Nafikiri pia kuna somo kubwa juu ya jambo hili. Tujiulize hoja zao zilizowapelekea kufukuzwa, kuonywa na kupewa kalipio zinamashiko. Kama zinamashika pamoja na adhabu walizopewa binafsi nawapongeza na kama hazina mashiko basi walicheza na wanastahili pia.
Nilichojifunza kwa hawa watu ni...
Kwanza kaa naye kwa muda ongea naye ujue anataka kufanya nini, pili mwambie kwa uwazi tabia zake na jinsi itakavyo kuwa ndoto kufanikiwa kama hatakuwa tayari kubadilika tatu hata akushawishi vipi mpe pesa achana naye ukija naye atakuwa mzigo kwako na anaweza kukuharibia michongo yako. Mwambie...
Asante Sana umeniongezea pale nilipokuwa nimeishia ufahamu wangu. Mwanangu anawajua wanyama wote nimekuwa namfundisha na sasa nipo kwenye kumfundisha tabia na mienendo ya wanyama. Kwa sasa anakaribia miaka mitano na anajiita na mtaalamu wa wanyama kwakuwa anauwezo wa kuwatambua kwa haraka kuliko...
Hiki kitabu hata kama hakina ukweli asilimia miamoja lakini ni kitabu kinachosisimua na kutisha. Kimenipa picha kwanini mpaka wa Uganda na Rwanda umefungwa lakini pia mpaka wa burundi na rwanda.
Nimeona alivyo mgusa mzee kikwete na nimekumbuka mmauzi magumu aliyoyafanya kuwaondoa wakimbizi...
Nahisi mtoa mada hii hajapata kuelewa kwa upana dhana ya uendeshaji wa mfumo wa VICOBA na badaoa yake amechangaya na uendeshaji wa upatu.
Labda tu nitupie maswali kadhaa je unapata faida gani unapoweka akiba zako benki? Je benki zinakupa benefit gani kwa kitendo cha wewe kuweka pesa kwao je...
Nafikiri CAG ametuonyesha njia nzuri kuwa usomi unabaki palepale hata kama kutakuwa na vitisho. Kiufupi CAG ameandika kwa hekima na kupunguza mchemko na tafurani kubwa. Tujiulize amejuaje pesa zimetumika na bila kujua zimetumikaje hiyo ni moja ya hoja ya kutojua pesa zilipo maana yake zimeibiwa...
Asante sana kwa ushauri Lakini ikatolea nimepeleka pesa kwa mtazamo kuibiwa kwa njia ya udanganyifu kwa maana alitakiwa anilipe ndani ya miezi mitatu sasa anamwaka mmoja hivyo naomba msaada wa polisi au nakwenda mahakamani
Mawazo yangu Mkuu wa nchi nahisi either hana uelewa wa Viwanda au hana uelewa wa Ujasiriamali. Kwanini asiongee na watu kama shelys wazalishe drip na mabomba kwa mfumo wa shares km anaona umuhimu wake au Viwanda Vungine ambavyo vimekuwa na uzoefu. Shida yake anaongea na hataki kuwekeza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.