Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 9,283
- 13,720
Hivi Ant-money Laundering and Motorvehicle registration Act haisomwi?Bado REGULATION ACT, TAX ADMNISTRATION ACT, INCOME TAX ACT Revised edition ya 2008 balaa tupu
Hivi Ant-money Laundering and Motorvehicle registration Act haisomwi?Bado REGULATION ACT, TAX ADMNISTRATION ACT, INCOME TAX ACT Revised edition ya 2008 balaa tupu
m/v act inasomwa sababu marekebisho yake ni kwenye kipengele kimoja tu cha road licence...Hivi Ant-money Laundering and Motorvehicle registration Act haisomwi?
Mkuu kama una Final Stage iweke humuHicho ni kitabu cha INTERMEDIATE STAGE kwenye CPA bado kuna kitabu kingine kama hicho kwenye FINAL STAGE kazi ipo.Ila umewasaidia watu kwa ku upload hio material,big up chief.
Tombatomba idevice Model TH 45
Mi ninacho
Tetesi za Kipuuzi jiandae kuja Dar es Salaam ile siyo Wizara mzee.
SawaTetesi za Kipuuzi jiandae kuja Dar es Salaam ile siyo Wizara mzee.
Nina hard copy yake tu mkuu wangu.
Poa mkuuNina hard copy yake tu mkuu wangu.
Tombatomba idevice Model TH 45
vp niwatumia na act au😀😀😀😀 dah jamii forum bna
Naomba na mimi nijumlishwe humu katika sala hii...Naomba tukutane ofisini siku moja tuakawatumikie watanzania katika kodiGoodwin mungu akubariki sana katika hili,na katika zile nafasi 100 Allah akuwekee yako moja,inshaalah
Naomba unitumie soft copy ya final TaxMi ninacho
Hii itafanyika kikanda maana hilo nyomi la application zaidi ya 50,000 sio mchezo.
WE NDO MCHIZI WAAAANGU. UNA AKIKI SANA. MWENYEZI MUNGU ATAKUONGOZA.Ahsante sana bosi.
Ndio nini hii??Nina hard copy yake tu mkuu wangu.
Tombatomba idevice Model TH 45