Watanzania tunamsifia Magufuli kwa kuvamia maofisini?

Jamaa anaendelea vizuri tu, mpaka mkumbuke hata kuulizia ahadi zake miaka 5 itakuwa imeisha na atarudi akiomba aongezewe muda tena.

Aje na huku kwetu ghafla mambo ni ovyo.
 
Me nashauri moderator angalau awe anaangalia ni msg ipi ya kuingia kwny disc na ipi isiingie. Hii mada haina msingi wowote na inapaswa kupuuzwa. Mtoa mada atakua ni mmoja ya watu wavivu sana alieajiriwa na serikali iliyopita.
 
Naelekea kukufananisha na ng'ombe akili yako.

Bila kufika muhimbili angejuaje kuwa kunawagonjwa hawajapata matibabu zaid ya miez miwili?
Angejuaje kama hakuna vifaa kwaajili ya vipimo?

Angejuaje kuwa wafanyakaz wa hazina wanaenda kunywa chai zaid ya masaa 3?

Acha unafik wa kijinga kama inakukera jinyonge utupunguzie idadi ya wajinga

So atakuja hata huku kintinku kuja kutembelea afisa kilimo wa vijiji?
 
Umejikanyaga sana.Kwanza ujue kwamba hakuna haki bila wajibu.Najua wafanyakazi wa Tanzania hawalipwi vizuri na najua pia kuwa mazingira ya kazi ni mabovu.Sina shaka raisi pia analielewa hilo,lakini ni vema wafanyakazi sasa wakatimiza wajibu wao as a good will gesture to the president na waonyeshe initiative,ndio waombe malipo zaidi.Letu liwe moja na raisi wetu.Nani asiyejua kwamba uchumi wa nchi yetu has been grossly mismanaged,na kwamba kazi kubwa inahitajika to bring it back from the brink of collapse.Sasa as the economy improves,tutalipwa zaidi.Kwanza tushirikiane kujenga resource base.
Yaani kwa kweli mi ninapoangalia hali ya uchumi wa Tanzania, maisha duni ya wafanyakazi, ukisefu wa ajira ukosefu, wa maji safi ni salama karibia nchi nzima!

Namshangaa sana mtu anayemshabikia Mr Pombe kutembea na vyombo vya habari kwenye maofisi!

Kwanza jiulize huko kote alikovamia amehoreshaje mazingira ya utendaji wa wafanyakazi ili kuwapa morally ya kufanya kazi?

Hizi sio zama za dictatorship style ni zama za democratic leadership ambapo ku win minds za wafanyakazi ni kuwatendea vile inavyopasa na sio kuwakimbiza na viboko.

Tanzania tunahitaji kuona wanafunzi wa vyuo vikuu wanapata mikopo yao kwa ufasaha na kwa utoshelevu.

Tunahitaji kuona wafanya biashara wadogowadogo wakiboreshewa mazingira ya kazi..mfano mama ntilie na bodaboda na machinga,

Tunahitaji kuona wakulima ambao ndo uhai wa Taifa wakiboreshewa zana za kilimo na mbolea.

Tunahitaji kuona michakato ya viwanda ikianza.

Tunahitaji kuona waalimu wakiimarishiwa mishahara yao pamoja na kulipwa malimbikizi yao.

Tunahitaji kuona jiji la Dar likiokolewa kuondoka na uchafu unaosababisha vifo vya watanzania kila kukicha.

Nina mengi sana lakini ngoja nitulie kwanza, hebu jiulize vijana hawana ajira iko wapi mikakati ya viwanda?

Huko Muhimbili mkurugenzi anasimamishwa kazi wakati tunaona madactari wanagoma kwa mishahara duni iko wapi mikakati ya kuwaboreshea mishahara yao ili kuwapa ari ya kufanya kazi?

Mi nadhani cha kufanya kwa sasa kuboresha kwanza mazingira ya kazi alafu kazi ya usimamizi itakua nyepesi.

" Ukitaka Punda akubebee mzigo vizuri bila kipigo mpe majani na maji ashibe"
 
It is too early to judge, na kwanini uanze na kujudge negatively wakati dr. JPM amefanya vitu vizuri? siku njema huanza asubuhi, dalili ya mvua ni mawingu, siamini kama JPM anaweza kubadilika yeye ni constanly constant, kazi kazi kazi tu, kazi na JPM ni complimentary
 
Hapohapo alipoanzia ameboresha vipi mahitaji y wafanyakazi ili wawe na ari?

ina maana mkuu hujasikia agizo la hazina kipeleka bilioni 3 kukarabati vifaa vilivyokufa? yote hayo yanakuja, yale yanayotokana na uzembe lazima kwanza yashughurikiwe huku mikakati zaidi ikija.
 
Yaani kwa kweli mi ninapoangalia hali ya uchumi wa Tanzania, maisha duni ya wafanyakazi, ukisefu wa ajira ukosefu, wa maji safi ni salama karibia nchi nzima!

Namshangaa sana mtu anayemshabikia Mr Pombe kutembea na vyombo vya habari kwenye maofisi!

Kwanza jiulize huko kote alikovamia amehoreshaje mazingira ya utendaji wa wafanyakazi ili kuwapa morally ya kufanya kazi?

Hizi sio zama za dictatorship style ni zama za democratic leadership ambapo ku win minds za wafanyakazi ni kuwatendea vile inavyopasa na sio kuwakimbiza na viboko.

Tanzania tunahitaji kuona wanafunzi wa vyuo vikuu wanapata mikopo yao kwa ufasaha na kwa utoshelevu.

Tunahitaji kuona wafanya biashara wadogowadogo wakiboreshewa mazingira ya kazi..mfano mama ntilie na bodaboda na machinga,

Tunahitaji kuona wakulima ambao ndo uhai wa Taifa wakiboreshewa zana za kilimo na mbolea.

Tunahitaji kuona michakato ya viwanda ikianza.

Tunahitaji kuona waalimu wakiimarishiwa mishahara yao pamoja na kulipwa malimbikizi yao.

Tunahitaji kuona jiji la Dar likiokolewa kuondoka na uchafu unaosababisha vifo vya watanzania kila kukicha.

Nina mengi sana lakini ngoja nitulie kwanza, hebu jiulize vijana hawana ajira iko wapi mikakati ya viwanda?

Huko Muhimbili mkurugenzi anasimamishwa kazi wakati tunaona madactari wanagoma kwa mishahara duni iko wapi mikakati ya kuwaboreshea mishahara yao ili kuwapa ari ya kufanya kazi?

Mi nadhani cha kufanya kwa sasa kuboresha kwanza mazingira ya kazi alafu kazi ya usimamizi itakua nyepesi.

" Ukitaka Punda akubebee mzigo vizuri bila kipigo mpe majani na maji ashibe"

Unataka kutuambia maslahi kuwa duni kunahalalisha kutokua kazini? Anachokifanya magofuli ni sahihi kabisa. Magofuli havamii tu maofisini ila anachukua hatua vile vile kama alivyofanya muhimbili.
 
Yaani kwa kweli mi ninapoangalia hali ya uchumi wa Tanzania, maisha duni ya wafanyakazi, ukisefu wa ajira ukosefu, wa maji safi ni salama karibia nchi nzima!

Namshangaa sana mtu anayemshabikia Mr Pombe kutembea na vyombo vya habari kwenye maofisi!

Kwanza jiulize huko kote alikovamia amehoreshaje mazingira ya utendaji wa wafanyakazi ili kuwapa morally ya kufanya kazi?

Hizi sio zama za dictatorship style ni zama za democratic leadership ambapo ku win minds za wafanyakazi ni kuwatendea vile inavyopasa na sio kuwakimbiza na viboko.

Tanzania tunahitaji kuona wanafunzi wa vyuo vikuu wanapata mikopo yao kwa ufasaha na kwa utoshelevu.

Tunahitaji kuona wafanya biashara wadogowadogo wakiboreshewa mazingira ya kazi..mfano mama ntilie na bodaboda na machinga,

Tunahitaji kuona wakulima ambao ndo uhai wa Taifa wakiboreshewa zana za kilimo na mbolea.

Tunahitaji kuona michakato ya viwanda ikianza.

Tunahitaji kuona waalimu wakiimarishiwa mishahara yao pamoja na kulipwa malimbikizi yao.

Tunahitaji kuona jiji la Dar likiokolewa kuondoka na uchafu unaosababisha vifo vya watanzania kila kukicha.

Nina mengi sana lakini ngoja nitulie kwanza, hebu jiulize vijana hawana ajira iko wapi mikakati ya viwanda?

Huko Muhimbili mkurugenzi anasimamishwa kazi wakati tunaona madactari wanagoma kwa mishahara duni iko wapi mikakati ya kuwaboreshea mishahara yao ili kuwapa ari ya kufanya kazi?

Mi nadhani cha kufanya kwa sasa kuboresha kwanza mazingira ya kazi alafu kazi ya usimamizi itakua nyepesi.

" Ukitaka Punda akubebee mzigo vizuri bila kipigo mpe majani na maji ashibe"
Huwezi kuongeza maslahi bila kwanza kuongeza ufanisi na kuongeza uzalishaji ambao utaongeza mapato ambayo kwayo ndio utaboresha maslahi
 
Twende taratibu mwayego, labda yule aliyeenda kunywa 'chai' ilikuwa afanye moja ya maamuzi kwenye orodha yako hapo juu. Lakini ndio hivyo tena, ameenda kunywa chai akitoka huko anapitia msibani kisha ataenda.....
 
Hivi atakuja lini huku moshi hospitali ya mawenzi? Tanzania kubwa sana hii asiishie dar tu atembelee ofisi zote tz nzima.
 
mkuu nipe maana hapo

Kuna watu wanaona JPM anafanya mambo ya ajabu kuwaibukia watu kazini kwao (Wizara ya Fedha, Muhimbili nk). Lakini ukweli wenyewe hali ni mbaya sehemu nyingi na kunahitajika juhudi ambazo si za kawaida pia.

Ndiyo maana yangu Mkuu!
 
Inaonekana wewe ni mmoja wao anae adhirika kwa vitendo hivi vya mh. Raisi. Kipato kimefungwa... Na inaonekana hujawahi kutibiwa kwenye hospitali hizi za serikali au kumpoteza ndugu yako wa karibu kwenye hizi hospitali.
Pole sana ndugu mtanzania mwenzangu. Nilikua sitaki CCM lakini kwa kasi kama hii na raisi akapata mawaziri wa kumuunga mkonono, nina uhakika tutafika mbali ingawa inahitaji moyo na uvumilivu.
 
labda ndg mwandish humjui vizuri mh. rais, pia ni haki yako kutumia uhuru wa mawazo ikiwa ni matunda ya rais mstaafu j.m.kikwete. rais kukagua taasisi zake ni kuvamia? nan kajeruhiwa katka uvamiz huo? mama ntilie na bodaboda unaowasemea kua wanatabika ndo waliompa kura kibao mh. magufuli na wameingiza hela sana kutoka kwa lowasa,mama lishe walikuwap na watakuwapo kwa kaz hzo kutkana na utofaut wa matabaka ulimwenguni.
 
Hapohapo alipoanzia ameboresha vipi mahitaji y wafanyakazi ili wawe na ari?

Hivi wafanyakazi wa serikali wanakosa ari ya kufanya kazi sababu ya nini? serikali inatoa huduma haifanyi biashara unataka mshahara mkubwa acha kazi serikalini nenda kafanye kazi private halafu siku zote kazi za serikalini mishahara inajulikana tatizo mnataka security ya ajira kwa kung'ang'ania serikalini price unayotakiwa kulipa ni hio ya mshahara mdogo njoo private upewe contract ya mwaka mmoja uone...kama hauwezi baki serikalini na mshahara mdogo
 
Taatizo ni kwamba uliyemtegemea uje umsifie, kadoda, that's why you are coming here negatively

Na inawezekana pia ana kiprivate hospital chake sasa kashaounguziwa wateja. Watu wengine hawana hata huruma wakiona wagonjwa wanavyo pata taabu hapo.
 
Mtoa mada fuatilia utendaji wa magufuli kabla hajawa rais ingia youtube utaona ziara nyingi za kustukiza alisha fanya
Eti hana mvuto wa kuwa rais?hizo kauli hata Mungu hapendi, babu yako ndio ana mvuto pumbavu!!
 
It is too early to judge, na kwanini uanze na kujudge negatively wakati dr. JPM amefanya vitu vizuri? siku njema huanza asubuhi, dalili ya mvua ni mawingu, siamini kama JPM anaweza kubadilika yeye ni constanly constant, kazi kazi kazi tu, kazi na JPM ni complimentary
 
Back
Top Bottom