Mizania ya haki; Kile alichopaswa kufanya Makamba jr

Hii mechi mpaka dk hii Mange anaonekana kuongoza..Ngoja tuona kama Makamba's Family watasawazisha
Haha nachompendea Mange ukimchokonoa tu ana details za ku back up tuhuma zake ,toka atoe picha sijui ya miaka 90 ya marehemu dada yake Hoyce ,nimemnyoshea mikono
 
Haha nachompendea Mange ukimchokonoa tu ana details za ku back up tuhuma zake ,toka atoe picha sijui ya miaka 90 ya marehemu dada yake Hoyce ,nimemnyoshea mikono
Huyu inaonekana ana wafuasi kila kona ndo wanaompa details..Na pengine ukute ni watu wa karibu wa hao watuhumiwa..Mange anachofanya ni kubeba fuko la mavi tu na kujilipua
 
Siasa za afrika aziitaji mastermind fitina tu ndio kila kitu dogo jembe wakubwa awatukanwi wakubwa ona sasa wakubwa wanajua mengi kuliko wewe ona sasa kwa kiburi chako ukajua hii Ngoma unacheza unaiweza kumbe Ngoma ya watoto aikeshi kwa kuwa umetukana wakubwa wanakuangalia tu una ata pa kuomba ushauri maana Dada katumia mwili wewe umetumia cheo kazi kwako sasa kujibu tuhuma
 
Walipanic mno huyo mange watu walishampuuza sasa alivotoka kujibu bila kujipanga yeye na dadake ndo wakachochea moto. Si vtu vyote hutakiwa kukanushwa Mara moja ushauri wa wengine muhimu
January has never been intelligent though ila mie naendelea kusoma. Ana haraka ya maisha dogo huyu
 
9238e9bbe945e16083d6298943955f24.jpg
Nimemtaja yeye kama mhusika mkuu kutokana na nyazifa zake kisiasa, nafasi yake katika jamii na historia yake kwenye uwanja wa siasa na maamuzi mengi yaliyotokana na yeye...kwenye hii skendo iliyoko kwenye hatua za tuhuma yeye ndio muathirika mkuu...kwahiyo busara uvumilivu mkubwa akili iliyo sharp na werevu vilihitajika sana kipindi hiki
Hii ni vita yenye pande nyingi na wapambe wengi...mbinu bora zinahitajika ili kuweza kushinda vita
Vyovyote vile iwavyo kuna kufahamiana kwa karibu kati ya watatu hawa January Mwamvita na muitaliano na kwa vyovyote kulikuwa na makubaliano fulani fulani yaliyohusisha pesa nyingi (za rushwa?)ahadi za upendeleo kwenye mambo fulani nk nk
Kwa kulifahamu hili na zile tambo za bibie Kimange...kwamba ana lundo la ushahidi wa kila aina, Makamba hakupaswa kujibu lolote kwasasa...angekaa kimya akinote kila kitu yakiwemo malumbano ya mitandaoni, angesubiri walau kwa siku kadhaa aone kimange anajua kiasi gani
Kuwalipa haraka haraka vijana wa mtandaoni wakanushe kijinga kabisa na yeye kukimbilia kukanusha kumempa kimange credit moja kubwa sana
Kimange anajulikana alivyo mchokonozi na mdaku, hivyo mpaka jana jioni watu walikuwa hawamuamini kivile na hakukuwa na post nyingi...lakini baada tu ya watuhumiwa kuongea na kukiri baadhi ya mambo mjadala ukageuka mwelekeo na post zikaongezeka maradufu....!
Makamba kama kiongozi aliyekuwa msaidizi wa rais (nafasi kubwa sana hii) alipaswa kuwa na subra katika hili ili mihemko kwenye mitandao ipoe apate pa kuanzia
Bahati mbaya sana the guilty are afraid hiyo ni kanuni ya maisha...alipaniki kwa kuguswa pabaya bila maandalizi
Wakati ushahidi na ukweli ndio vitaleta mizania ya haki...lakini mpaka tutakapofika huko Makamba atakuwa sio huyu tena....!
e7f4f4799bac872b7325d9ed1eb562cc.jpg
Kwa ufupi ulitaka atoe maelezo ya uongo sio?.
 
Hii kitu kabla ya kukimbilia kwenye mitandao na kukanusha kizembe angewatafuta wanasheria na watu wengine wenye uelewa na uzoefu zaidi kumzidi wakae chini watafakari kwa pamoja....awe mkweli kwao wafuatilie mjadala kimya kimya kisha wajipange... lakini J akaona hili analimudu...!hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama kudhani unajua kuliko wengine
Haki haitafutwi kwa mange kama yeye ana ushahidi wa hayo yote anapaswa kwenda kwenye vyombo husika ili kudai haki yake, mange ndio hakimu?? wabongo tuache ushabiki
 
Huyu inaonekana ana wafuasi kila kona ndo wanaompa details..Na pengine ukute ni watu wa karibu wa hao watuhumiwa..Mange anachofanya ni kubeba fuko la mavi tu na kujilipua
Ndio maana yake sasa unafikria katika hali ya kawaida Mange hizo habari katoa wapi ,lazima kuna mastermind wa hii ishu nyuma yake ,ngoja kesho ifike tutaskia mengi ,
 
Huyu inaonekana ana wafuasi kila kona ndo wanaompa details..Na pengine ukute ni watu wa karibu wa hao watuhumiwa..Mange anachofanya ni kubeba fuko la mavi tu na kujilipua
Ana cult ya die hard followers,hata kama hakujui,wao watam supply data zote-huyu si mtu wa kukwaruzana nae-atakuacha uchi. Issue hii ya makamba naona ni onyo kali kwa maadui zake
 
Haki haitafutwi kwa mange kama yeye ana ushahidi wa hayo yote anapaswa kwenda kwenye vyombo husika ili kudai haki yake, mange ndio hakimu?? wabongo tuache ushabiki
Kuna uwezekano mkubwa mimi sijakuelewa au wewe hujanielewa
 
Mbona kama vile wengi mnamuonea huruma uyu marope Mange si mkubali ila kwa hili big up sana , nyie wapambe wake mtu wenu akili ndogo uyo ndio maana ata paper aliiba mnavyoshauri haiwezekaniki, sasa lishakuwa jipu hilo msukuma anaanda pini kutumbua puufuuuuu,;wale wanaokula pesa zake mjini hapa ngoja tuwaone mkitetea
 
Back
Top Bottom