Recent content by Nickson Mjuni

  1. Nickson Mjuni

    Ushauri: Kuhusu TIN na leseni ya biashara kutoka manispaa

    I MEAN APA LAZIMA NIFANYE TAX PLANNING ILI WASINIPGE AUSIO??
  2. Nickson Mjuni

    Ushauri: Kuhusu TIN na leseni ya biashara kutoka manispaa

    Habarin za wikendi wanajamvi, mi sio mtu wa kuposti sana thread ila leo nimeona niombe ushauri au wazo kutoka kwenu wadau. I mean nimesajili company na taratibu zote za kuisajili zimeshamalizika na namshukuru Mungu BRELA majuzi hapa wamenipa CERTIFICATE OF INCORPORATION. Ivyo bhas baada ya...
  3. Nickson Mjuni

    Maandalizi ya usaili TRA.

    vp niwatumia na act au VAT ACT INCOME TAX ACT FINANCE ACT HOTEL LEVY ACT EACCMA,2004 EXCISE DUTY ACT
  4. Nickson Mjuni

    Natafuta aina ya mashirt meupe classic

    habarini ndugu zangu, nina kashughuli wikend ijayo so nilikuwa naomba kuuliza ni aina gani ya mashirt meupe classic, sehemu yanapouzwa na bei zake ili nikanunue au mnicontact pm na hao wauzaji ili nikiktokea next wik niwe fireeeeeeeeee abt bei msijari mi nahitaji kitu classic hata kikinyooshwa...
  5. Nickson Mjuni

    First year bwana ni shida mjini

    umenifundisha ki2 ngoja siku iz wakinikamata nawatemea ngeli kubaaf hawa tena nafanya kosa makusudi navuka taa nyekundi
  6. Nickson Mjuni

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    my furendi fx trading unaambiwa don work for money work fo pip.
  7. Nickson Mjuni

    kuitwa kwa usail dom

    sema uwezo wako wa kuelewa ndio mdogo sio vijana wa kileo, lazima ujue ni aina gani ya maneno pakuongea na kwa wakati gani tusichukuliane pouwah we sema wapi hujaelewa tukueleweshe.
  8. Nickson Mjuni

    kuitwa kwa usail dom

    Wazee kwema???? kuna aliyetumiwa ujumbe kuhusu kuitwa kwa usaili dom tanesco km yupe ajeah pm ili tusepe wote j2 ili j3 tukisanue VETA dom asubuh na mapema
  9. Nickson Mjuni

    Online forex trading

    my furendi fx trading is a business and not a casino. my take: kabla hujaingia kwenye hii business make sure u have enough knownledge about this trading and should ave trading trading
  10. Nickson Mjuni

    Mafuta mazuri ya kiume

    MMH RINJU YANANUKIA bt ukipaka usoni jiandae machunusi
  11. Nickson Mjuni

    Natafuta kazi Ya uhasibu

    hapana bt nimejisajili na board na last month mefanya mitihani ya board
  12. Nickson Mjuni

    DSE: NMB yapigwa Wimbi Hisa zaporomoka bei kwa 15%

    acha uongo ww tbl hisa yake elfu2 na upuuz huo nan kasema???????????
  13. Nickson Mjuni

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    hii thread so amazing yan kuna jamaa yangu mwnyew nahis anaifanya sema huwa haniambiag biashara gan ya mtandao anayoifanyaga
Back
Top Bottom