Huyu sio wa kuhojiwa na kuachiwa, kwa kauli ile inatakiwa akamatwe atupwe ndani aminywe minywe mpaka atakapo sema ukweli nini maana ya kauli yake. Kama isipofanyika hivyo na ijulikane Serikali imeshiriki kuuwa raia wake.
ndio maana najiita shabani na nimeacha kwenda kanisani na pia nakaa mbali mikutano ya chadema maana ccm na waislamu wana back up kubwa ya ulizi na hata ukiwa muhalifu utalindwa tu na kusikilizwa ingekuwa kwenye mkutano wa ccm angepatikana mara moja na hata lile bomu lingekuwa ni msikitini tungeshamptta mwalifu kiukweli...
utamaduni mpya umeasisiwa na ccm nao ni kumwaga damu kwa njia ya mabomu. vyama vingine navyo vitalazimika kulipua mabomu ccm ili kwenda sawa. ccm very soon wata pay the price
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.