[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Umenena na kutoa ushauri wenye busara na hekima.
Akili ni nywele, kila mtu ana zake, wahenga walinena.
Isitoshe, binadamu huingia na kutoka duniani peoe yake, hata mapacha juna Kurwa na Doto.
A hand to on a silver platter, no way.
Anatumika kama kondomu,Musiba ni mbuzi wa kafara ila kwa akili yake ndogo hajijui. Wanaomtuma wamejikamoflage yeye anaropoka tu. Ulishawaza Lowasa angechukua nchi Nape angekuwa wapi leo.
Ni vizuri kuweka kumbukumbu kuwa hawa watu walikuwa na makosa tofauti tofauti hivyo utetezi wao hauwezi kuwa sawa. Makamba na Kinana walikuwa na makosa sawa lakini Makamba akaandika barua ya kuomba msamaha kama inavyoelezwa. Kinana hana cha kupoteza hivyo hakuwa na sababu za kuomba msamaha, kwa Makamba bado anaamini January ana nafasi ya kuwania uraisi hata kama si mwaka huu, hivyo mzee hataki kuweka records mbaya ambazo zitakuwa kikwako kwa dogo kutimiza ndoto yake.Maamuz sahihi yanaweka uhuru wa nafsi..
Tuombe Radhi waswahili huyo Mzee si mswahili na wala Ana sifa za kuwa Mswahili...
Sent using Jamii Forums mobile app
WaswahelMswahili ni mtu ambaye asili yake ni pwani ya Afrika ya Mashariki na ambae lugha yake ni Kiswahili, mkuu mzee haingii hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mswahili ni mtu ambaye asili yake ni pwani ya Afrika ya Mashariki na ambae lugha yake ni Kiswahili, mkuu mzee haingii hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app