Hapana tîgo wamekua tigo hasa mimi natumia line yao kawa receiver too ni wezi balaa. Janna nimeweka sh 600 nikajiunga na hicho kifurushi chao. Nilitumia takika 5 then naambiwa hela imeisha. Huu ni wizi.
Iwe ni cmm au yeyote yule kafanya udharimu kama ule bado serikali inawajibika kulinda raia na mali zao. Ushahidi unatosha sasa ccm na serikali yake inefeli kutupa ulinzi sisi raia wake. Ntaichukia ccm na fikra zao mgando.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.