Communist
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 5,400
- 1,186
Nashangaa sana huu uzi. Anaeanzisha fujo Arusha ni Polisi.hayo mapato ya utalii yamesaidia vipi wananchi wa hali ya chini jijini Arusha?
Kwa hiyo kupiga mabomu au kuacha mabomu yapigwe kwa watu wasio na hatia ndio kuboresha sekta ya utalii arusha?
Arusha na chadema ni dam dam!