Online forex trading

Nimeingia. Nimetengeneza $500 kwenye live Friday. Ila nilikuwa bullish kwenye demo zaidi ya kwenye live nikatengeneza $5,000 kwenye demo.

Nilinyolewa vizuri sana miaka ya nyuma (financial crisis ya 2007-2010) nikawa magutu sana.

Si unajua ukiingia kichwa kichwa unanyolewa mpaka ngozi halafu unapoteza mpaka shati.

Hii wiki inayoanza between the FTSE 100 and the Aussie target kupiga angalau USD 5,000 in profit.

Of course mtu anaweza kulizwa $ 5,000. Ni kujiandaa kisaikolojia tu kabla. Na kuusoma mchezo.

Ama sivyo unaweza ku bet mpaka mkeo kama Mzee Suchak.
Mkuu unafanya binary option?

Wanna know your strategy if you wouldn't mind
 
Nina elimu ya finance na mambo ya options, futures, arbitrage, bonds nk nayafahamu.......

Kuna risk kubwa sana. Watu waingie ila wajipange

Nami nimo kwenye hiyo biashara lakini my plan ni kwa mwaka kupata faida ya walau 1M ila si kama akina Ontario wanavyoenda

Wewe kweli una ufahamu wowote kuhusu options?
 
my furendi fx trading is a business and not a casino.
my take: kabla hujaingia kwenye hii business make sure u have enough knownledge about this trading and should ave trading trading

As yet I've been acquainted with FX knowledge abundantly, surely there is nothing about its background I am not aware of.

So, this comment sounds too funny to me.

Actually nafahamu sana forex nini mpaka chimbuko lake, sasa hivi ntajifunza binary option, kama una ujuzi karibu tushee!
 
Mkuu unafanya binary option?

Wanna know your strategy if you wouldn't mind
Nothing fancy. It is stuff everybody know or should know.

1. Never use money you can't afford to lose.

2. Educate yourself to know about your investment. If you are putting money on the FTSE 100 getting to 7420 read the "Financial Times" assesments and Bank of England tea leaves. Read what the financial whizzkids are saying, calculate your risks to distinguish your investment from pure gambling.

3.Never get too greedy and buy unrealistic positions fueled by hopes that the market will miraculously follow your position. As Keynes said, the market can stay irrational longer than you can stay solvent.

4. Never remain too cocky and stubborn in the wake of a falling position. Cutting your loses is a strategy. He who fights and run away, lives to fight another day. You are not married to yiur positiins.

5. Try to buy positions that are low risk and with potential of high returns. In my case I bought a position that predicted the FTSE 100 was going to jit 7420 at a time when it seemed like it had already buckled the trend to get to 7420, but people were hesitating due to the usual up and down jitters of the market. I bought at 45 and sold at 83. I could have timed it to buy at 33 and almost tripled mt investments, but the risks of it tanking would have increased too. It is better to double your investment on a seemingly sure bet than try to triple on a trend that could wipe your money clean.

6. Always leave some money around to rebound if a certain position fails. I was a bit too cocky on the Australian dollar earlier Friday and almost got cleaned (on the money I placed for the Aussie dollar to rebound). The FTSE was my comeback.

7. Use your head more than your money to invest. Some of the best investments I have had were due to my being spendthrift, when I am low in digits,like Jay said, I push blow in a blizzard. it's like a comeback is a must, with my back to the wall. Having plenty of money may actually make one think less.

8. Get positions that have signs of vigor but are underrated and will allow you to buy low and sell high by staying in the market just long enough to experience the fluctuations.Without fluctuations, you can't buy low and sell high. Example, positions that expire 3:00 AM daily have a longer span to allow good entry and exit points than positions that are of a shorter term.

I gotta go now. But I will be back with more nuggets. Some you already know.
 
I just made a 50% profit on EUR/USD> 1.1200 by 11 PM US ET. Bought at 10 and sold at 15. Its going down and its not gonna hit that threshold in 40 minutes. If it does I left a lot of money on the table.

I'm using NADEX.
 
I just made a 50% profit on EUR/USD> 1.1200 by 11 PM US ET. Bought at 10 and sold at 15. Its going down and its not gonna hit that threshold in 40 minutes. If it does I left a lot of money on the table.

I'm using NADEX.
Al-watan how was USDJPY pair trading today? I saw people made huge profits on Tokyo time.

Halafu, which way do you frequently use in creation of signals, are you using news events to predict the price movement of an asset in the market or you just walk on technical analysis to get your signals?
 
Al-watan how was USDJPY pair trading today? I saw people made huge profits on Tokyo time.

Halafu, which way do you frequently use in creation of signals, are you using news events to predict the price movement of an asset in the market or you just walk on technical analysis to get your signals?

Chart iko hapa USD/JPY - Live Rate, Forecast, News and Analysis

Yen ilianguka sana leo, imeanza kupanda kidogo tena lakini nafikiri that was an hourly rally naona inaanguka tena na nafikiri itaweza kupanda zaidi baadaye, tatizo ni kuchagua vizuri entry point. Ukikosea entry point tu unaweza kununua wakatiinashukaukaachwa na hasara.

Kufuatilia habari muhimu, Fed Chair Yellen leo kamove markets. Pia napendakuangaliaattractive risks ambazo ziko na low entry points ili kusudi hata kamarally inashindwa kupata moto kabisa, ukianzia 6/100 ukafika mpaka 12/100 kamaunafikiri hakuna movment ya maana unaweza kujump out ukawa usha double posoition yako, ukianzia 80/100 basically ku double kazi sana unless uchukue risk kubwa sana. Kufuatilia fundamentals za commodities prices, interest rates,political events, natural disasters etc kote ni muhimu.
 
Chart iko hapa USD/JPY - Live Rate, Forecast, News and Analysis

Yen ilianguka sana leo, imeanza kupanda kidogo tena lakini nafikiri that was an hourly rally naona inaanguka tena na nafikiri itaweza kupanda zaidi baadaye, tatizo ni kuchagua vizuri entry point. Ukikosea entry point tu unaweza kununua wakatiinashukaukaachwa na hasara.

Kufuatilia habari muhimu, Fed Chair Yellen leo kamove markets. Pia napendakuangaliaattractive risks ambazo ziko na low entry points ili kusudi hata kamarally inashindwa kupata moto kabisa, ukianzia 6/100 ukafika mpaka 12/100 kamaunafikiri hakuna movment ya maana unaweza kujump out ukawa usha double posoition yako, ukianzia 80/100 basically ku double kazi sana unless uchukue risk kubwa sana. Kufuatilia fundamentals za commodities prices, interest rates,political events, natural disasters etc kote ni muhimu.

Na kweli hapo kwenye entry point ndio pakuzingatia kabla hujaamua kuopen trade. Lakini napo tatizo ni kutambua kama pair unayo trade ina high liquidity ama low. Leo pair ya USDJPY liquidity yake ilikuwa juu sana kwa hiyo kwa yoyote aliye deal nayo hakupaswa kucheza mbali na PC au smartphone yake.

Basi wewe signals zako unazipata kwa fundamental analysis, na hiyo njia kwa kiasi Fulani mi naona ngumu sababu kuna matukio mengine ya kiuchumi yanashindwa kukupa prediction nzuri ya price movement
 
Nina elimu ya finance na mambo ya options, futures, arbitrage, bonds nk nayafahamu.......

Kuna risk kubwa sana. Watu waingie ila wajipange

Nami nimo kwenye hiyo biashara lakini my plan ni kwa mwaka kupata faida ya walau 1M ila si kama akina Ontario wanavyoenda
Kiongozi acha wanyooshwe kwanza,hivi hivi hawataelewa.
 
Na kweli hapo kwenye entry point ndio pakuzingatia kabla hujaamua kuopen trade. Lakini napo tatizo ni kutambua kama pair unayo trade ina high liquidity ama low. Leo pair ya USDJPY liquidity yake ilikuwa juu sana kwa hiyo kwa yoyote aliye deal nayo hakupaswa kucheza mbali na PC au smartphone yake.

Basi wewe signals zako unazipata kwa fundamental analysis, na hiyo njia kwa kiasi Fulani mi naona ngumu sababu kuna matukio mengine ya kiuchumi yanashindwa kukupa prediction nzuri ya price movement
Leo ukijipindua kidogo tu ku order position unayoona iko low ukasema niende msalani narudi baada ya dakika chache, unakuta position yako ishakubaliwa halapu USD/JPY imeshuka zaidi.

Inabidi mpaka chooni unaenda na simu halafu una control mchezo. Kama una safari ya kuendesha gari kutoka kazini mpaka nyumbani kimbembe. Volatility kubwa sana.

Mchezo hu hautaki hasira.
 
Leo ukijipindua kidogo tu ku order position unayoona iko low ukasema niende msalani narudi baada ya dakika chache, unakuta position yako ishakubaliwa halapu USD/JPY imeshuka zaidi.

Inabidi mpaka chooni unaenda na simu halafu una control mchezo. Kama una safari ya kuendesha gari kutoka kazini mpaka nyumbani kimbembe. Volatility kubwa sana.

Mchezo hu hautaki hasira.

Ahahaha..... Ni mwendo wa kukaba mpaka penalty yaani haitakiwi hata ufikiche kope, kwa watu wanaofanya forex hii wiki nzima itabidi wawe wanafanya scalping tu au counter-trend kwa soko la Japan!
 
kama hayo ndio malengo yako kupata faida ya milion moja kwa mwaka bora ufanye issue zingine tuu mkuu
Huyo jamaa kwa nilivyomsoma tu Maelezo yake hajui chochote kuhusaina na online foreign currency exchange wala hata hiyo elimu ya finance usikiute hana.

Anakwambia eti anawinda faida ya Tsh.1m kwa mwaka mzima, wakati kuna rafiki yangu Ndongeni anapiga profit ya $5018(zaidi ya Tsh.10m) kwa muda wa masaa 48. Na anamiaka miwili tu
b19eb998cab08d847a34da332ee06376.jpg
kwenye FX trading.
 
Onyo usiweke pesa ambayo huna mpango wa kuipoteza.weka pesa ambayo unajua inaweza kuipoteza
 
Back
Top Bottom