Rais alizungumza mengi na hatimae aaksitisha kikao na kuwapa vijana wake wote vibali maalumu vya kuingia kila sehemu lakini pia alitoa amri kwa jeshi la polisi kuacha kumtafuta Zedi ama Meja na waache wafanye kazi.
***
Baada ya kutoka pale walijipanga katika makundi mawili huku kila kundi likiwa na mwanamke mmoja,japo Mwita laikuwa bado hajapona lakini hakukubali kukaa alipanga kufanya jambo gumu kwa yeyote aliehusika katikanjama za kutaka kumuangamiza yeye nataifa lake.
Koplo ziga na makme wao wakawa na kazi moja tu kuhakikisha wanamfikia Zegera siku hiyo nahuko atakipata cha moto huku wakiwa sambamba na sajini Mina. Na Zedi yeye alikuwa na kazi ya kumfimia mnadhimu wa jeshi la wananchi huku akiwa sambamba na koplo mwita na AFsa.
*****
Safari ya koplo ziga na koplo makame pamoja na Mina iliwafikisha mabibo yalipo makazi ya Zegera na baada ya kupaki gari yao ikawa zamu ya kila mmoja kushuka huku wakiwa wamejipanga kuingiandani kwa namna yoyote, kuvamia au wa kukaribishwa hawakuogopa kitu.
Koplo ziga alilifikia geti na kuligonga na punde akatokea kijana mdogo kama miaka ishiri hivi akiwa na bunduki kubwa mkononi,kijana yule hakukumbuuka kuuliza chochote akapokeam pigo tata katikati ya shingo yake na kupasua koo kisha taratibu komando yule akaingia kwa ndani ya geti huku nyuma wakifuatia wababe wengine katika vita ya silaha au mkono.
Wakati wao wanaingia ndio wakti ambao Deepaklipa alikuwa anjiandaa kutoka ndani ya uzio ule na nyuma alikuwa na vijana wengine kama sita hivi.
Deepa alipiga ukulele mmoja tu wa kutoa tahadhari kwa wengine lakini alikuwa kachelewa mbele yake alikuwa kasimama Ziga na hta kumtazma tu uliapaswa ufe kabla hajakufikia lakini Depaklipa alifanya kosa kudhani bado anaubavu wa kupambana na askari yule aliejeruhiwa.
Sidhani kama aliona au kuhisi alifikaje chini ila alichishuhudia ni kuwa yupo chini na Ziga yupo kasimamana bastola mkononi na laipotaka kuinuka alishindwa na hapo alikumbuka teke moja tu alilopigwa nyuma ya uti wa mgongo na hiyop akajua hawezi kusimama katika maisha yake yote,deepklipa alilia na hapo akadhihirisha ana sura mbaya kuliko hata hamorapa nba alipotizamza pembeni akaona vijana wake wote wamewshalala na hiyo ilimanisha hawakuweza japo kupambana na wale wawili na huku mmoja akiwa kasimama mbele yake nakukamilisha idadi ya watu watatu.
“Zegera yuko wapi” swali hilo liliambatana na kofi kali lilompa nyotanyota usoni.,hakuwa na namna zaidi ya kueleza maana hata agekificha bado isingelisaidia akaona mawage mchekle kwa kuku wengi akasema
“yupo kempisk hotel kuna wageni kutoka ufaransa’ baada ya kusema hivyo ni kama vile hawakuwas wakijua ya kuwa amevunjika kiuno wakmbeba mzegamzega na kwenda kumtupa ndani ya buti ya gari kisha safari ya kempisk ikaanza.
Zedi alimpa taarifa Ziga ya kuwa hata wao wamekosa walichokuwa wanakitafuta na safari yao ipo kwelekea kwa mdhimu wa jeshi huku waziri wa michezo wakimweka kiporo na tayari taarifa ilishasambazwa kote ya kuwa viwanja vya ndege havitaruhusu kurusha ndege ya aina yoyote ile hadi hapo taarifa rasimi mitakapotoka ikulu.
K
Hakuna raia aliejua kunanini hadi wakti huo ila kila mmoja alijua tu labda kuna tatizo palhali ila hakuna liekuwa akijua tatizo ni nini.
***
ASALAAAM KUDO
NB;softcopy ipo tayari kama arosto hupendi basi tuwasiliane kwa
no;0758573660
0658564341
0624155629