumbani kusubiri matokeo, ignorance of law has no defence, rejea unlawful assembly kama unahakika ndoto yako ya kulinda kura inaweza kufanikiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.