wasalaam!
mwenye uelewa juu ya adhabu inayoweza kutolewa kama mtu kamnyanyasa mtoto kwa kupiga na kuacha makovu ama ya kufinya au viboko.
nawasilisha kwa upole.
Naomba kujuzwa makadirio ya gharama kwa mwanafunzi wa kidato cha tano shule ya karatu.
Mdogo wangu amechaguliwa huko, roughly tuandae sh ngapi ikiwa safari itaanzia mbeya mbarali? Alale Arusha au Babati mana atapitia Dodoma-Singida.
Watahamisha ila baada ya kusajilwa nakusoma walau muhula.
Uhamisho upo daima, huwezi zuia binadam asihame wakati kiasilia kuhama nikutafuta nafuu ya matatizo n.k.
Wamekataa mwanafunz eti aje na taarif za uhamisho wakat wa kuripot au ktk kipind hicho cha admision mtu anataka kuhama.
Pengine mwez...
Onana na afisa tsd au afisa utumishi wanamajibu ya uhakika. Lazima ufuatilie kama umo kwenye mpango wa waliopanda au watakaopanda mwaka huu,halmashaur zngine watumish wa ajira 2013 wamepewa barua za kupanda tayar.kama ulihama au ulienda masomon hilo ni tatizo la kucheleweshwa kupanda.
si kila kura lazima ikupe ushindi labda itumike nadharia ya savimbi. wengi wanaolalama kutokupiga kura hawajawahi piga kura mbali na mwaka huu. mbona ruzuku ya chama chako itaongezeka kupitia kura unayosema haijafanya kitu,kura za wabunge mmemwagiwa viti...
labda ndg mwandish humjui vizuri mh. rais, pia ni haki yako kutumia uhuru wa mawazo ikiwa ni matunda ya rais mstaafu j.m.kikwete. rais kukagua taasisi zake ni kuvamia? nan kajeruhiwa katka uvamiz huo? mama ntilie na bodaboda unaowasemea kua wanatabika ndo waliompa kura kibao mh...
kweli tuna watz wanaoandka vimaneno vya aibu kwa kutaka sifa au wanachambua mambo seriously? kwa nini kukumbatia roho za uovu tu? kweli unamtakia kiongoz kushindwa ktk kazi ya nchi tuishiyo? labda wanaotoa maoni ya namna hii hawaishi nchini ama si watz! maendeleo ya tz hayahitaji...
Mungu amlinde kwa aliyoyafanya kwa wananchi, tuendelee kumwomba mungu juu ya lwakatare atende zaidi ya yalotendeka maana watu wanaongezeka,mahtaji nayo pia kadir ya muda uendao mbele.
Tuliambiwa lubuva ni shemejiye lowasa, hvyo asingemtupa lowasa kumtangaza mshnd,tuliambiwa lowasa na chizi ni watalam wa wizi wa kura kwan walifanya hvyo walipokua ccm sasa wakiwa ukawa ushnd njenje,pia mwamnyange eti alikataa kuunga mkono upande wa ccm kama wangeanguka ktk uchaguzi,hili...
Watanzania tulomchagua magufuli tumedhamiria kushirikiana nae kujiletea maendleo si kupewa hela na mtu flani, kweli ugumu wa maisha hautampata mbowe,tundulisu kwan walishapewa hela za kutosha na lowasa kwa kumpokea lowasa, pia ugumu hautampata lowasa kwa kua ni mwekezaj mkubwa mweny hstoria ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.