Mchekechoni
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 279
- 19
Baada ya anguko kuu la Makamba na sekretariet yake kama ilivyokuwa ikitarajiwa na wengi hususan wapiga debe mahiri ndani ya UV-CCM wakiongozwa na RZ1, sasa kinachofuatia ni mapinduzi kamili kwa vijana kupata nafasi nyeti ndani ya sekretarieti mpya. Kila la heri UV-CCM, wazee wakishindwa ni jukumu lenu kuokoa jahazi!