NATA JF-Expert Member Joined May 10, 2007 Posts 4,492 Reaction score 1,313 Apr 18, 2013 #21 Ukienda bar watu wakuhesabia vizibo, ukinywa tatu unalo!
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,820 Apr 18, 2013 #22 Hiyo ndiyo nyuma yako, sisi tulifaidi nyuma nzuri zaidi ya hiyo, wewe umekula makombo yetu. Enzi hizo mkate wa kisu tsh. 5, mkate wa ata unaujua wewe?
Hiyo ndiyo nyuma yako, sisi tulifaidi nyuma nzuri zaidi ya hiyo, wewe umekula makombo yetu. Enzi hizo mkate wa kisu tsh. 5, mkate wa ata unaujua wewe?
T Tinambuya JF-Expert Member Joined Feb 22, 2013 Posts 419 Reaction score 41 Apr 18, 2013 #23 Makubwa haya!!
Ngwada Member Joined Apr 28, 2011 Posts 69 Reaction score 3 Apr 18, 2013 #24 Wilbert1974 said: 7sabishia RAHAa / UTAMUU?!:bounce: Zilongwa mbali; zitendwa mbali... Click to expand... Wee nae yaani nyuma yenyewe ndo hiyo. Naenda zangu
Wilbert1974 said: 7sabishia RAHAa / UTAMUU?!:bounce: Zilongwa mbali; zitendwa mbali... Click to expand... Wee nae yaani nyuma yenyewe ndo hiyo. Naenda zangu