Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,611
Chadema wakiona mambo magumu hukimbilia kuzomea! Ni utoto huo demokrasia ya kuzomea haipo popote duniani isipo kua Tanzania na ili anzishwa na Dr Slaa! Chadema mnatia aibu sana na tabia yenu ya kuzomea!
Usizomewe we Nan?