Ushauri: Kuhusu TIN na leseni ya biashara kutoka manispaa

Nickson Mjuni

Member
Jul 10, 2016
47
25
Habarin za wikendi wanajamvi, mi sio mtu wa kuposti sana thread ila leo nimeona niombe ushauri au wazo kutoka kwenu wadau. I mean nimesajili company na taratibu zote za kuisajili zimeshamalizika na namshukuru Mungu BRELA majuzi hapa wamenipa CERTIFICATE OF INCORPORATION.
Ivyo bhas baada ya kupata io certificate ya kuitambua kampuni kusajiliwa wakaniambia sasa ukaendelee na procedure zingine ambazo km no ya mlipa kodi TIN NO na leseni ya biashara manispaa n.k ivo bhas nilikuwa naomba kuuliza wadau nikienda TRA kusajili no ya mlipakodi kwa ajili ya kampuni ili waweze kunikadiria kod ambayo natakiwa kulipa si watataka kuona return zangu au vitabu vyangu vya mahesabu, may be ili wajue kiasi gani naingizia per year likeFinancial statement ie. (statement of comprehensive, statement of financial position,statement of changes in owner equity na statement of cashflow) na bank statement may be. so nilikuwa naomba hapo itakuwaje wakati ndo kwanza nataka kuoperate ndugu zangu namm nataka kuwa officially naopertae comply with laws,regulation na rules ktk kuendesha kampuni.
ili nijue nifanyaje tax planning apo
kampuni yenyewe inatakuwa na deal usafi kwa kuanzia kwenye garden,apartment na oficin nk
 
I MEAN APA LAZIMA NIFANYE TAX PLANNING ILI WASINIPGE AUSIO??
Unaweza ukatafuta consultant akushauri. Uzoefu wangu ni kwamba wana Kodi elekezi kutokana na aina ya biashara na room ya majadiliano sio kubwa Sana. Ukianza biashara weka hesabu vizuri na kama ukiweza kuonyesha ulilipishwa zaidi utawadai.
 
Habarin za wikendi wanajamvi, mi sio mtu wa kuposti sana thread ila leo nimeona niombe ushauri au wazo kutoka kwenu wadau. I mean nimesajili company na taratibu zote za kuisajili zimeshamalizika na namshukuru Mungu BRELA majuzi hapa wamenipa CERTIFICATE OF INCORPORATION.
Ivyo bhas baada ya kupata io certificate ya kuitambua kampuni kusajiliwa wakaniambia sasa ukaendelee na procedure zingine ambazo km no ya mlipa kodi TIN NO na leseni ya biashara manispaa n.k ivo bhas nilikuwa naomba kuuliza wadau nikienda TRA kusajili no ya mlipakodi kwa ajili ya kampuni ili waweze kunikadiria kod ambayo natakiwa kulipa si watataka kuona return zangu au vitabu vyangu vya mahesabu, may be ili wajue kiasi gani naingizia per year likeFinancial statement ie. (statement of comprehensive, statement of financial position,statement of changes in owner equity na statement of cashflow) na bank statement may be. so nilikuwa naomba hapo itakuwaje wakati ndo kwanza nataka kuoperate ndugu zangu namm nataka kuwa officially naopertae comply with laws,regulation na rules ktk kuendesha kampuni.
ili nijue nifanyaje tax planning apo
kampuni yenyewe inatakuwa na deal usafi kwa kuanzia kwenye garden,apartment na oficin nk
Tin no
Kwanza TRA wqtqkwambia uwe na appointed tax auditor ambapo katika maombi ya yako utaambatanisha barua yq hy authorized tax auditor wako
Pili, utaulizwa maswali mbali mbali ya kimtego kiaina juu ya unategemea mauzo yako yatakuwa kiasi gani kwa mfano kwa siku then watafanya hesabu kwa mwezi then kwa mwaka. Wanamwongozo wa kila kiasi fulani cha mauzo ktk kulipa kodi. Mfano (sio halisi) tuseme labda mauzo yako mil 5 kwa mwaka kodi inaweza kuwa labda 350k then uigawe ktk robo 4 za mwaka. Ukishalipa sehemu yq hiyo kodi ya awali na ukawa tayari umewasilisha vielelezo vyote muhimu kama Memorandum, certificate of incorporation et al utapewa Tax Clearance certificate na Tin no
LESENI YA BIASHARA
Itategemea unafanya biashara gani. Kama biashara ya kuzalisha ie manufacturing itabidi ujisajili SIDO na vlvl utatakiwa kupata leseni 2 ya uzalishaji na ya mauzo
Kama biashara ya mauzo utapata leseni ya mauzo tu
VIELELEZO VINGINE MUHIMU
Itategemea biashara yako. Lkn kuna OSHA, TBS, NEMC, WCF et al


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tin no
Kwanza TRA wqtqkwambia uwe na appointed tax auditor ambapo katika maombi ya yako utaambatanisha barua yq hy authorized tax auditor wako
Pili, utaulizwa maswali mbali mbali ya kimtego kiaina juu ya unategemea mauzo yako yatakuwa kiasi gani kwa mfano kwa siku then watafanya hesabu kwa mwezi then kwa mwaka. Wanamwongozo wa kila kiasi fulani cha mauzo ktk kulipa kodi. Mfano (sio halisi) tuseme labda mauzo yako mil 5 kwa mwaka kodi inaweza kuwa labda 350k then uigawe ktk robo 4 za mwaka. Ukishalipa sehemu yq hiyo kodi ya awali na ukawa tayari umewasilisha vielelezo vyote muhimu kama Memorandum, certificate of incorporation et al utapewa Tax Clearance certificate na Tin no
LESENI YA BIASHARA
Itategemea unafanya biashara gani. Kama biashara ya kuzalisha ie manufacturing itabidi ujisajili SIDO na vlvl utatakiwa kupata leseni 2 ya uzalishaji na ya mauzo
Kama biashara ya mauzo utapata leseni ya mauzo tu
VIELELEZO VINGINE MUHIMU
Itategemea biashara yako. Lkn kuna OSHA, TBS, NEMC, WCF et al


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeeleweka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom