Toka Bodi ya Mikopo ianze shughuli ya kukusanya mikopo yake iliyotoa imekua ikichukua fixed amount kati ya Sh.10,000 na 30,000 ya basic salary ya waajiriwa wote. Saizi imetoa maelekezo kwa waajiri wote kuwa kuanzia mwezi Oktoba,2012 waajiri wote wawakilishe 8% ya basic salary za waajiriwa wote...
Sijaona cha kupongeza mtu hapo. Naye angejiuzulu uenyekiti na kuruhusu mchakato wa policy ndani ya chama kutoa ulazima wa rais kuwa m/kiti angestahili pongezi zangu. Hapo tunazugana tu. Nungunungu akimwagiwa maji hawi paka. Atabaki nungunungu tu.
Chama bado kitakua hovyo mpaka m/kiti aliyepo ang'olewe. Secretariati ni chombo cha kuwasilisha matakwa ya m/kiti tu, hawana kazi ya ziada. M/kiti atoke aje mwenye ajuae kazi na matakwa ya wananchi
What is happening in Kigali is innevitable. Wacheni Kagame aiweke nchi sawa kwa sera zake. Anafanya mengi sana Rwanda kimaendeleo, kiuchumi na kijamii. Wanajeshi mitaani na inteligensia kuzagaa ni nyenzo yake. Muhimu Warwanda wanaridhika na hawashtushwi. Km wewe hufurahii rudi kwenu bongo...
Nakubaliana na mtoto mzuri kwamba waundao serikali ya mpito na kuongoza marekebisho wasiwe na nafasi ya kugombea kwenye uchaguzi ujao.
Wanahitaji watu wenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko na muundo mpya wa utawala. Wasiokua na malengo binafsi ambayo yamaweza athiri "objectivity" yao...
Wa-Egypt wanaita siku ya leo kuwa ni "Mubarak Departure Day". Lakini sielewi kama kuna mtu ambaye amekubalika na wananchi, wapinzani wote au bunge (kama lipo na lina uwezo) kushika dola!! Ikiwa hayo makubaliano hayapo ni nani atakayeshika dola?!!
Nafahamu kuwa Mohamed ElBaradei anapendelewa na...
Kwakweli mimi ningependa huyo Mubarak angekua kashaondoka toka juzi. Naamini Egypt kuna watu wanaoweza kuingoza hiyo nchi vizuri, lakini ikiwa Mubarak ataachia madaraka leo, kuna yeyote mwenye wazo ni nani atachukua dola na kuongoza nchi?!! Kama kuna tetesi za makubalino ya wa-Egypt tafadhali...
Dah, kweli viongozi wa Afrika ma-pupets. Wananchi wameandamana kwa siku kadhaa Dunia nzima kupaza sauti zao zisikike. Wengine zaidi ya 100 wakapoteza maisha yao wakipaza sauti. Maelfu wameacha familia zao na kwenda kupaza sauti. Majengo na mali zimeharibika katika upazaji wa sauti. Cha...
Watu wanataka usepe we waleta story za uchaguzi ujao. Afrika tunachagua au twapanga mistari tu?! Jamaa inabidi asepe tu na wenzie kama yeye watiemaji nywele tu maana zamu zao zaja. Mkwere lazima kashadondoka huko saizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.